Komba ahofia kutorudi bungeni
MBUNGE wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba (CCM) amehofia kutorudi bungeni katika uchaguzi mwakani kutokana na kukosekana kwa mawasiliano ya simu za mkononi Jimboni kwake. Akiuliza swali bungeni jana, alisema...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM06 Jun
MH.KOMBA ASEMA PICHA ZILIZOSAMBAA KWENYE MITANDAO ZIMETENGENEZWA,ZAMFANYA ASHINDWA KUINGIA BUNGENI LEO
Mbunge huyo amesema kwamba picha hizi zimetengenezwa na maadui wake wa kisiasa na kwamba yeye sio Kiongozi wa hovyo hovyo namna hiyo. Kapteni Komba amesema kwamba anawakaribisha wataalamu wa Picha na Mitandao kutihibitisha ukweli wa picha hizo zinazoonyesha Mwanadada akiwa na kipande cha khanga tu huku Mbunge huyo akiwa pembeni yake akionyesha kutokuwepo kabisa kwenye Mahaba yanayotakiwa kuwa yanaendelea baina yao.
Mbunge huyo ameuliza zaidi iweje awe kwenye mapenzi kama picha zinavyo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-dFEDb863k1A/VLgffMpVdlI/AAAAAAAAVnQ/71qv-s-tRmU/s72-c/2.jpg)
KINANA AWATAKA WANA CCM ZANZIBAR KUTORUDI NYUMA
Awaambia washikamane kudumisha umojaAwaambia unyonge hautakiwi kwa wana CCM
![](http://1.bp.blogspot.com/-dFEDb863k1A/VLgffMpVdlI/AAAAAAAAVnQ/71qv-s-tRmU/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-duBiv2MkxeU/VLgfpqyeg0I/AAAAAAAAVoI/NZCZ_1H1cAA/s1600/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIM5ZSWhuBY*kL9Yow9JvZkRB*0iFth18jhk8M4nLFFAiu1YTP1R*yoIhGNejnDRVtsuWblHzGRQk*EiMU*ZzPVPTblO2DRT/Nisha.jpg)
NISHA AHOFIA UZEE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BvvAZRNFqnT3kzW1p4vKjtzHWuwMDet0DD99Fmo6gwWL8KVbUGdoA5SAqXg74IG*IqP2ZCUh-fz0NDuZ1TM6zhjYX2gTKwNI/ODAMA.jpg)
ODAMA AHOFIA KIFO
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Rooney ahofia kufungwa Uswisi
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Kardashian ahofia kupata kisukari
NEW YORK, MAREKANI
MKE wa Kanye West, Kim Kardashian, amehofia kupata ugonjwa wa kisukari kutokana na ulaji wake wa ovyo wa vyakula vya aina mbalimbali kipindi hiki cha ujauzito wake.
Mrembo huyo anatarajia kupata mtoto wa pili kabla ya Desemba 26.
“Ninaamini nina afya njema, lakini kuna wakati najikuta nakula bila mpangilio hivyo naweza kupata ugonjwa wa sukari, ninaamini hali hii inatokana na ujauzito na ndiyo maana muda mwingi natamani kula,” alisema Kim.
Hata hivyo, mrembo huyo atakuwa...
10 years ago
BBCSwahili31 Aug
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Lipumba ahofia deni la taifa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfhkGPkFTf71B8tAHur-*LhgPERdUpr-G-*m6rAJVuWkAPhs9DOb10A2DJJrkEiwuJLWNM8q0knEi3O3VRM2iPlg/jokate.jpg)
JOKATE AHOFIA HOMA YA DENGU