SAMSUNG YAZINDUA SIMU MPYA GALAXY S6
![](http://api.ning.com:80/files/Yyq9zrGrKEhPXdDWaKitqptFU0pJVjF8xaLqthdghg2dhk1CR0vvw*KKTGSdsLB6NcsrPDYVfJwf1uZ44KEkpdQxjmW2WbSo/S1.jpg)
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia John Mngogo akipata maelezo kutoka kwa Hy Zong Sun Seo Mkurugenzi Mtendaji wa Samsung Electronics Tanzania wakati wa uzinduzi wa simu mpya ya Samsung Galaxy S6 iliyozinduliwa jana kwenye hoteli ya Hyyat Kilimanjaro jijini Dar es salaam , Kushoto ni Sylvestre Manyara Nteere , Meneja wa Mauzo na Usambazaji. Hy Zong Sun Seo Mkurugenzi Mtendaji wa Samsung Electronics...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Samsung yazindua simu mpya ya Galaxy S5 ikilenga mambo muhimu ya wateja wake
Meneja wa Simu za mkononi wa Samsung Tanzania , Bw. Silvester Manyara, akiwaonyesha waandishi wa habari jinsi simu mpya inavyopima mapigo yake ya moyo. Pembeni yake ni Bw. Kishor Kumar, Meneja wa kitengo cha simu na mambo ya teknohama wa Samsung Tanzania.
Team ya Samsung Tanznia Bw. Silvester Manyara, Bw. Jang na Bw. Kishor Kumar kwenye picha ya pamoja wakionyesha Simu mpya ya Galaxy S% iliyozinduliwa rasmi hapa Dar es Salaam.
Waandishi wa habari pamoja na wateja wakishuhudia uzinduzi wa...
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Kampuni ya vifaa vya kielektroniki ya Samsung yazindua Samsung Galaxy Note 4 Tanzania
Bw. Mike Seo, Meneja Mtendaji wa Kampuni ya Kielectroniki ya Samsung Tanzania akiwahutubia wageni waalikwa katika uzinduzi rasmi wa simu ya Samsung Galaxy Note 4 uliofanyika katika ukumbi wa Terrace, Slip way.
Baada ya kusubiriwa miezi kadhaa, Kampuni ya kielektroniki ya Samsung Tanzania imeongeza rasmi mwanafamilia mpya katika simu aina ya Note. Tukio lililofanyika katika Ukumbi wa Terrace , Slipway ni alama ya uzinduzi rasmi na upatikanaji wa Samsung Galaxy Note 4 katika soko...
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Samsung yazindua simu nyembamba zaidi
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Samsung Galaxy Note 4- simu iliyosubiriwa na watu wengi yazinduliwa Africa
Macho yaelekea kwenye uzinduzi nchini Tanzania!
Kampuni ya Samsung imezindua toleo jipya la simu zake za Galaxy Note 4 Jijini Berlin Nchini Ujerumani Septemba 2014. Toleo hilo la teknolojia ya kisasa katika orodha za simu aina ya Note inazidi kuimarisha kampuni ya Samsung na kuzidi kufanya vizuri katika soko la simu duniani. Siku ya tarehe 17 Octoba, 2014 Kampuni ya Samsung ilifanya uzinduzi Mjini wa Cape Town- Afrika Kusini katika ziara ya Galaxy Note 4 Barani Africa.
Watanzania...
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TECNO YAZINDUA SIMU MPYA YA PHANTOM 5 WENGI WAICHANGAMKIA
5 years ago
Gizmochina18 Feb
Samsung Galaxy S20+ vs Samsung Galaxy Note 10+: Specs Comparison
5 years ago
Gadgets 36026 Mar
Samsung Galaxy A31 vs Samsung Galaxy A51: What's the Difference?
10 years ago
Dewji Blog31 Oct
Washindi 100 kuzawadiwa Samsung Gear S, kifaa pacha cha Galaxy Note 4 mpya
Kampuni ya vifaa vya kieletroniki ya Samsung imezindua kampeni ya kuweka oda kwa bidhaa yake mpya ya Galaxy Note 4 nchini Tanzania, ikiwa ni sehemu ya kushamirisha uzinduzi mkubwa utakofuatia wa bidhaa inayosubiriwa kwa shauku ya Samsung Galaxy Note 4. Kampeni hiyo itakayoendeshwa kuanzia tarehe 31 Oktoba hadi 14 Novemba 2014, inadhamiria kuwapa wateja wake wa kudumu nafasi ya kujipatia bidhaa hiyo ya kisasa zaidi katika familia ya simu za kiganjani za Note. Hali kadhalika kampeni...