Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiwanda cha 21st Century chapigwa Kufuli

Na Victor Mariki – Ofisi ya Makamu wa Rais
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira, limetoa amri ya kfungwa shughuli za uzalishaji katika Kiwanda cha nguo cha 21st Century Limited kilichopo Kihonda Mkoani Morogoro leo ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira.
Hatua hiyo imechukuliwa kufuatiwa na kupuuzwa kwa maelekezo na maagizo ya mazingira yaliyokuwa yakitolewa nyakati tofautit tofauti na Ofisi ya Makamu wa Rais, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

NEMC yafungia kiwanda cha nguo cha 21st Century

Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Utekelezaji wa NEMC, Dk Robert Ntakamulenga BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limekifungia kiwanda cha nguo cha 21st Century kilichopo eneo la Kihonda katika Manispaa ya Morogoro kufanya shughuli zozote za uzalishaji kuanzia jana, kutokana na kutiririsha maji taka na kusababisha uchafuzi wa mazingira.

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU APIGA STOP MATUMIZI YA KUNI KIWANDA CHA 21st CENTURY

PG4A8989Waziri Mkuu, MIzengo Pinda , Viongozi wa Baraza la Mazingiea nchini, NEMC na viongozi wa mkoa wa Morogoro wakitazama maji yenye sumu, kemikali na tindikali yaliyoekekezwa mtoni yakitoka kwenye viwanda vya 21st  Century cha nguo, Morogoro  Canvanse na kiwanda cha magunia cha Morogoro wakati alipotembela eneo Kihonda mbuyuni kukagua  athari za maji hayo.(Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu)……………………………………………………………………………..WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ametoa mwezi mmoja kwa Baraza la Taifa la Mazingira...

 

11 years ago

TheCitizen

Bringing together China and America in the 21st century

The widespread perception that China is or will become soon an aggressive, expansionist power is simply wrong. It is propaganda, rather than fact, a kind of right wing agitprop.

 

10 years ago

Vijimambo

President Obama Creates the Task Force on 21st Century Policing


Trust between law enforcement agencies and the people they protect and serve is essential to the stability of our communities, the integrity of our criminal justice system, and the safe and effective delivery of policing services.

In light of the recent events in Ferguson, Staten Island, Cleveland, and around the country, the Administration announced new steps to strengthen the relationships between local police and the communities they are supposed to protect and serve. One of the primary...

 

5 years ago

Space.Com

NASA's iconic 'Pale Blue Dot' photo of Earth from space just got a 21st-century makeover

NASA's iconic 'Pale Blue Dot' photo of Earth from space just got a 21st-century makeover  Space.comNasa 're-masters' classic 'Pale Blue Dot' image of Earth  BBC NewsAn iconic image updated  CosmosThe Pale Blue Dot: Now New and Improved  Universe TodayNASA Just Updated Earth's Most Iconic Portrait, And We Are as Lonely as Ever  ScienceAlertView Full coverage on Google News

 

5 years ago

The Citizen Daily

Tanzania can develop dramatically and build a world exemplary Nation of the 21st Century with “People’s Self-Help Efforts” and “Government-Community Collaboration

Tanzania can develop dramatically and build a world exemplary Nation of the 21st Century with “People’s Self-Help Efforts” and “Government-Community Collaboration  The Citizen Daily

 

11 years ago

Habarileo

Kiwanja cha Nyerere chapigwa ‘danadana’

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan RugimbanaFAMILIA ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, imeendelea kupigwa chenga na viongozi wa Wilaya ya Kinondoni, walikokwenda mara kadhaa kufuatilia haki ya kiwanja walichoachiwa na baba yao.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kituo cha watoto wenye ulemavu wa ngozi mjini Shinyanga chapigwa “Tafu” na Tigo

ali maswanya

Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa, Ali Maswanya akizungumza na  watoto yatima na wenye albinism katika kituo cha Buhangija  mkoani Shinyanga  wakati wa kutoa msaada kwenye kituo cha  kulelea ,ambapo mchele,unga na maharage tani 3.9,mafuta ya  kupikia lita 100 na sabuni katoni 5,kushoto ni Meneja wa Tigo  mikoa ya Shinyanga,Tabora na Kigoma Kamara Kalembo na Meneja  Huduma kwa wateja kanda ya ziwa Beatrice Kinabo (kulia).

chakula (1)

Sehemu ya msaada wa chakula mchele, unga na maharage tani 3.9,mafuta...

 

9 years ago

Michuzi

KITUO MAALUM CHA KULELEA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI SHINYANGA CHAPIGWA JEKI NA VODACOM FOUNDATION

Katika kuboresha na kufanya maisha ya Watanzania kuwa murua, Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania kupitia mfuko wake wa kusaidia jamii”Vodacom Foundation”, imekabidhi msaada wa vitu mbalimbali na vyakula wenye thamani ya zaidi ya Shilingi milioni 29 kwa kituo cha walemavu mbalimbali wakiwemo wenye ulemavu wa ngozi, Albino, kilichopo katika Manispaa ya Shinyanga.  Akikabidhi msaada huo kwa uongozi wa kituo hicho, Kaimu Mkuu wa Vodacom kanda ya Tanganyika, Sabas Ademba amesema kampuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani