RIDHIWANI APOKEA VIGAE VYA SH. MIL.9 KUTOKA KIWANDA CHA KEDA(TWYFORD)
![](https://1.bp.blogspot.com/-RQ2AZvFRMuU/XsZ5r5gk7DI/AAAAAAALrH8/CQ_pLelAeDURgMJUMzhkfsDk0MuXUxkoACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200521_132705_8.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amekabidhiwa boksi za vigae kiwango cha kwanza 200, zenye thamani ya sh .milioni Tisa kutoka kiwanda cha vigae KEDA (Twyford)kilichopo kata ya Pera ,ambapo zinaelekezwa katika sekta ya elimu na afya.
Msaada huo ni kwa ajili ya ujenzi wa zahanati iliyoko kata ya Bwilingu na shule ya sekondari Chahuwa pamoja na ofisi ya serikali ya kata ya Miono.Akipokea msaada huo ,Ridhiwani alisema ,kata ya Miono imekabidhiwa boksi 105 na...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RQ2AZvFRMuU/XsZ5r5gk7DI/AAAAAAALrH8/CQ_pLelAeDURgMJUMzhkfsDk0MuXUxkoACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200521_132705_8.jpg)
RIDHIWANI APOKEA VIGAE VILIVYOGHARIMU MIL.9 KUTOKA KIWANDA CHA KEDA(TWYFORD)
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amekabidhiwa boksi za vigae kiwango cha kwanza 200, zenye thamani ya sh .milioni Tisa kutoka kiwanda cha vigae KEDA (Twyford)kilichopo kata ya Pera ,ambapo zinaelekezwa katika sekta ya elimu na afya.
Msaada huo ni kwa ajili ya ujenzi wa zahanati iliyoko kata ya Bwilingu na shule ya sekondari Chahuwa pamoja na ofisi ya serikali ya kata ya Miono.
Akipokea msaada huo ,Ridhiwani alisema ,kata ya Miono imekabidhiwa boksi 105...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA JANET MBENE ATEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIGAE CHA MKOANI MBEYA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1doY2Eku0Uk/XrEKuSmSoXI/AAAAAAALpKE/pgXRUzdHCncSbRGq02ZL8fzpCD7t5CWLgCLcBGAsYHQ/s72-c/72609f15-87bb-4a65-a319-f9ffb3677353.jpg)
DC MBARALI APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KUTOKA CHAMA CHA WAFANYAKAZI SERIKALI ZA MITAA MBEYA
KATIKA kuunga mkono jitihada za serikali za kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Mkoani Mbeya (TALGWU) wametoa misaada ya vifaa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Ruben Mfune.
Vifaa vilivyotolewa na Chama hicho ni pamoja na Kipima joto, Vitakasa mikono Lita 10, Vidonge vya Klorini 500 na Barakoa zipatazo 150, huku wakiwaomba wadau wengine kujitokeza kuchangia vifaa hivyo.
Akizungumza baada ya kupokea vifaa hivyo, DC Mfune...
10 years ago
GPLWAZIRI WA AFYA APOKEA VIFAA VYA TIBA KUTOKA MISRI
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Serikali inajenga Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya viluwiluwi vya mbu
Meneja Uhusiano wa Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC) Abel Ngapemba (kushoto) akiwa na Injinia Godfrey Mahundi.
Frank Mvungi-Maelezo
Serikali kutumia Euro Milioni 16 katika ujenzi wa Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vinavyoua viluwiluwi vya mbu wanaoambukiza malaria ulioko chini ya shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) unaotarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.
Hayo yamesemwa na Meneja Uhusiano wa Shirika hilo Bw. Abel Ngapemba wakati wa mkutano nawaandishi wa habari leo jijini Dar es...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5MEa7fk6GFE/XkVggmQTX3I/AAAAAAALdP4/vC4eEfE45hAz6UNsALngcA3EVM5RA00xACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-3-1AAA-1-768x512.jpg)
MAAFISA WASHIRIKI KUTOKA CHUO CHA ULINZI WA TAIFA(NDC) WATEMBELEA KIWANDA CHA GEREZA KUU UKONGA JIJINI DSM
![](https://1.bp.blogspot.com/-5MEa7fk6GFE/XkVggmQTX3I/AAAAAAALdP4/vC4eEfE45hAz6UNsALngcA3EVM5RA00xACLcBGAsYHQ/s640/PIX-3-1AAA-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX-4-1AA-1018x1024.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CwtsF90ihdM/VYwrgdmRWLI/AAAAAAAHkAU/Tz9WAlecA9g/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
WAKUU WA TAASISI ZA MAGEREZA KUTOKA NCHI ZA AFRIKA WATEMBELEA KIWANDA CHA VIATU CHA GEREZA KUU KARANGA MOSHI, MKOANI KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-CwtsF90ihdM/VYwrgdmRWLI/AAAAAAAHkAU/Tz9WAlecA9g/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-akYgRnZTGS8/VYwrgZB0cwI/AAAAAAAHkAY/SQnd6J-lfbQ/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/rGYvqTPuSok/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-d-1-E8YrF6c/U43WSLbVgXI/AAAAAAAFnYY/4ReeNUAbjW0/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA ULINZI AZINDUA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIFAA VYA UJENZI CHA UTURUKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-d-1-E8YrF6c/U43WSLbVgXI/AAAAAAAFnYY/4ReeNUAbjW0/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1tjrqbHh3g4/U43Whfc8tvI/AAAAAAAFnYg/EephneFTKaI/s1600/2.jpg)