Kiwanda chafafanua bei kubwa ya saruji
 Uongozi wa Kiwanda cha Saruji Mbeya, umesema unalazimika kuuza bei ya juu saruji yao mkoani hapa tofauti na maeneo mengine ili kufidia ubovu wa mitambo yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Kiwanda cha Saruji chazindua mashine
11 years ago
Habarileo12 May
Manufaa ya mwekezaji wa kiwanda cha saruji Mtwara
RAIS Jakaya Kikwete amejionea manufaa wanayopata wananchi waliozunguka kiwanda kikubwa cha saruji duniani, ikiwemo kujengewa nyumba, kupata huduma za uhakika za umeme, maji na vijana wao kupelekwa shule.
10 years ago
Habarileo28 Aug
Kiwanda cha Dangote kuzalisha saruji mwakani
KIWANDA cha saruji cha Kampuni ya Dangote, kinachojengwa mkoani Mtwara kinatarajia kukamilika ujenzi wake na kuanza uzalishaji wa saruji mwishoni mwa mwaka 2015, ambapo mwekezaji wake, raia wa Nigeria, Aliko Dangote, amesema kiwanda hicho kitakuwa moja ya viwanda bora duniani.
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Kiwanda hiki cha saruji kiko Mbeya?
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Bei ya mafuta, saruji zidhibitiwe
Na mwandishi wetu
WAKATI Bajeti Kuu ya serikali ya mwaka wa fedha 2014/2015, ikitarajiwa kuwasilishwa bungeni leo, Mkuu wa Kitengo cha Sayansi ya Siasa cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk. Benson Bana, ameshauri bei ya mafuta idhibitiwe na kuwa chini.
Alisema mafuta ni nishati muhimu ambayo inagusa maisha ya kila mwananchi na kwamba yakipanda bei yanachangia maisha ya wananchi kuwa magumu.
Dk. Bana alisema hayo jana alipokuwa akitoa maoni yake kuhusu muelekeo wa bajeti kuu ya serikali...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Ujenzi wa maabara wapaisha bei ya saruji
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Magufuli: Nitashusha bei ya saruji, mabati
NA BAKARI KIMWANGA, TUNDURU
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema endapo atachaguliwa kuongoza Serikali ya awamu ya tano, atahakikisha anashusha bei ya saruji na mabati ili kila Mtanzania aweze kufurahia
maisha kwa kujenga nyumba bora na nzuri.
Amesema hatakuwa tayari kuona bei ya vifaa vya ujenzi ikipaa hali ya kuwa viwanda vipya vitaanza uzalishaji.
Kauli hiyo aliitoa jana katika mikutano yake ya kampeni za kuomba kuchaguliwa kuwa rais katika wilaya za...
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Magufuli kupunguza bei ya saruji, mabati
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LRI-evpm1pc/U26XVieccPI/AAAAAAAFgxY/PK79krwc3C8/s72-c/d10.jpg)
Rais Kikwete atembelea kiwanda cha saruji kikubwa zaidi duniani
![](http://1.bp.blogspot.com/-LRI-evpm1pc/U26XVieccPI/AAAAAAAFgxY/PK79krwc3C8/s1600/d10.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qd_QfHUJoX8/U26XVm03xuI/AAAAAAAFgxc/2e1l1MBB4A0/s1600/d12.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h2dm3PqH7OE/U26XVRHi1II/AAAAAAAFgxU/X9Vd4uI2UyM/s1600/d16.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0WKQNQmes7A/U26XZKLB-hI/AAAAAAAFgxs/PvBc5NL3jJs/s1600/d17.jpg)