Kocha: Simba tulikuwa na kikosi imara
Kocha mkuu wa Simba Mserbia, Goran Kopunovic amesema ameridhishwa na timu yake kushinda nafasi ya tatu ligi kuu ya Tanzania Bara
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kocha Pluijm apangua kikosi Yanga
11 years ago
Michuzi
KOCHA NOOIJ KUTAJA KIKOSI CHA STARS NOVEMBA 4

Nooij atatangaza kikosi hicho mbele ya waandishi wa habari katika mkutano utakaofanyika saa 4.30 asubuhi kwenye ofisi za TFF zilizoko ghorofa ya tatu, Jengo la PPF Tower jijini Dar es Salaam.
Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itacheza na...
9 years ago
StarTV17 Nov
 Kombe La Challenge Kocha Kibaden atangaza kikosi cha wachezaji 21.
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kujiandaa na michuano ya Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi Novemba 21, nchini Ethiopia.
Kibadeni anayesaidiwa na kocha Juma Mgunda, amesema wachezaji aliowaita wapo katika hali nzuri na wamekua wakifanya mazoezi na kikosi cha Taifa Stars ambao kama benchi la ufundi wamepata nafasi ya kuwa nao kwa muda mrefu na kutambua maendeleo yao.
Muda wa kutengana...
10 years ago
Michuzi
Kocha Mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij leo ametangaza kikosi cha wachezaji 28

Tanzania (Taifa Stars), Mart NooijKocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mart Nooij leo ametangaza kikosi cha wachezaji 28 watakaoingia kambini katika hoteli ya Tansoma iliyo eneo la Gerezani jijini Dar es salaam, kujiandaa na michuano ya kombe la COSAFA na kuwania kufuzu kwa AFCON na CHAN mwezi Juni mwaka huu. Akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF amesema, wachezaji 28 aliowaita, amewaona kwa...
11 years ago
Mwananchi28 Aug
Kiongera achelewesha kikosi Simba
10 years ago
Mwananchi17 Aug
Kikosi cha kwanza Simba shakani
10 years ago
GPLKIKOSI CHA AZAM KITAKACHOKWAANA NA SIMBA LEO
11 years ago
GPL
KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO NA SIMBA SC
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Kopunovic: Sina kikosi cha kwanza Simba