Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Klabu ya Simba yashirikiana na Tigo Tanzania kuzindua huduma ya Simba news

4

Meneja Mawasiliano ya Biashara wa Tigo Jacqueline Nnunduma, (kushoto) akizungumza na Waandishi wa Habari wakati wa uzinduzi wa huduma ya Simba News uliofanyika leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Rais wa Simba Evans Aveva na kushoto ni Mkurugenzi wa EAG Group LTD, Iman Kajula ambaye ni Mshauri wa kutekeleza shughuli za Kibiashara na Masoko katika Klabu ya Simba.

3

Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu uzinduzi wa huduma ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SIMBA SPORT CLUB YAZINDUA HUDUMA MPYA YA SIMBA NEWS

Rais wa Simba Sport Club Evans Aveva (katikati) Akizungumza katika Uzinduzi Huo Akiwa na   Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya EAG Group LTD Imani Kajula (Kushoto) Pamoja na Meneja Uendeshaji wa Premier Mobile Solutions, Bi Lulu Ramole.
Simba Sports Club kwa kushirikiana na Kampuni ya Tigo Tanzania zimezindua huduma ya ujumbe mfupi ijulikanayo kama ‘SIMBA NEWS’, ambayo lengo lake nikuwapatia wateja wa Tigo taarifa zinazoihusu klabu ya Simba popote walipo nchini.
Huduma hii mpya...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …

Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa, najua unahitaji kufahamu kuhusu stori za bilionea Mohamed Dewji ambaye maarufu kama MO kuweka bayana dhamira yake ya kutaka kuinunua Simba kupitia kipindi cha […]

The post Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba … appeared first on...

 

10 years ago

CloudsFM

Ukata yaimaliza Klabu ya Simba

Klabu ya soka ya Simba imekuwa ikifanya vibaya kwenye mechi zake za hivi karibuni katika mechi zake za ligi kuu ya Vodacom ambapo habari kutoka ndani ya klabu hiyo zinasema kuwa sababu ya kufanya vibaya kwa timu hiyo ni kutokana na ukata mkubwa ulioikumba klabu hiyo. Chanzo cha ndani kutoka kwenye Klabu hiyo kinasema kuwa kumekuwa na mgogoro ndani kwa ndani ya viongozi kwenye timu hiyo na inadaiwa kuwa wachezaji hawajalipwa mishahara yao na matatizo mengine mengi.
‘’Kiukweli klabu hii...

 

10 years ago

CloudsFM

11 years ago

Tanzania Daima

Nkamia kuzindua kitabu cha Simba

KITABU kilichosheheni historia ya Simba kuanzia mwaka 1920 hadi 2014, kinatarajiwa kuzinduliwa leo makao makuu ya klabu hiyo Mtaa wa Msimbazi, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mwandishi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

JOVAGO yashirikiana na Tigo Pesa kwa ajili ya malipo

Untitled

Jovago imetangaza leo kwamba imeingia katika ushirikiano na Tigo Tanzania, kampuni ya simu inayoongoza nchini. Katika ushirikiano huu, wateja wa Tigo Pesa sasa wataweza kulipia malazi yao kupitia akaunti zao za Tigo Pesa. Hii inakuja wakati muafaka ambapo muingiliano wa malipo ya pesa kupitia simu za mkononi katika tovuti za intanet umeonekana kama kiungo muhimu katika ukuaji wa sekta ya utalii katika mitandao.

 Huu ni ushirikiano wa pili kwa utoaji huduma ya malipo ya mtandao wa simu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani