Kiwanda cha nyama Dar kutoka bil 1.7/- hadi elfu 51
KAMATI ya Bunge ya Serikali za Mitaa imeeleza kuwapo kwa ubadhirifu wa fedha katika jiji la Dar es Salaam kwenye mradi ya kiwanda cha nyama ambapo kuliwekezwa Sh bilioni 1.7, lakini sasa kuna Sh 51,000 katika akaunti ya kiwanda hicho ambacho hakijaanza kufanya kazi.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pA-lQqd-nRQ/Xrr4cfzSb-I/AAAAAAALp-g/rPuNjYMdCmU15EQ3_D5_gFCdbJeAt8yzACLcBGAsYHQ/s72-c/8d0703c6-698b-4ef3-bf3f-4956c4121950.jpg)
KAIMU MSAJILI BODI YA NYAMA TANZANIA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA KIKUBWA CHA NYAMA CHA TANCHOICE
Na Mwandishi Wet u,Michuzi TV
KAIMU Msajili Bodi Ya Nyama Tanzania Iman Sichalwe amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nyama cha Tanchoice Soga kibaha mkoani Pwani.
Kiwanda hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kwenye Sekta ya mifugo na kutajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wadau wa sekta ya nyama Nchini Ambapo kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 1000 na mbuzi 4500 kwa siku.
Akiwa kiwandani haoo baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho,...
KAIMU Msajili Bodi Ya Nyama Tanzania Iman Sichalwe amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nyama cha Tanchoice Soga kibaha mkoani Pwani.
Kiwanda hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kwenye Sekta ya mifugo na kutajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wadau wa sekta ya nyama Nchini Ambapo kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 1000 na mbuzi 4500 kwa siku.
Akiwa kiwandani haoo baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho,...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/nemc.png)
NEMC IMEKIFUNGA KIWANDA CHA KUSINDIKA NYAMA YA PUNDA, DODOMA
Baraza la taifa la usimamizi wa mazingira (NEMC) limekifungia kiwanda cha Huwa Cheng Company Limited kilichopo mjini Dodoma na kukitoza faini ya shilingi milioni 200 baada ya kubaini kiwanda hicho kinajihusisha na usindikaji wa nyama ya Punda kinyume na utamaduni wa watanzania huku mazingira yake yakiwa hatarishi kutokana na uchafu unaozalishwa kuzagaa kwenye makazi ya watu. Ni mabishano makali baina ya wamiliki wa kiwanda hiki...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jUHZg-gGJ4c/U9t-VNg6LLI/AAAAAAAF8PM/LUolV1SNzl4/s72-c/IMG_4991.jpg)
WAZIRI MKUU ATOA SAA 30, ATAKA KUPATA MAJIBU KUHUSU KIWANDA CHA NYAMA MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-jUHZg-gGJ4c/U9t-VNg6LLI/AAAAAAAF8PM/LUolV1SNzl4/s1600/IMG_4991.jpg)
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Ijumaa, Agosti Mosi, 2014) wakati akizindua Kongamano la siku tatu la Uwekezaji la Mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya la mwaka 2014 ambalo limeanza leo kwenye ukumbi wa Benjamini Mkapa jijini Mbeya.
“Mbeya inaweza kuwa na fursa kubwa ya viwanda vya usindikaji nyama, unga wa mahindi ili kuongeza thamani ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5MEa7fk6GFE/XkVggmQTX3I/AAAAAAALdP4/vC4eEfE45hAz6UNsALngcA3EVM5RA00xACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-3-1AAA-1-768x512.jpg)
MAAFISA WASHIRIKI KUTOKA CHUO CHA ULINZI WA TAIFA(NDC) WATEMBELEA KIWANDA CHA GEREZA KUU UKONGA JIJINI DSM
![](https://1.bp.blogspot.com/-5MEa7fk6GFE/XkVggmQTX3I/AAAAAAALdP4/vC4eEfE45hAz6UNsALngcA3EVM5RA00xACLcBGAsYHQ/s640/PIX-3-1AAA-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX-4-1AA-1018x1024.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CwtsF90ihdM/VYwrgdmRWLI/AAAAAAAHkAU/Tz9WAlecA9g/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
WAKUU WA TAASISI ZA MAGEREZA KUTOKA NCHI ZA AFRIKA WATEMBELEA KIWANDA CHA VIATU CHA GEREZA KUU KARANGA MOSHI, MKOANI KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-CwtsF90ihdM/VYwrgdmRWLI/AAAAAAAHkAU/Tz9WAlecA9g/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-akYgRnZTGS8/VYwrgZB0cwI/AAAAAAAHkAY/SQnd6J-lfbQ/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RQ2AZvFRMuU/XsZ5r5gk7DI/AAAAAAALrH8/CQ_pLelAeDURgMJUMzhkfsDk0MuXUxkoACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200521_132705_8.jpg)
RIDHIWANI APOKEA VIGAE VILIVYOGHARIMU MIL.9 KUTOKA KIWANDA CHA KEDA(TWYFORD)
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amekabidhiwa boksi za vigae kiwango cha kwanza 200, zenye thamani ya sh .milioni Tisa kutoka kiwanda cha vigae KEDA (Twyford)kilichopo kata ya Pera ,ambapo zinaelekezwa katika sekta ya elimu na afya.
Msaada huo ni kwa ajili ya ujenzi wa zahanati iliyoko kata ya Bwilingu na shule ya sekondari Chahuwa pamoja na ofisi ya serikali ya kata ya Miono.
Akipokea msaada huo ,Ridhiwani alisema ,kata ya Miono imekabidhiwa boksi 105...
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amekabidhiwa boksi za vigae kiwango cha kwanza 200, zenye thamani ya sh .milioni Tisa kutoka kiwanda cha vigae KEDA (Twyford)kilichopo kata ya Pera ,ambapo zinaelekezwa katika sekta ya elimu na afya.
Msaada huo ni kwa ajili ya ujenzi wa zahanati iliyoko kata ya Bwilingu na shule ya sekondari Chahuwa pamoja na ofisi ya serikali ya kata ya Miono.
Akipokea msaada huo ,Ridhiwani alisema ,kata ya Miono imekabidhiwa boksi 105...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-RQ2AZvFRMuU/XsZ5r5gk7DI/AAAAAAALrH8/CQ_pLelAeDURgMJUMzhkfsDk0MuXUxkoACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200521_132705_8.jpg)
RIDHIWANI APOKEA VIGAE VYA SH. MIL.9 KUTOKA KIWANDA CHA KEDA(TWYFORD)
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amekabidhiwa boksi za vigae kiwango cha kwanza 200, zenye thamani ya sh .milioni Tisa kutoka kiwanda cha vigae KEDA (Twyford)kilichopo kata ya Pera ,ambapo zinaelekezwa katika sekta ya elimu na afya.
Msaada huo ni kwa ajili ya ujenzi wa zahanati iliyoko kata ya Bwilingu na shule ya sekondari Chahuwa pamoja na ofisi ya serikali ya kata ya Miono.Akipokea msaada huo ,Ridhiwani alisema ,kata ya Miono imekabidhiwa boksi 105 na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania