Kiswahili ni cha wasiojua Kiingereza?
Katika nchi nyingi za Afrika, jamii imejigawa katika jamii ndogondogo ziitwazo makabila.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Kiswahili dhidi ya Kiingereza au Kiswahili pamoja na Kiingereza?
9 years ago
MichuziTATHIMINI YA KUSOMA KISWAHILI, KIINGEREZA NA KUFANYA HESABU KUFANYIKA WILAYANI TARIME.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MPOKAk_OVQI/VC5JSawsd5I/AAAAAAAAiBU/H8NwI4Yk0EU/s72-c/diamond%2BPlatnums%2Bat%2BSporah%2BShow.jpg)
Kiingereza cha Diamond,The Sporah Show na Kile Cha Shigongo, Straight Talk Africa
![](http://4.bp.blogspot.com/-MPOKAk_OVQI/VC5JSawsd5I/AAAAAAAAiBU/H8NwI4Yk0EU/s640/diamond%2BPlatnums%2Bat%2BSporah%2BShow.jpg)
9 years ago
MichuziNaibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundu Mhe. Eng Stella Manyanya afungua mafunzo ya walimu mahiri wa masomo ya Hisabati, Kiingereza na Kiswahili Ruvuma.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Eng Stella Manyanya akizungumza na washiriki wa mafunzo ya Walimu Wawezeshaji wa masomo ya Hisabati, Kiingereza na Kiswahili kutoka shule za msingi katika Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma na Halmashauri ya Ludewa Mkoa Njombe.
11 years ago
Michuzi17 May
CHUO KIKUU CHA IRINGA WAZINDUA TAWI LA WANAFUNZI WANAOSOMA KISWAHILI AFRIKA MASHARIKI, WATAKA KATIBA MPYA KISWAHILI KIPEWE NAFASI
![](https://3.bp.blogspot.com/-DjAqPB6POFI/U3dgBR2MovI/AAAAAAABoNI/xWtWqCobeG8/s640/IMG_0987.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-oUwZr4WMSkQ/U3dflJ5J2XI/AAAAAAABoMo/V-8dVuzJfLw/s640/IMG_0989.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-uY1rc3qzWko/U3dgdSdAufI/AAAAAAABoNY/xcZMTNmPxF4/s640/IMG_0995.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-LbfTmwZVtS8/U3dg6QxE1tI/AAAAAAABoN4/WHF3kALUvEU/s640/IMG_1000.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-6tTe8omDQNY/U3dg2SD1q9I/AAAAAAABoNs/qnamPZ5O7eM/s640/IMG_1001.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Mtanzania13 Jun
Wanawake Mtwara wampelekea kilio cha Kiingereza Prof. Mwandosya
SARAH MOSSI NA FLORENCE SANAWA, MTWARA
WANACCM na baadhi ya wanawake wa Manispaa ya Mtwara Mikindani wamedai licha ya kuwapo viwanda vingi vinavyoendelea kuzinduliwa katika manispaa yao, lakini hawapewi ajira kwa madai hawajui lugha ya Kiingereza.
Wakazi hao walitoa kilio chao jana katika Ofisi ya CCM Mtwara Mjini, mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya, mara baada ya kumaliza kazi ya kutafuta wadhamini wa chama chake, ikiwa ni sehemu ya kutimiza...
9 years ago
MichuziUtambulisho wa kipindi kipya cha Televisheni cha Kiswahili Washington DC
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Nusu ya wanafunzi darasa la saba hawawezi Kiingereza cha darasa la pili
9 years ago
Habarileo01 Oct
Warioba: Msichague wasiojua historia
WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amehadharisha umma wa Watanzania kuepuka kumkubali na kumchagua kiongozi asiyejua historia ya nchi, ilikotoka na ilipo. Akieleza kushangazwa na kile alichokiita ‘wimbo’ kwamba CCM haijafanya chochote katika miaka 54 tangu ipate huru, aliwashangaa zaidi watu wanaotumia jina la Mwalimu Julius Nyerere, mwasisi wa taifa, huku wakimuona dira, lakini wakisisitiza kwamba, hakufanya chochote.