Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiwanda cha Samsung chaporwa simu 40,000 nchni Brazil

Wezi walivamia kiwanda cha simu cha Samsung nchini Brazil usiku wa Jumatatu na kuiba mali yenye thamani ya dola milioni thelathini na sita. Mali hiyo ilikuwa pamoja na simu za mkononi na komputa. Genge hilo lililokuwa limejihami vikali, liliwateka wafanyakazi wanane waliokuwa wanaodnoka kazini na kuiba vitambulisho vyao ambavyo walivitumia kuweza kuingia katika kiwanda hicho […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kiwanda cha Samsung chaporwa Brazil

Wezi walivamia kiwanda cha Samsung nchini Brazil na kuiba mali yenye thamani ya dola milioni thelathini na sita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiwanda cha 'Samsung' chatumikisha watoto

Samsung imepata ushahidi wa kuwatumikisha watoto kinyume na sheria katika moja ya kiwanda cha kusambaza bidhaa zake nchini China

 

11 years ago

Mwananchi

Kiwanda cha nguo cha Tooku kuajiri 3,000

>Kiwanda cha Tanzania Tooku Garments Co. Ltd kinachozalisha nguo kwa ajili ya soko la Marekani kinakusudia kupanua zaidi shughuli zake na kuongeza idadi ya ajira kutoka 1,000 hadi 3,000.

 

5 years ago

Michuzi

Tigo yaungana na Samsung kuzindua simu janja aina ya Samsung S20 Tanzania

Meneja wa Bidhaa za Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Muyonga,akiongea katika uzinduzi wa simu aina Samsung S20,pembeni yake ni Meneja wa Samsung Tanzania, Suleiman Mohamed.

Wateja watakaonunua simu hiyo watajipatia Gb78 za intaneti kwa mwaka mzima

Dar es Salaam. Machi 13, 2020. Kampuni inayoongza kwa mageuzi ya kidigitali nchini, Tigo kwa kushirikiana na Samsung Electronics wamezindua Simu janja aina ya Samsung S20 nchini Tanzania.Simu hizo tatu ni Galaxy S20, Galaxy S20+ na Galaxy S20...

 

10 years ago

GPL

SAMSUNG YAZINDUA SIMU MPYA GALAXY S6

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia John Mngogo akipata maelezo kutoka kwa Hy Zong Sun Seo Mkurugenzi Mtendaji wa Samsung Electronics Tanzania wakati wa uzinduzi wa simu mpya ya Samsung Galaxy S6 iliyozinduliwa jana kwenye hoteli ya Hyyat Kilimanjaro jijini Dar es salaam , Kushoto ni Sylvestre Manyara Nteere , Meneja wa Mauzo na Usambazaji. Hy Zong Sun Seo Mkurugenzi Mtendaji wa Samsung Electronics...

 

10 years ago

BBCSwahili

Samsung yazindua simu nyembamba zaidi

Kampuni ya Samsung imezindua simu yake nyembamba zaidi aina ya smartphone kufikia sasa.

 

11 years ago

Michuzi

kiwanda cha nguo cha Mazava cha Morogoro chaadhimisha miaka mitano ya kiutendaji

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Bi. Janet Mbene (kulia) akiingia katika ukumbi kwa ajili ya halfa fupi ya miaka mitano ya kiwanda cha nguo cha Mazava cha Morogoro mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Wengine ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA), Dkt. Adelhelm Meru na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Bw. Joel Bendera (kushoto). Kiwanda hicho kinafanya kazi kwa leseni ya EPZA. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Bi. Janet Mbene akiongea wakati wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani