WEMA KAMWAGA MBOGA, KAJALA AJIANDAA KUMWAGA UGALI
![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PKqFvLw0-EfN8rEhgWXwHWev6l9M5Y*ci*Z0*JajCdG6OmhEtFW1CuXpPdbF1XZs0fnVRqbYP1*0m8WlRmMJ6tZ/wemasepetu.jpg?width=650)
Staa katika tasnia ya Bongo Movie, Wema Isaac Sepetu. Baada ya siku za hivi karibuni, Wema Sepetu kuamua kumwaga mboga kwa kumfungukia shosti wake wa zamani Kajala Masanja kwa kusema si rafiki mzuri na pia amefilisika, inadaiwa Kajala anajiandaa kumwaga ugali, Ijumaa limetonywa. Rafiki wa karibu wa Kajala aliyeomba hifadhi ya jina lake, alimtonya mwandishi wetu kuwa maneno anayoyatoa Wema yanamkosesha amani mwenzake na kwamba...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mz78Jmrm5Z0s*sVsSNUmBAF-un66w0E3h-URSoguCAjLvh*C0yolgsauyl6QNym8Wiv8GkaViWq5CCynXa9mtzn/Obama.gif?width=650)
BIBI AMUANDALIA OBAMA UGALI, MBOGA ZA KIENYEJI
10 years ago
Mwananchi01 Mar
KONA YA MAKENGEZA: Bongo hoteli mwaga ugali tujimwage na mboga
9 years ago
Mwananchi09 Sep
UKWELI UTAKUWEKA HURU: CCM inapomwaga ugali, Ukawa inamwaga mboga
11 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala
Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Dec
Kajala akunwa na kumwaga mahela kwa waimbaji wa Skylight Band wanaotoa burudani kila Ijumaa Thai Village, Masaki
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village huku akipewa sapoti na Digna Mbepera.
Digna Mbepera na Bela Kombo wakimpa back up Aneth Kushaba AK47 kwenye show zao za kila Ijumaa ndani ya viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.
Majembe ya Skylight Band yakionyesha manjonjo yao jukwaani Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki.
Aneth Kushaba na Sam Mapenzi wakiwapa raha mashabiki wao...
10 years ago
Bongo Movies27 May
'Wema Sepetu Msamehe Kajala' Mashabiki Wamlilia Wema
Ikiwa ni masaa kadhaa yamepita toka msanii wa filamu nchini Kajala Masanja kufunguka ya moyoni juu ya Wema Sepetu na Petit Man na kueleza kuwa kamwe katika maisha yake ya hapa Duniani hawezi kusahau fadhila na moyo wa upendo ambao
ulioneshwa na watu wao kipindi ambacho alikuwa na matatizo na jinsi walivyoweza kujitolea mpaka kufikia hatua ya kuweza kumsaidia katika matatizo ambayo alikuwa anakabiliana nayo kwa kipindi kile.
Kajala alifunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Instgram na...
11 years ago
MichuziWakulima Mbeya Waneemeka na Elimu ya uzalishaji wa Mboga Mboga kutoka TAHA