TATHIMINI YA KUSOMA KISWAHILI, KIINGEREZA NA KUFANYA HESABU KUFANYIKA WILAYANI TARIME.
Shirika la Maendeleo Tarime SHIMATA chini ya ufadhiri wa Taasisi ya TWAWEZA kupitia mradi wake wa UWEZO ambao umelenga kufanya kazi ya kutathimini hali ya kielimu katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda linatarajia kufanya tathimini kwa watoto (Wanafunzi na wasio wanafunzi) walio na umri kati ya miaka saba hadi 16 katika Wilaya ya Tarime Mkoani Mara kwa lengo la kubaini hali ya kielimu na changamoto zake ilivyo wilayani humo.Na:Binagi Media GroupIli kufanikisha zoezi hilo, SHIMATA imetoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Kiswahili dhidi ya Kiingereza au Kiswahili pamoja na Kiingereza?
9 years ago
MichuziWAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...
10 years ago
GPLMTOTO NICE MWENYE UWEZO WA KUONGEA KIINGEREZA NA KUKOKOTOA HESABU ATINGA GLOBAL PUBLISHERS LEO
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kiswahili ni cha wasiojua Kiingereza?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vwxCd3th08I/Xsiv3pzEX-I/AAAAAAALrWA/nfnGenGZydk39LgESCklAswzHFdSWPOAQCLcBGAsYHQ/s72-c/3edacdae-f39f-438e-a187-6d250de650a0.jpg)
Mawaziri wa SADC wa Kilimo,Mifugo, Uvuvi kufanya tathimini ya majanga.
Na Chalila Kibuda,Michuzi TV
Mawaziri wa Sekta wa Kilimo,Mifugo,Uvuvi pamoja wa nchi zilizo Kusini Mwa Jangwa la Sahara (SADC) zimekubaliana kufanya tathimini ya miezi mitatu madhara yaliyotokana na majanga mbalimbali ikiwemo na ugonjwa wa Virusi vya Corona ili kuweza kusaidia Sekta hiyo kuimarika.
Akizungumza katika Mkutano huo Mwenyekiti wa Sekta ya Kilimo, Mifugo,Uvuvi na Usalama wa Chakula ambaye ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhanga Mpina amesema kuwa Mkutano huo wameazimia kufanya...
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
GRAFOGEMU KISWAHILI: Teknolojia muhimu ya kufunza kusoma
TATIZO la kutojua kusoma kwa watoto wa shule za msingi nchini ni janga kubwa. Tafiti zinaonyesha watoto hawajengewi stadi sahihi zitakazowawezesha kujifunza kusoma na kuandika. Utafiti uliofanywa na Taasisi ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FgjxZO6oAts/U8aFuiy1euI/AAAAAAAF2xg/cUyKqiv1SxM/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Vijana wa Kiislam Wilayani Kilwa washiriki Mashindano ya Kusoma Quraan
![](http://1.bp.blogspot.com/-FgjxZO6oAts/U8aFuiy1euI/AAAAAAAF2xg/cUyKqiv1SxM/s1600/unnamed+(8).jpg)
Viongozi wa Dini wilayani Kilwa mkoani Lindi wametakiwa kuhubiri Amani,umoja na mshikamano wanapokuwapo kwenye ibada zao ili kuliombea Taifa lisiingie kwenye vurugu zinazoweza kusababisha uvunjivu wa amani ya nchi Hususan katika mchakato wa katiba mpya
Akihutubia waislam walioshiriki katika shindano la kila mwaka la Usomaji wa Quran,Mkuu wa wilaya ya kilwa,Abdallah Ulega ameeleza kuwa viongozi wa dini wana nafasi kubwa katika Kuelimisha na kukemea waumini...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/oP695En_vf8/default.jpg)
9 years ago
VijimamboWANANCHI WA KIJIJI CHA KENYAMANYORI WILAYANI TARIME WANASTAHILI PONGEZI.
Ni ukweli usiopingika kuwa uongozi wa kijiji hicho pamoja na wananchi wake ambao asilimia kubwa ni wakulima, wanastahili pongezi kwani wazo lao la kujenga shule ya sekondari ni wazo bora na limewasaidia watoto wa kijiji hicho na wale wanaotoka vijiji jirani kupata elimu karibu zaidi hivyo ni vyema wakaendelea kushirikiana na serikali pamoja na wahisani wengi katika kuhakikisha kwamba wanaiboresha zaidi shule hiyo ili iweze kuwa mkombozi kwa ajili ya watoto wao...