KONA YA MAKENGEZA: Bongo hoteli mwaga ugali tujimwage na mboga
>Duh! Kwa nini hatuoni? Kwa nini hawasemi ukweli? Kwa nini hatujisifu? Sisi ndiyo sisi. Hoteli kubwa kuliko zote duniani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mz78Jmrm5Z0s*sVsSNUmBAF-un66w0E3h-URSoguCAjLvh*C0yolgsauyl6QNym8Wiv8GkaViWq5CCynXa9mtzn/Obama.gif?width=650)
BIBI AMUANDALIA OBAMA UGALI, MBOGA ZA KIENYEJI
Mwandishi wetu
LICHA ya Ubalozi wa Marekani jijini Nairobi kusisitiza kuwa Rais Barack Obama hatatembelea Kijiji cha K’Ogelo, alikozaliwa baba yake mzazi, bibi yake, Mama Sarah Obama amesema atamuandalia chakula kizuri cha kiasili ukiwamo ugali na mboga za majani za kienyeji. ...Soma zaidi====>http://bit.ly/1LEqlxf
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PKqFvLw0-EfN8rEhgWXwHWev6l9M5Y*ci*Z0*JajCdG6OmhEtFW1CuXpPdbF1XZs0fnVRqbYP1*0m8WlRmMJ6tZ/wemasepetu.jpg?width=650)
WEMA KAMWAGA MBOGA, KAJALA AJIANDAA KUMWAGA UGALI
Staa katika tasnia ya Bongo Movie, Wema Isaac Sepetu. Baada ya siku za hivi karibuni, Wema Sepetu kuamua kumwaga mboga kwa kumfungukia shosti wake wa zamani Kajala Masanja kwa kusema si rafiki mzuri na pia amefilisika, inadaiwa Kajala anajiandaa kumwaga ugali, Ijumaa limetonywa. Rafiki wa karibu wa Kajala aliyeomba hifadhi ya jina lake, alimtonya mwandishi wetu kuwa maneno anayoyatoa Wema yanamkosesha amani mwenzake na kwamba...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
KONA YA MAKENGEZA :Makengeza juu, juu zaidi!
Kwanza kabisa, awali ya yote, nasimama kidete bila shukrani za dhati kupinga kwa nguvu zote jinsi gazeti lako lilivyonidhalilisha mimi pamoja na ng’wanamakengeza wenzangu. Yaani unaanza kutoa makala mfululizo kuhusu athari za makengeza hivihivi tu! Bila hata kutuuliza sisi na kupata maoni yetu? Bila kujali hisia zetu?
9 years ago
Mwananchi09 Sep
UKWELI UTAKUWEKA HURU: CCM inapomwaga ugali, Ukawa inamwaga mboga
Sasa tumeingia katika kipindi cha kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu. Katika uchaguzi huo Watanzania kwa mara nyingine watapata fursa ya kuwachagua madiwani, wabunge na Rais wa awamu ya tano.
9 years ago
Mwananchi11 Oct
KONA YA MAKENGEZA : Umimi na Umeme
Mwishiwa mwenzangu,
Hebu nisaidie. Tangu matangazo ya juzi nawasikia watu:
‘Si ndio haohao. Ngoja tarehe 25. Watakoma kabla hawajakomaa.’
‘Naam. Za mhujumu hazifiki 40. 25 zinatosha.’
Kisha watu wanacheka. Kupanda daladala vilevile.
9 years ago
Mwananchi18 Oct
KONA YA MAKENGEZA : Videmo watadumu?
Haya jamani, nadhani huyu mtafiti si wa kupuuzwa.
Nimegundua kwamba demokrasia au tuseme kidemo ni kama kifaru. Ni mnyama mkubwa, mwenye nguvu, ni mnyama anayependeza hadi kila mtu anataka kuona kidemo angalau mara moja katika maisha yake.
9 years ago
Mwananchi13 Sep
KONA YA MAKENGEZA : Usanii si sanaa
Mimi ni msanii. Hapana, jamani, mimi siyo mtangazania, mtiania, mbwiania, mfiania, sina nia ya ya kuwania au kubania nia za wengine. Ni msanii mpenzi wa sanaa. Bahati mbaya nafasi zetu za sanaa zimevamiwa na makanjanja wa sanaa ambao wanajiita wanasiasa eti siasa ni usanii. Siasa si usanii halali ingawa siasa na sanaa mara nyingi wanalala kitanda kimoja.
9 years ago
Mwananchi27 Sep
KONA YA MAKENGEZA : Nyomi ya matochi
Nimechoka kampeni. Nimechoka vijembe vya wanaojiita majembe huku wakilimana badala ya kuzingatia kilimo cha mahindi. Kumbe kilimo kwanza maana yake ni kutumia kiserema kuwachimbachimba wapinzani wako kwa udaku na uzushi.
9 years ago
Mwananchi29 Nov
KONA YA MAKENGEZA : Sisimizi ndani ya sukari
Juzi sisi waishiwa tulikutana tena sebuleni mwetu. Kwa bahati nzuri, wale wasakasupu hawakuwepo. Baada ya Mwishiwa Supu kuamuru hakuna kupewa bakuli ya dezo zaidi ya moja, wachache walisusa eti. Bila bakuli tatu na minofu kibao hawako tayari kukaa na kujadili mambo muhimu ya taifa letu na waishiwa wenzetu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania