Kongamano la Uhuru wa habari WPFD kufanyika Morogoro Mei 2-3, wadau zaidi ya 200 kushiriki
Mwenyekiti wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na maadhimisho ya siku ya uhuru wa habari duniani (WPFD) yatakayofanyika tarehe 2 mwezi Mei mwaka huu mkoani Morogoro.
Na Modewjiblog team
Wanahabari na wadau wa habari wanatarajiwa kukutana Mkoani Morogoro kwa siku mbili kwa kusanyiko la maadhimisho ya siku ya Uhuru wa habari duniani (WPFD),...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/MISATAN-Chairperson-Simon-Berege-addresses-the-media-during-a-press-conference-to-introduce-World-Press-Freedom-Day-2015.jpg?width=640)
KONGAMANO LA UHURU WA HABARI WPFD KUFANYIKA MOROGORO MEI 2-3, WADAU ZAIDI YA 200 KUSHIRIKI
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Uhuru wa habari kuadhimishwa Arusha Mei 3
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dOwoeAo4YTQ/VVYPoEOuECI/AAAAAAAC4iY/zDoJ22W8-8s/s72-c/Pix%2B03.jpg)
Waziri Membe afunga rasmi kongamano la wadau wa habari ukanda wa Afrika Mashariki.
![](http://2.bp.blogspot.com/-dOwoeAo4YTQ/VVYPoEOuECI/AAAAAAAC4iY/zDoJ22W8-8s/s640/Pix%2B03.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-e3EmLDi3F50/VVYPoIxozuI/AAAAAAAC4ic/RAD7Hp2YLuI/s640/Pix%2B01.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
Zaidi ya miradi 50 yenye thamani ya Sh. 10.3 Bil. kupitiwa na Mwenge wa uhuru mkoani Morogoro
Na Andrew Chimesela – Morogoro
Mkoa wa Morogoro unatarijia kupokea Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoa wa Tanga Juni 15, 2015 ambao utakaopitia miradi ya Maendeleo 51 yenye thamani ya Shilingi 10,367,768,943 za kitanzania.
Ukiwa Mkoani Morogoro, Mwenge wa Uhuru utakimbizwa katika Halmashauri zote saba za Mkoa huo ambazo ni Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero itakayopokea Mwenge kutoka Wilaya ya Kilindi, Halmashauri ya Wilaya ya Gairo na Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Halmashauri nyingine ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vl_EVEcGFPE/XnC3p9ZRvEI/AAAAAAALkEo/pUhpX0U9eXUNR9k4rEfI7xeMYd4vkKXmQCLcBGAsYHQ/s72-c/63c3b17a-c5d5-4b0d-83e7-97cfe5bb5ce1.jpg)
FORUMCC KUWAKUTANISHA WADAU WA MAZINGIRA ZAIDI YA 200 KATIKA MKUTANO MKUU WA SITA, RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE KUTOA HOTUBA
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
RAIS Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Jakaya Kikwete anatarajiwa kutoa hotuba katika Mkutano Mkuu wa Sita wa Mabadiliko ya Tabianchi unaotarajiwa kufanyika Machi 25 hadi 26 mwaka huu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam ambapo wadau zaidi ya 200 wanatarajiwa kuhudhuriwa mkutano huo.
Mkutano huo umeandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la FORUMCC linalojihusisha na kuleta ushawishi wa kuchukua hatua...
11 years ago
Dewji Blog06 May
Singpress yatoa msaada wa zaidi ya laki nane kwa Walemavu Siku ya Uhuru wa Habari
Mwalimu mkuu shule ya msingi mchanganyiko Ikungi waliya ya Ikungi, Olivary Kamilly, akizungumza ofisini kwake na wanachama wa klabu ya waandishi mkoa wa Singida, ambapo kwa kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, walitoa msaada wenye thamani ya zaidi ya shilingi laki nane kwa wanafunzi walemavu wakiwemo Albino katika shule hiyo.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
WANACHAMA wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida wameadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hOZXX85nCM0/VUsptBIplVI/AAAAAAAHV2g/D5VBVet20Qk/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-07%2Bat%2B11.55.42%2BAM.png)
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wasanii 200 kushiriki Sauti za Busara 2014
VIKUNDI 32 kutoka ndani na nje ya nchi vimechaguliwa kufanya maonesho ya muziki kwenye tamasha la 11 la Sauti za Busara linalotarajiwa kufanyika viwanja vya kihistoria vya Ngome Kongwe visiwani...
11 years ago
BBCSwahili16 Dec
1,200 wameuawa na Boko Haram tangu Mei