KIPINDUPINDU chazagaa Singida 23 wafa, huku 48 wakithibitika kuwa na maambukizi ya ugonjwa huo
Mganga Mkuu wa hospitali ya Mkoa wa Singida Dkt. Ernest Mgeta akizungumza na waandishi wa habari juu ya hali ya ugonjwa wa kipindupindu Mkoani humo ambapo hadi sasa watu 23 wamefariki dunia.
Mfanyabiashara maarufu wa soko kuu la Maniapss ya Singida, Robert Anyambilile akizungumza na waandishi wa habari sokoni hapo juu ya hali ya ugonjwa wa kipindupindu huku akiwataka wananchi kuhakikisha kuwa ufasi wa mazingira kwa kila eneo unazingatiwa katika soko hilo ili kuepukana na hatari ya kuugua...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWATAKA WATANZANIA WASITISHWE NA JANGA LA CORONA, WAENDELEE KUCHAPA KAZI HUKU WAKIZINGATIA TU TAHADHARI ZOTE ZA KUJIKINGA NA UGONJWA HUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200322_125827_308.jpg)
DODOMA, Tanzania
Rais Dk. John Magufuli amewataka Watanzania kutotishwa na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona, badala yake waendelee kufanya kazi kwa bidii na kujenga uchumi huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga kuambukizwa ugonjwa huo kama zilivyotolewa na...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Watu 27 waripotiwa kuwa na ugonjwa Kipindupindu jijini Arusha
Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu.
Mahmoud Ahmad Arusha
Jumla ya watu 27 waliripotiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa kipindupindu huku kati yao 6 walithibitishwa kuwa na ugonjwa wa kipindupindu. Na watano wamelazwa katika kituo cha Afya Levolosi.
Akizungumza na wanahabari ofisini kwake Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu aliwataka wakazi wa jiji la Arusha kufuata kanuni za ugonjwa huo na kuwa waepuke kula vyakula sehemu zisizofaa.
Nkurlu alisema kuwa kwa zaidi ya miezi miwili sasa...
9 years ago
StarTV29 Sep
Kipindupindu chazidi kuwa tishio chapiga hodi singida 11 walazwa.
WAKATI ukiwa bado ukiendelea kutikisa katika Jiji la Dar-es-Salamu na kuua watu wengi, ugonjwa wa Kipindupindu umeingia katika Manispaa ya Singida ambapo watu 11 wamelazwa kwenye kambi iliyotengwa eneo la viwanja vya Mandewa kwa ajili ya kutibu wenye dalili za ugonjwa huo.
Tayari watu watatu miongoni mwa 11 waliozwa kwenye kambi iliyoanzishwa wakiharisha na kutapika, wamefanyiwa vipimo vya kitaalamu na kubainika kuwa na ugonjwa huo hatari wa kipindupindu.
Akizungumza na waandishi wa habari...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e6mUnIiX2hU/XuNuXfOW41I/AAAAAAALtjU/dvonO9bd0PoL6PCGwdI13v0PtMiRp4OXgCLcBGAsYHQ/s72-c/CSR%2BSingida.png)
BENKI YA NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KUNAWA MIKONO MKOA WA SINGIDA KUJIKINGA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e6mUnIiX2hU/XuNuXfOW41I/AAAAAAALtjU/dvonO9bd0PoL6PCGwdI13v0PtMiRp4OXgCLcBGAsYHQ/s640/CSR%2BSingida.png)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PflB1vDnTuc/VnjzLG10PHI/AAAAAAAINzM/06Q-IcujenE/s72-c/USAFI.jpg)
MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/070615_cholera_THUMB_LARGE.jpg?width=650)
UGONJWA WA KIPINDUPINDU
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya corona: Ibuprofen yafanyiwa majaribio kutibu ugonjwa huo
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QN27tZAGe5k/VoFbmDEOdQI/AAAAAAAIPDE/rVVjl0Qc4D4/s72-c/IMG_9430.jpg)
WATU 196 WAMEFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA KIPINDUPINDU
![](http://1.bp.blogspot.com/-QN27tZAGe5k/VoFbmDEOdQI/AAAAAAAIPDE/rVVjl0Qc4D4/s640/IMG_9430.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-l5LDq8w8Dr4/VoFdsB8D0OI/AAAAAAAIPD4/cBQfqujfTHY/s640/IMG_9436.jpg)
Na Zainabu Hamis wa Globu ya Jamii.JUMLA ya...
9 years ago
StarTV23 Nov
Wakazi Korogwe wapongeza jitihada za kuukabili  na Ugonjwa Wa Kipindupindu
Wakazi wa wilaya ya Korogwe mkoani Tanga wamepongeza jitihada zilizofanywa za kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.
Wilaya ya Korogwe ilikuwa na wagonjwa wa kipindupindu 35 lakini sasa wamepungua hadi kufikia watano.
Ugonjwa wa kipindupindu katika wilaya ya Korogwa ulikuwa ni tishio hasa baada ya kufikia wagonjwa zaidi ya 30.
Baadhi ya shughuli za kiuchumi zilisimama kama vile mamalishe walivunga vibanda vyao kama sehemu ya kukabiliana na ugonwa huo.
Mkuu wa Wilaya hiyo Hafsa Mtasiwa...