Usikose sehemu ya tatu ya kipindi cha ‘UBISHI’
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzisehemu ya tatu ya kipindi cha ‘UBISHI’ na Costantine Magavilla
Wiki hii bwana Costantine Magavilla anaongelea maana nyingine ya shule. Je unajua maana nyingine ya shule zaidi ya kusoma. Bofya hapo kati tuendelee...
10 years ago
VijimamboTazama sehemu ya pili ya kipindi cha ‘UBISHI’
Katika mwendelezo wa kipindi cha ‘Ubishi - Komaa Upate Pesa’, wiki hii Bwana Costantine Magavilla anakuletea sehemu ya pili iitwayo ‘Kazi ni Tabia’. Kazi ni gumzo kwa vijana wengi wa mjini ila ni kitu gani kinacho wachochea vijana kufanya kazi haswa na je madhara yake ni nini kwao. Pata majibu kwa kutembelea www.magavilla.com
Usikose kufuatilia vipindi hivi vinavyolenga kuelimisha, kukuhamasisha utazame upya maisha yako upateujasiri wa kubadili fikra na kufanya yako kila wiki siku ya...
10 years ago
Michuzikipindi cha Ubishi - Komaa Upate Pesa sehemu ya pili na Costantine Magavilla
Katika mwendelezo wa kipindi cha ‘Ubishi - Komaa Upate Pesa’, wiki hii Bwana Costantine Magavilla anakuletea sehemu ya pili iitwayo ‘Kazi ni Tabia’. Kazi ni gumzo kwa vijana wengi wa mjini ila ni kitu gani kinacho wachochea vijana kufanya kazi haswa na je madhara yake ni nini kwako kama kijana. Pata majibu kwa kutembelea www.magavilla.com
10 years ago
Michuzi11 years ago
MichuziUsikose kusikiliza kipindi cha NJE-NDANI wiki hii
Mubelwa Bandio akimhoji Fabian Lwamba wa KRYSTAAL
Katika NJE-NDANI wiki hii kati ya utakayosikia mahojiano na Fabian Lwamba Mmoja wa ndugu watatu wanaounda kundi la KRYSTAAL ambao walizaliwa kwenye familia iliyojiweza, lakini mgogoro wa kisiasa ukawafanya waikimbie Zaire na kutengana. Michael, Fabian na Alistone Lwamba wanaounda kundi la KRYSTAAL Walikuja kuungana Canada ambako kwa miaka 16 wamekuwa pamoja kama kundi la muziki wa injili Wametoa albamu 6 na kupata tuzo 26 Pia...
Katika NJE-NDANI wiki hii kati ya utakayosikia mahojiano na Fabian Lwamba Mmoja wa ndugu watatu wanaounda kundi la KRYSTAAL ambao walizaliwa kwenye familia iliyojiweza, lakini mgogoro wa kisiasa ukawafanya waikimbie Zaire na kutengana. Michael, Fabian na Alistone Lwamba wanaounda kundi la KRYSTAAL Walikuja kuungana Canada ambako kwa miaka 16 wamekuwa pamoja kama kundi la muziki wa injili Wametoa albamu 6 na kupata tuzo 26 Pia...
11 years ago
MichuziUsikose kusikiliza kipindi cha NJE-NDANI Jumamosi hii
Haika Lawere akiwa tayari kwa mahojiano na Kwanza Production ya Washington DC
Katika NJE-NDANI ya Kwanza Production na Border Radio wiki hii, mbali na habari kuhusu Afrika, utasikia mahojiano yangu na Haika Lawere.
Yeye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mbezi Garden Hotel ya Dar Es Salaam Tanzania
Amekuwa mkarimu sana kujiunga nami hapa Maryland USA kuzungumza mengi kuhusu maisha na ujasiriamali.
Haika Lawere akizungumza na wanawake kwenye tukio la wanawake waTanzania Washington DC
Photo...
Photo...
10 years ago
Michuzi10 years ago
Michuzi10 years ago
MichuziKatika kipindi cha "HUYU NA YULE" kesho (Jumatatu), usikose kujua UNDANI wa maisha ya Linda
NI MENGI AMEZUNGUMUZA AMBAYO MIMI NA WEWE HATUKUYAJUAKesho Jumatatu katika kipindi cha huyu na yule cha mahojiano na mwanamitindo mbunifu wa LB kutoka Atlanta, Georgia atakapoelezea historia yake yenye milima na mabonde historia ya maisha yake yenye huzuni na furaha wakati mwingine Linda akitokwa na machozi kwa kukumbuka maisha aliyopitia. Je Mume wake Mali walijuana nae wapi? na mengine mengi kuhusu maisha yake ikiwemo kampuni yake ya LB na malengo yake ya kupeperusha bendera ya Tanzania...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania