Klabu mbalimbali zamkubali Ndumbaro
Klabu mbalimbali za Ligi Kuu zimeeleza kumuunga mkono wakili Dk Damas Ndumbaro na kusema zipo nyuma yake na zitamtetea hadi dakika ya mwisho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-slyYFHVMxNs/U7A1X9RLyhI/AAAAAAABBVE/irN-OpynlPs/s72-c/Aveva+na+Tupa.jpg)
TASWIRA MBALIMBALI KATIKA UCHAGUZI WA KLABU YA SIMBA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-slyYFHVMxNs/U7A1X9RLyhI/AAAAAAABBVE/irN-OpynlPs/s1600/Aveva+na+Tupa.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-muQk1KvkRzk/U7BDhTXefiI/AAAAAAABBZg/87EfsgWJvWo/s1600/da.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sbd9X9XmUZ0/U7BDiNNXYGI/AAAAAAABBZk/P6SdT8Q2Uvs/s1600/xx.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9LAffQCf_3A/U7BDiz4SSHI/AAAAAAABBZw/6vgNPMJlnd0/s1600/Rage.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-F21-9SBaYZA/U7A1sHGDr8I/AAAAAAABBZU/fYwVdWTwyHA/s1600/wg.jpg)
PICHA ZAIDI YA TUKIO...
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta
Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]
The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...
10 years ago
Mwananchi12 May
TFF yamkomalia Ndumbaro
10 years ago
Daily News12 May
Ndumbaro's ban upheld
Daily News
THE Tanzania Football Federation (TFF) Disciplinary Appeals Committee has upheld the seven-year ban from engaging in football activities within and outside the country imposed on Advocate Damas Ndumbaro. The committee's vice-chairman, Revocatus ...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Dk. Ndumbaro unaturejesha wapi?
NI Jumatatu nyingine tena, tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kama ada kupeana changamoto za kispoti, kiroho safi, ili kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Bila shaka mu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tFnIPNVy8zI/VDVdAxJwP4I/AAAAAAAGou4/vLvrbTNnYtM/s72-c/ndumbalo1.jpg)
Ndumbaro kikaangoni TFF
![](http://4.bp.blogspot.com/-tFnIPNVy8zI/VDVdAxJwP4I/AAAAAAAGou4/vLvrbTNnYtM/s1600/ndumbalo1.jpg)
MWANASHERIA, Damas Ndumbaro ameingia kikaangoni baada ya kuitwa kwenye kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ili kujibu tuhuma alizozitoa wiki iliyopita.
Barua hiyo iliyosainiwa na Katibu Mkuu wa TFF, Selestine Mwesigwa imemtaka Ndumbaro kufika kwenye ofisi TFF zilizopo jengo la PPF Tower leo saa 8:00 mchana kujadili masuala mbalimbali ikiwemo tuhuma alizozitoa kwenye vyombo vya habari hivi karibuni.
Ndumbalo ambaye ni mwanasheria wa klabu za Ligi...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Ndumbaro ‘jela’ miaka 7
KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), jana ilitangaza kumfungia miaka saba Wakili Dk. Damas Ndumbaru kutojihusisha na masuala ya soka kwa kile kilichoelezwa kuipotosha jamii na wadau...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Ndumbaro ngoma nzito
10 years ago
Dewji Blog21 May
Flaviana Matata atoa elimu ya fursa mbalimbali zinazopatikana PSPF kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali jijini Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-LHPZ7-a_r_8/VV2ZGspLtFI/AAAAAAAAbAM/WYTzcvCs1QQ/s640/PIC3%2Bc.jpg)
Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata akitoa elimu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu (hawapo pichani) jijini Mwanza.
![](http://2.bp.blogspot.com/-D8xi4V6BqwI/VV2ZCzkua0I/AAAAAAAAbAE/ahNmZXQRKI4/s640/PIC1%2Ba.jpg)
Afisa Mfawidhi Ofisi ya PSPF Mwanza, Bw. Salim Salim, akisalimiana na Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata, kabla ya kuanza semina ya siku moja kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu jijini Mwanza.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4pmGQ8A0Frc/VV2ZLaOmAEI/AAAAAAAAbAU/6BW2u-i8bUU/s640/PIC4%2Bd.jpg)
Baadhi ya wanafunzi wakisoma vipeperushi vyenye taarifa kuhusu Mfuko wa PSPF wakati wa semina juu ya Mfuko huo iliyotolewa na Balozi wa PSPF, Bi....