RIDHIWANI APOKEA VIGAE VILIVYOGHARIMU MIL.9 KUTOKA KIWANDA CHA KEDA(TWYFORD)
![](https://1.bp.blogspot.com/-RQ2AZvFRMuU/XsZ5r5gk7DI/AAAAAAALrH8/CQ_pLelAeDURgMJUMzhkfsDk0MuXUxkoACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200521_132705_8.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amekabidhiwa boksi za vigae kiwango cha kwanza 200, zenye thamani ya sh .milioni Tisa kutoka kiwanda cha vigae KEDA (Twyford)kilichopo kata ya Pera ,ambapo zinaelekezwa katika sekta ya elimu na afya.
Msaada huo ni kwa ajili ya ujenzi wa zahanati iliyoko kata ya Bwilingu na shule ya sekondari Chahuwa pamoja na ofisi ya serikali ya kata ya Miono.
Akipokea msaada huo ,Ridhiwani alisema ,kata ya Miono imekabidhiwa boksi 105...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-RQ2AZvFRMuU/XsZ5r5gk7DI/AAAAAAALrH8/CQ_pLelAeDURgMJUMzhkfsDk0MuXUxkoACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200521_132705_8.jpg)
RIDHIWANI APOKEA VIGAE VYA SH. MIL.9 KUTOKA KIWANDA CHA KEDA(TWYFORD)
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amekabidhiwa boksi za vigae kiwango cha kwanza 200, zenye thamani ya sh .milioni Tisa kutoka kiwanda cha vigae KEDA (Twyford)kilichopo kata ya Pera ,ambapo zinaelekezwa katika sekta ya elimu na afya.
Msaada huo ni kwa ajili ya ujenzi wa zahanati iliyoko kata ya Bwilingu na shule ya sekondari Chahuwa pamoja na ofisi ya serikali ya kata ya Miono.Akipokea msaada huo ,Ridhiwani alisema ,kata ya Miono imekabidhiwa boksi 105 na...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA JANET MBENE ATEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIGAE CHA MKOANI MBEYA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5MEa7fk6GFE/XkVggmQTX3I/AAAAAAALdP4/vC4eEfE45hAz6UNsALngcA3EVM5RA00xACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-3-1AAA-1-768x512.jpg)
MAAFISA WASHIRIKI KUTOKA CHUO CHA ULINZI WA TAIFA(NDC) WATEMBELEA KIWANDA CHA GEREZA KUU UKONGA JIJINI DSM
![](https://1.bp.blogspot.com/-5MEa7fk6GFE/XkVggmQTX3I/AAAAAAALdP4/vC4eEfE45hAz6UNsALngcA3EVM5RA00xACLcBGAsYHQ/s640/PIX-3-1AAA-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX-4-1AA-1018x1024.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CwtsF90ihdM/VYwrgdmRWLI/AAAAAAAHkAU/Tz9WAlecA9g/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
WAKUU WA TAASISI ZA MAGEREZA KUTOKA NCHI ZA AFRIKA WATEMBELEA KIWANDA CHA VIATU CHA GEREZA KUU KARANGA MOSHI, MKOANI KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-CwtsF90ihdM/VYwrgdmRWLI/AAAAAAAHkAU/Tz9WAlecA9g/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-akYgRnZTGS8/VYwrgZB0cwI/AAAAAAAHkAY/SQnd6J-lfbQ/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
10 years ago
MichuziBALOZI KAMALA APOKEA ZAWADI KUTOKA CHUO KIKUU CHA GENT
10 years ago
Habarileo01 Feb
Kiwanda cha nyama Dar kutoka bil 1.7/- hadi elfu 51
KAMATI ya Bunge ya Serikali za Mitaa imeeleza kuwapo kwa ubadhirifu wa fedha katika jiji la Dar es Salaam kwenye mradi ya kiwanda cha nyama ambapo kuliwekezwa Sh bilioni 1.7, lakini sasa kuna Sh 51,000 katika akaunti ya kiwanda hicho ambacho hakijaanza kufanya kazi.
10 years ago
VijimamboNaibu waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene atembeleakiwanda cha kutengeneza vigae cha mkoani mbeya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VewKxrLxXeI/Xpf6sm9URCI/AAAAAAALnH4/izS_HfZB6UsaDn-IWOetlL85liTftLEUgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200415-WA0022.jpg)
NDIKILO APOKEA MSAADA WA SABUNI KUTOKA KEDS ZINAZOPELEKWA KITUO CHA MATIBABU YA COVID19 KIBAHA
MKUU wa Mkoa wa Pwani ,Mhandisi Evaristi Ndikilo amepokea msaada wa mifuko 40 ya sabuni kwa ajili ya kituo cha matibabu ya Wagojwa wa COVID 19 ambayo ni Hospitali ya Wilaya ya Kibaha Mjini.
Msaada huo umetolewa na kampuni ya KEDS Group Limited ,ikiwa ni jitihada za kuunga mkono juhudi za serikali kuendelea kupambana na ugonjwa wa corona .
Akipokea Msaada huo ,Mhandisi Ndikilo aliishukuru Kampuni ya KEDS Group Limited na kusema kwani sabuni hizo zitatumika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1doY2Eku0Uk/XrEKuSmSoXI/AAAAAAALpKE/pgXRUzdHCncSbRGq02ZL8fzpCD7t5CWLgCLcBGAsYHQ/s72-c/72609f15-87bb-4a65-a319-f9ffb3677353.jpg)
DC MBARALI APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KUTOKA CHAMA CHA WAFANYAKAZI SERIKALI ZA MITAA MBEYA
KATIKA kuunga mkono jitihada za serikali za kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Mkoani Mbeya (TALGWU) wametoa misaada ya vifaa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Ruben Mfune.
Vifaa vilivyotolewa na Chama hicho ni pamoja na Kipima joto, Vitakasa mikono Lita 10, Vidonge vya Klorini 500 na Barakoa zipatazo 150, huku wakiwaomba wadau wengine kujitokeza kuchangia vifaa hivyo.
Akizungumza baada ya kupokea vifaa hivyo, DC Mfune...