Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kituo cha Boko Haram chashambuliwa

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limekishambulia kituo cha ujasusi cha kundi la wapiganaji wa Boko Haram

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kituo cha polisi chashambuliwa Nigeria

Watu wenye silaha wameshambulia afisi za kikosi cha siri cha polisi katika mji mkuu wa jimbo la Kogi wa Lokoja nchini Nigeria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Boko Haram yafichua kiwanda cha mabomu

Kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Boko Haram wamezindua kiwanda wanachotumia kuunda mabomu na silaha zingine kali kaskazini mwa Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram Wateka Chuo Cha Polisi

Chuo kinachozalisha maofisa wa polisi nchini Naigeria kimetekwa na Boko Haram

 

10 years ago

Michuzi

Miss Tanzania 2014 asaidia kituo cha New Life Orphans Home,Boko jijini Dar

Miss Tanzania Lilian Kamazima (kulia) akimkabidhi zawadi ya mwaka mpya Msimamizi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha New Life kilichopo Boko, Mwanaisha Magambo kwa ajili ya watoto 102 waliopo kituoni hapo, tukio hilo lilifanyika juzi.Miss Tanzania Lilian Kamazima (kulia) akiwa na Miss Kinondoni Maria Shila wakiwa wamembeba mtoto aliekuwa kwenye kituo cha kulelea watoto yatima cha New Life cha Boko, mtoto huyo alifikishwa hapo akiwa na siku nne tu tangia kuzaliwa kwake.Sehemu ya Watoto...

 

9 years ago

Dewji Blog

Miaka 17 ya Kituo cha Mazoezi cha Home Gym: kutembelea wodi ya wazazi Kituo cha Afya Sinza Palestina leo Sept 19

home gymKituo cha Mazoezi cha Home Gym…

Na Andrew Chale, modewjiblog

[Dar es Salaam-Tanzania]- Kuelekea miaka 17 ya tangu kuanzishwa kwa  kituo cha Mazoezi cha Home Gym chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, uongozi wa kituo hicho unatarajia kufanya matukio makuu muhimu ikiwemo kutembelea  wodi ya akina mama katika kituo cha Afrya cha Sinza Palestina Jijini.

Akizungumza na modewjiblog, Mkurugenzi wa kituo hicho, Andrew Mangomango amebainisha kuwa, kuelekea shughuli za miaka 17 za...

 

9 years ago

Michuzi

JUST IN: KITUO CHA MICHEZO CHAENDELEA KUJIZATITI Aliyekuwa Kocha kwenye Ligi Kuu ya Uingereza aja Tanzania kuongoza kituo cha vijana cha michezo

Ndugu Ray Power, ambaye amewahi kuwa Kocha wa Chama Cha Soka na mkuu wa kitengo cha mpira wa miguu katika chuo kiitwacho Central College Nottingham; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Ufundi katika Kituo cha Vijana cha Michezo kilichopo Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam (pichani). Katika nafasi yake mpya, Ndugu Power atasimamia mafunzo na Uongozi wa kituo kipya ambacho kinategemewa kufunguliwa tarehe 19 ya Mwezi huu. Ndugu Power anachukua nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

TheCitizen

There’s nothing secular about Boko Haram

A reader of last week’s column about Islamist extremism wrote, “It is not really about Islam. It is about things you understand all too well: poverty, alienation, disenfranchisement, and a search for meaning and identity.

 

11 years ago

BBC

How do you negotiate with Boko Haram?

Frank Gardner looks at how you negotiate with armed kidnappers

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram 70 wauawa .

Jeshi la Nigeria limetoa ripopoti kua mpaka sasa limekwisha waua wapiganaji 70 kutoka katika kikundi cha kiislam cha BOKO HARAM.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani