Kiwanja cha City Sports Lounge Posta chazinduliwa
Mkurugenzi wa Kampuni ya Jambo Concepts na Gazeti la Jambo leo Bw. Juma Pinto akiwa katika picha ya pamoja na DJ John Peter Pantalakis kushoto na DJ Masoud Masoud kwenye uzinduzi wa kiwanja cha City Sports Lounge Posta maarufu kwa kuonyesha mipira ya ligi mbalimabli za ulaya, uzinduzi huo umefanyika alhamis wiki hii na kuhudhuriwa na wageni waalikwa mbalimbali. uzinduzi huo umefanyika kufuatia ukarabati na uboreshaji wa mambo mbalimbali katika klabu hiyo yaliyofanyika kwa muda wa mwezi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi26 Dec
KIOTA CHA MARAHA CHA CITY SPORTS LOUNGE CHAZINDULIWA UPYA JIJINI DAR ES SALAAM
![jo1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/jo1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yj6Qxguti4g/VbJt5wOuV4I/AAAAAAAAfhg/ka-no6cbekQ/s72-c/Dance.jpg)
KIOTA KIPYA CHA MARAHA CHA JOZI LOUNGE CHAZINDULIWA MSASANI VILLAGE JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-yj6Qxguti4g/VbJt5wOuV4I/AAAAAAAAfhg/ka-no6cbekQ/s640/Dance.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-29LSQmTCdDI/VbJp8Ex5wfI/AAAAAAAAfg8/IlmJES_BX0A/s640/Shampaign.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TtTtS5aum5M/VbJp_B5hi7I/AAAAAAAAfhU/YcJyRMVgnh4/s640/Mmiliki%2Bna%2BMeneja%2Bwake.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Heineken® Unveils Club 777 Sports Lounge to Ignite UEFA Champions League Experience
Heineken Tanzania Country Manager Michael Mbungu (third from left in grey suit) looks on as Mrs. Jackie Mlatie pops a bottle of champagne to signify the official launch of Club 777, in Kawe Dar es salaam. He is flanked by Mr. Femin Mabachi (extreme right), the group CEO of Club 777. Looking on from left are Heineken Brand ambassadors Irene Jackson and Nuru.
-The unique Heineken® sports lounge will target football fans and Heineken® consumers in Tanzania and will offer unparalleled live...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-erNRg1-FaJg/VmSu7kaZcCI/AAAAAAAIKjk/mOlY_jBBNww/s72-c/bccf2cabe334e3009fd6b0adf253e47a.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MccjbN273aw/XvLvDdZm1dI/AAAAAAALvKk/02JlaBLCMXgiGiaUuDwMmeokdAzhljkAACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B10.58.31%2BPM.jpeg)
KITABU CHA NIMEJITAKIA CHA MOHAMMED HAMMIE CHAZINDULIWA RASMI NCHINI
Akizungumza nasi mwandishi wa kitabu hicho Bwana Mohammed amesema kuwa tayari riwaya hiyo imeshaanza kusambazwa katika baadhi ya maeneo hapa nchini ambapo kwa mkoa wa Dar es salaam kinapatika katika duka la TPH Bookshop lililopo posta, duka la kona ya riwaya lililopo Moroko, pamoja...
10 years ago
MichuziKiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) chatakiwa kuimarishwa kiushindani
Ujenzi huo unaotarajiwa kuongeza uwezo wa uwanja wa mara tatu zaidi umejikita katika sehemu za maegesho ya magari, sehemu ya abiria kupumzika, sehemu za abiria kupandia na kushuka kwenye ndege, ofisi za uhamiaji na huduma zingine muhimu.
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka hiyo Bw. Suleiman S. Suleiman...
10 years ago
VijimamboTAA yashauriwa kuimarisha kiushindani Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere JNIA.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0Q-RuMCpga8/VlAxvjVmYvI/AAAAAAAIHgc/Kxi4j1rxfzM/s72-c/078d5072-ca01-443a-83c6-36e145da1ea5.jpg)
Jengo la tatu la abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere lakamilika asilimia 65
![](http://3.bp.blogspot.com/-0Q-RuMCpga8/VlAxvjVmYvI/AAAAAAAIHgc/Kxi4j1rxfzM/s640/078d5072-ca01-443a-83c6-36e145da1ea5.jpg)
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Kampuni ya TRASWORLD yazindua huduma zake katika kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuzindua huduma za Kampuni ya Trasworld Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, (kulia) Mwenyekiti wa Transworld Abdallah Al Suleimany na (kushoto) Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi Gavu.
Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akiteremka kwenye ndege ya mizigo ya Astral baada ya uzinduzi wa Kampuni ya Trasworld.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Trasworld hapa Zanzibar Hassan...