Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RIDHIWANI APOKEA VIGAE VYA SH. MIL.9 KUTOKA KIWANDA CHA KEDA(TWYFORD)


NA MWAMVUA MWINYI,PWANI 
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amekabidhiwa boksi za vigae kiwango cha kwanza 200, zenye thamani ya sh .milioni Tisa kutoka kiwanda cha vigae KEDA (Twyford)kilichopo kata ya Pera ,ambapo zinaelekezwa katika sekta ya elimu na afya. 
Msaada huo ni kwa ajili ya ujenzi wa zahanati iliyoko kata ya Bwilingu na shule ya sekondari Chahuwa pamoja na ofisi ya serikali ya kata ya Miono.Akipokea msaada huo ,Ridhiwani alisema ,kata ya Miono imekabidhiwa boksi 105 na...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RIDHIWANI APOKEA VIGAE VILIVYOGHARIMU MIL.9 KUTOKA KIWANDA CHA KEDA(TWYFORD)

NA MWAMVUA MWINYI,PWANI 
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amekabidhiwa boksi za vigae kiwango cha kwanza 200, zenye thamani ya sh .milioni Tisa kutoka kiwanda cha vigae KEDA (Twyford)kilichopo kata ya Pera ,ambapo zinaelekezwa katika sekta ya elimu na afya. 
Msaada huo ni kwa ajili ya ujenzi wa zahanati iliyoko kata ya Bwilingu na shule ya sekondari Chahuwa pamoja na ofisi ya serikali ya kata ya Miono.
Akipokea msaada huo ,Ridhiwani alisema ,kata ya Miono imekabidhiwa boksi 105...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA JANET MBENE ATEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIGAE CHA MKOANI MBEYA

 Naibu waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akizungumza, mmoja waviongozi wa kampuni ya Marmo and Garnito Mines wakati alipokuwa kwenye ziara ya viwanda mkoani mbeya hivi karibuni. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara,Janet Mbene,akiangalia  baadhi ya bidhaa zilizotengenezwa na kampuni ya Marmo and Garnito Mines kwa ajili ya matumizi mbalimbali  Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara , Janet Mbene, akitembelea sehemu ya kiwanda cha Marmo anda Granito Mines.

 

5 years ago

Michuzi

DC MBARALI APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KUTOKA CHAMA CHA WAFANYAKAZI SERIKALI ZA MITAA MBEYA

Charles James, Michuzi TV

KATIKA kuunga mkono jitihada za serikali za kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Mkoani Mbeya (TALGWU) wametoa misaada ya vifaa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Ruben Mfune.

Vifaa vilivyotolewa na Chama hicho ni pamoja na Kipima joto, Vitakasa mikono Lita 10, Vidonge vya Klorini 500 na Barakoa zipatazo 150, huku wakiwaomba wadau wengine kujitokeza kuchangia vifaa hivyo.

Akizungumza baada ya kupokea vifaa hivyo, DC Mfune...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI WA AFYA APOKEA VIFAA VYA TIBA KUTOKA MISRI

 …Akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Balozi Hossam Moharam akiwa kwenye hafla hiyo. Waziri wa…

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali inajenga Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya viluwiluwi vya mbu

Meneja-Uhusiano-na-Mawasiliano-wa-Shirika-la-Maendeleo-ya-Taifa-NDC-Abel-Ngapemba-kushoto-kulia-Inginia-Godfrey-Mahundi.

Meneja Uhusiano wa Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC) Abel Ngapemba (kushoto) akiwa na Injinia Godfrey Mahundi.

Frank Mvungi-Maelezo

Serikali kutumia Euro Milioni 16 katika ujenzi wa Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vinavyoua viluwiluwi vya mbu wanaoambukiza malaria ulioko chini ya shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) unaotarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.

Hayo yamesemwa na Meneja Uhusiano wa Shirika hilo Bw. Abel Ngapemba wakati wa mkutano nawaandishi wa habari leo jijini Dar es...

 

5 years ago

Michuzi

MAAFISA WASHIRIKI KUTOKA CHUO CHA ULINZI WA TAIFA(NDC) WATEMBELEA KIWANDA CHA GEREZA KUU UKONGA JIJINI DSM


Maafisa Washiriki kutoka Chuo cha Ulinzi wa Taifa wakizungumza na mfungwa ambaye amepatiwa ujuzi gerezani wa fani ya ushonaji katika Kiwanda cha Ushonaji cha Gereza Kuu Ukonga kama inavyoonekana katika picha. Maafisa Washiriki kutoka Chuo cha Ulinzi wa Taifa wakitoka  katika Kiwanda cha Gereza Kuu Ukonga kuendelea na ziara yao ya mfunzo katika maeneo mbalimbali...

 

10 years ago

Michuzi

WAKUU WA TAASISI ZA MAGEREZA KUTOKA NCHI ZA AFRIKA WATEMBELEA KIWANDA CHA VIATU CHA GEREZA KUU KARANGA MOSHI, MKOANI KILIMANJARO

 Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Botswana, Silas Motlalekgosi akisalimiana na Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza wa Mkoani Kilimanjaro alipotembelea Kiwanda cha Viatu cha Gereza Kuu Karanga Moshi leo Juni 25, 2015 akiwa na Viongozi Wakuu wa Taasisi za Urekebishaji/ Magereza kutoka Nchi za Swaziland, Uganda, Kenya, Zambia. Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Swaziland, Isaya Ntshangase akisaini kitabu cha Wageni alipowasili katika Kiwanda cha Viatu cha Gereza Kuu Karanga, Moshi...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ULINZI AZINDUA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIFAA VYA UJENZI CHA UTURUKI

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe.Hussen Mwinyi (katikati), akikata utepe kuzindua rasmi kiwanda cha kutengezea vifaa vya ujenzi cha Uturuki STONE BLOCK BUILDING. Jun 2,2014.kilichopo Kawe Mbezi Beach jijini Dar es Salaam (wakwanza kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki, Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Ali Davutoglu na maofisa wa Uturuki. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki wakijadiliana jambo na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Ali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani