Kiwanda cha 21st Century chapigwa Kufuli
Na Victor Mariki – Ofisi ya Makamu wa Rais
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira, limetoa amri ya kfungwa shughuli za uzalishaji katika Kiwanda cha nguo cha 21st Century Limited kilichopo Kihonda Mkoani Morogoro leo ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira.
Hatua hiyo imechukuliwa kufuatiwa na kupuuzwa kwa maelekezo na maagizo ya mazingira yaliyokuwa yakitolewa nyakati tofautit tofauti na Ofisi ya Makamu wa Rais, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Feb
NEMC yafungia kiwanda cha nguo cha 21st Century
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limekifungia kiwanda cha nguo cha 21st Century kilichopo eneo la Kihonda katika Manispaa ya Morogoro kufanya shughuli zozote za uzalishaji kuanzia jana, kutokana na kutiririsha maji taka na kusababisha uchafuzi wa mazingira.
11 years ago
Michuzi09 Jul
WAZIRI MKUU APIGA STOP MATUMIZI YA KUNI KIWANDA CHA 21st CENTURY
![PG4A8989](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/yRBkK4YqQVWZn8uvnkzePBEifUYbzzIHwDRm0pG4Vm7KHYL_DzDeuWswVDTe1d7svxT78Kj1Sm8XO7EYaG9BAN1nchFzmSNwAdQDUR0DlUqF_r71k4L1x20GW4k=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/PG4A8989.jpg)
11 years ago
TheCitizen10 Apr
Bringing together China and America in the 21st century
10 years ago
Vijimambo19 Dec
President Obama Creates the Task Force on 21st Century Policing
Trust between law enforcement agencies and the people they protect and serve is essential to the stability of our communities, the integrity of our criminal justice system, and the safe and effective delivery of policing services.
In light of the recent events in Ferguson, Staten Island, Cleveland, and around the country, the Administration announced new steps to strengthen the relationships between local police and the communities they are supposed to protect and serve. One of the primary...
5 years ago
Space.Com14 Feb
NASA's iconic 'Pale Blue Dot' photo of Earth from space just got a 21st-century makeover
5 years ago
The Citizen Daily03 Mar
Tanzania can develop dramatically and build a world exemplary Nation of the 21st Century with “People’s Self-Help Efforts†and “Government-Community Collaboration
11 years ago
Habarileo18 Feb
Kiwanja cha Nyerere chapigwa ‘danadana’
FAMILIA ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, imeendelea kupigwa chenga na viongozi wa Wilaya ya Kinondoni, walikokwenda mara kadhaa kufuatilia haki ya kiwanja walichoachiwa na baba yao.
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Kituo cha watoto wenye ulemavu wa ngozi mjini Shinyanga chapigwa “Tafu†na Tigo
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa, Ali Maswanya akizungumza na watoto yatima na wenye albinism katika kituo cha Buhangija mkoani Shinyanga wakati wa kutoa msaada kwenye kituo cha kulelea ,ambapo mchele,unga na maharage tani 3.9,mafuta ya kupikia lita 100 na sabuni katoni 5,kushoto ni Meneja wa Tigo mikoa ya Shinyanga,Tabora na Kigoma Kamara Kalembo na Meneja Huduma kwa wateja kanda ya ziwa Beatrice Kinabo (kulia).
Sehemu ya msaada wa chakula mchele, unga na maharage tani 3.9,mafuta...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cvm9_6Ny8JY/VofNrlt6TqI/AAAAAAAIP3A/GXABH1vK0ag/s72-c/4e67bce6-3b21-4d97-8e99-0993578d7033.jpg)
KITUO MAALUM CHA KULELEA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI SHINYANGA CHAPIGWA JEKI NA VODACOM FOUNDATION