Kombora lalipua matenk ya mafuta,Libya
Vikosi vya zima moto vya Libya vinapambana kujaribu kuuzima moto baada ya kombora la roketi kulipua tanki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
Mtikila Amerusha Kombora Kwa Mgombea Urais Edward Lowasa..Nimekuwekea Hapa Hilo Kombora

KATIKA UCHAGUZI MKUU HUU TUSIRUHUSU MAFISADI WALICHEZEE TAIFA
Edward Lowasa ni balaa kwa Taifa!
Democratic Party (DP) inatarajia kufikisha Mahakamani chama chaCCM pamoja na wanachama wake sita, Edward Lowasa na wengine,kwa mujibu wa Ibara ya 26 ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, kwa kosa
kubwa sana la kuvunja Katiba na Sheria za Nchi kwa kuanza kampeniya Uchaguzi kabla ya wakati unaopasa kwa mujibu wa Sheria.1 Tunao ushahidi mzito unaothibitisha kwamba Edward Lowasa nawenzake walianza kampeni ya...
11 years ago
BBCSwahili08 Mar
Wanamgambo wa Libya wasafirisha mafuta
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Waasi Libya waridhia mafuta yauzwe
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Waasi waviteka visima vya mafuta Libya
11 years ago
BBCSwahili08 Mar
Walioteka bandari Libya wauza mafuta nje
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Bomu lalipua wanne tena Arusha
Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi, Kamishina Issaya Mngulu.
Na Mwandishi wetu
Watu wanane wamejeruhiwa katika mlipuko wa Bomu uliotokea asubui ya leo maeneo ya Uzunguni jijini Arusha.
Akizungumza na Waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi Kamishina Issaya Mngulu alisema, tukio hilo lilitokea majira ya saa nane usiku ambapo watu wasiojulikana walirusha bomu hilo ndani ya mgahawa ujulikanao kamaVama Traditional Indian...
10 years ago
VijimamboMamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), imepunguza bei za mafuta kote nchini
5 years ago
Michuzi
EWURA yapewa siku 10 kupitia bei za mafuta katika maghala ya kuhifadhi na kupokea mafuta.

Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani (wa pili kulia)akipita kukagua mazingira ya ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP, alipofanya ziara katika eneo hilo mkoani Tanga, Mei 10, 2020.

Shehena ya Mafuta ikiwa imepakiwa katika matangi tayari kwa kusafirishwa,hapa ni katika ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP mkoani Tanga, Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani, alifanya ziara katika eneo hilo, Mei 10,2020.

Baadhi ya mapipa makubwa ya kuhifadhia mafuta...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Dk. Slaa arusha kombora
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimefichua siri kwamba Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeanza kuuza baadhi ya viwanda vya umma kwa wake za marais na wabunge wa chama...