KONGAMANO LA WAJASIRIAMALI WANAWAKE NCHINI LAFANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4N4j6qHOfHQ/Vf12PrHoKPI/AAAAAAAH6Fo/oMOCsedWgJ4/s72-c/PICS%2B1.jpg)
Meneja wa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bi. Mwanjaa Sembe (katikati) akimfafanulia jambo Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Media, Reginald Mengi katika Kongamano la Wajasiriamali Wanawake nchini kabla ya uzinduzi wa Kampuni ya Voice of Women Entrepreneures Tanzania (VoWET) uliofanyika jijini Dar es Salaam leo (jana).wa kwanza kushoto ni Meneja Msaidizi wa Mfuko huo Bi Matilda Nyallu.
Wafanyakazi wa Mfuko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF wakiwa katika Banda la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZVV31cbW_Eo/U0OhosR8UxI/AAAAAAAFZQI/x3Iog900x8w/s72-c/IMG_3287007296269_resized.jpeg)
Kongamano na maonyesho ya wanawake Wajasiriamali Tanzania lafana sana
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZVV31cbW_Eo/U0OhosR8UxI/AAAAAAAFZQI/x3Iog900x8w/s1600/IMG_3287007296269_resized.jpeg)
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Kongamano na maonyesho ya wanawake Wajasiriamali Tanzania yafana
Kongamano la wanawake Wajasiriamali Tanzania lilofanyika katika ukumbi wa Mbezi Garden Hotel lilifana , mada mbalimbali ziliwasilishwa katika kongamano hilo liliandaliwa na Tanzania Business Entreprenuers for Women(TBEW) wakiongozwa na Haika Lawere Mkurugenzi Mtendaji wa Mbezi Garden Hotel.
Kampuni na vikundi vya wajasiriamali zaidi ya 30 vilishiriki maonyesho ya bidhaa na wajasiriamali zaidi ya 100 walishiriki katika semina zilizokuwa zinafanyika sambamba na maonyesho hayo.
Washiriki...
10 years ago
Dewji Blog26 May
PSPF ya ungana na wanawake wajasiriamali katika hafla ya kuendeleza umoja wa wajasiriamali Dar
Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF).
Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiriamali Shamimu Mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo Jokate Mwegelo.
Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) kushoto Hadji...
10 years ago
VijimamboPSPF YA UNGANA NA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KATIKA HAFRA YA KUENDELEZA UMOJA WA WAJASIRIAMALI DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziWANAWAKE WA INDIA WATEMBELEA VIKUNDI VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI MKURANGA
5 years ago
MichuziDC MBONEKO AONGOZA MAMIA YA WANAWAKE KONGAMANO LA WANAWAKE 'SHINYANGA WOMEN'S DAY OUT'
10 years ago
GPLKONGAMANO LA WAJASIRIAMALI KUFANYIKA DAR, MWANZA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bLBTh9i3Y2Q/VN372NKE5nI/AAAAAAAHDh4/8GYokPjduf8/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
DCB yang'arisha Kongamano la Wajasiriamali Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-bLBTh9i3Y2Q/VN372NKE5nI/AAAAAAAHDh4/8GYokPjduf8/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0XTycMVaNBw/VN372N4vWgI/AAAAAAAHDh8/TYebnJcWRRg/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
9 years ago
MichuziNHIF Mkoa wa Manyara, yaendesha kongamano la uhamasishaji wa mpango wa Kikoa kwa wajasiriamali