Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIPINDUPINDU chazagaa Singida 23 wafa, huku 48 wakithibitika kuwa na maambukizi ya ugonjwa huo

RMO

Mganga Mkuu wa hospitali ya Mkoa wa Singida Dkt. Ernest Mgeta akizungumza na waandishi wa habari juu ya hali ya ugonjwa wa kipindupindu Mkoani humo ambapo hadi sasa watu 23 wamefariki dunia.

NYAMBI

Mfanyabiashara maarufu wa soko kuu la Maniapss ya Singida, Robert Anyambilile akizungumza na waandishi wa habari sokoni hapo juu ya hali ya ugonjwa wa kipindupindu huku akiwataka wananchi kuhakikisha kuwa ufasi wa mazingira kwa kila eneo unazingatiwa katika soko hilo ili kuepukana na hatari ya kuugua...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

RAIS DK. MAGUFULI AWATAKA WATANZANIA WASITISHWE NA JANGA LA CORONA, WAENDELEE KUCHAPA KAZI HUKU WAKIZINGATIA TU TAHADHARI ZOTE ZA KUJIKINGA NA UGONJWA HUO

Rais Dk. John Magufuli akitoa salam katika Ibada ya Jumapili, iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba, Jimbo Kuu la  Kanisa Katoliki la Dodoma. jijini Dodoma, leo.




DODOMA, Tanzania
Rais  Dk. John  Magufuli amewataka Watanzania kutotishwa na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona, badala yake waendelee kufanya kazi kwa bidii na kujenga uchumi huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga kuambukizwa ugonjwa huo kama zilivyotolewa na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Watu 27 waripotiwa kuwa na ugonjwa Kipindupindu jijini Arusha

2

Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu.

Mahmoud Ahmad Arusha

Jumla ya watu 27 waliripotiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa kipindupindu huku kati yao 6 walithibitishwa kuwa na ugonjwa wa kipindupindu. Na watano wamelazwa katika kituo cha Afya Levolosi.

Akizungumza na wanahabari ofisini kwake Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu aliwataka wakazi wa jiji la Arusha kufuata kanuni za ugonjwa huo na kuwa waepuke kula vyakula sehemu zisizofaa.

Nkurlu alisema kuwa kwa zaidi ya miezi miwili sasa...

 

9 years ago

StarTV

Kipindupindu chazidi kuwa tishio chapiga hodi singida 11 walazwa.

WAKATI ukiwa bado ukiendelea kutikisa katika Jiji la Dar-es-Salamu na kuua watu wengi, ugonjwa wa Kipindupindu umeingia katika Manispaa ya Singida ambapo watu 11 wamelazwa kwenye kambi iliyotengwa eneo la viwanja vya Mandewa kwa ajili ya kutibu wenye dalili za ugonjwa huo.

 Tayari watu watatu miongoni mwa 11 waliozwa kwenye kambi iliyoanzishwa wakiharisha na kutapika, wamefanyiwa vipimo vya kitaalamu na kubainika kuwa na ugonjwa huo hatari wa kipindupindu.

 Akizungumza na waandishi wa habari...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KUNAWA MIKONO MKOA WA SINGIDA KUJIKINGA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA

Meneja wa NMB Kanda Kati, Nsolo Mlozi (wapili kushoto) pamoja na Meneja wa NMB Tawi wa Singida - Willy Mponzi (kushoto), wamekabidhi Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi (kulia) msaada wa vifaa vya kunawa mikono ili kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa homa ya corona, kwa ajili ya kugawa kwenye taasisi mkoani hamo.

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu

Na  Raymond Mushumbusi- MAELEZO
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...

 

9 years ago

GPL

UGONJWA WA KIPINDUPINDU

Leo tutachambua ugonjwa wa kipindupindu unaozikumba jamii mbalimbali na kuathiri nchi nyingi za Kiafrika Tanzania ikiwemo. Ugonjwa wa kipindupindu ni tatizo kubwa la kiafya kwa nchi zinazoendelea, ambako milipuko yake hutokea kufuatana na misimu ya hali ya hewa na kuhusishwa na suala la umaskini na usafi duni. gonjwa huo husababisha mtu kuharisha choo kingi cha maji maji ambacho hufanya maji kupungua haraka mwilini hali ambayo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ibuprofen yafanyiwa majaribio kutibu ugonjwa huo

Wanasayansi wanafanya majaribio kuona iwapo dawa ya maumivu ya Ibruprofen inaweza kutumika katika hospitali kuwasaidia wagonjwa wa corona.

 

9 years ago

Michuzi

WATU 196 WAMEFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA KIPINDUPINDU

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na ugonjwa wa Kipindupindu ulivyoweza kupungua ikiwa kukiwa na vifo vya watu 196 kwa Tanzania Bara.Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.

Na Zainabu Hamis wa Globu ya Jamii.JUMLA ya...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Korogwe wapongeza jitihada za kuukabili  na Ugonjwa Wa Kipindupindu

 

Wakazi wa wilaya ya Korogwe mkoani Tanga wamepongeza jitihada zilizofanywa za kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.

Wilaya ya Korogwe ilikuwa na wagonjwa wa kipindupindu 35 lakini sasa wamepungua hadi kufikia watano.

Ugonjwa wa kipindupindu katika wilaya ya Korogwa ulikuwa ni tishio hasa baada ya kufikia wagonjwa zaidi ya 30.

 Baadhi ya shughuli za kiuchumi zilisimama kama vile mamalishe walivunga vibanda vyao kama sehemu ya kukabiliana na ugonwa huo.

Mkuu wa Wilaya hiyo Hafsa Mtasiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani