Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kortini kwa kumlawiti mtoto wake

MKAZI wa mtaa wa Migongo kata ya Migongo Halmashauri ya Mji wa Masasi mkoani Mtwara, Hajili Mpili (52) amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya ya Masasi kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miaka tisa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Jela maisha kwa kumlawiti mtoto

Kijana mmoja aitwaye Michael Edward (25) mkazi wa Mtaa wa Mji wa Zamani, Mkoa wa Katavi amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka na kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka saba.

 

10 years ago

GPL

NJEMBA APOKEA KICHAPO HEVI AKIDAIWA KUMLAWITI MTOTO ARUSHA

NJEMBA mmoja ambaye ni fundi saa maeneo ya Stendi Kuu jijini Arusha leo amepokea kipigo cha mbwa mwizi baada ya kudaiwa kumlawiti mwanafunzi wa kiume wa darasa la tatu wa shule moja jijini humo. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779)

 

10 years ago

Mtanzania

Kortini kwa kulawiti mtoto

Maneno Selanyika na Ramadhani Mwakikato, Dar es Salaam
MKAZI wa Mbezi Beach Dar es Salaam, Tuntutye Mwasyete (25), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni akikabiliwa na tuhuma za kumlawiti mtoto (jina limehifadhiwa) mwenye umri wa mwaka mmoja.
Mbele ya Hakimu, Lilian Rutehangwa, Wakili wa Serikali Masini Musa alidai kwamba tukio hilo lilitokea Mei 14 mwaka huu huko Kawe.
Mtuhumiwa alikana shtaka hilo na alirejeshwa mahabusu hadi Juni 24 mwaka huu yatakaposomwa maelezo ya awali.

 

11 years ago

Mwananchi

Kortini kwa tuhuma za kumshambulia mtoto

Mkazi mmoja wa Kitangiri jijini Mwanza, Sophia Rafael (32), amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kumng’ata kidole mtoto wake.

 

11 years ago

Habarileo

Kortini kwa kuua mtoto wakipigana na mama

MKAZI wa kijiji cha Mkangala katika Mji wa Namanyere Mkoa wa Rukwa, Charles Mtonja (19) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu wa Wilaya ya Nkasi akituhumiwa kumuua mtoto wake wa kike, Kolo Mtonja , mwenye umri wa mwaka mmoja kwa kumpiga na fimbo kichwani wakati akigombana na mama yake .

 

10 years ago

Habarileo

Kijana jela miaka 30 kwa kumlawiti mwanafunzi

Pingu.MAHAKAMA ya Wilaya ya Tabora imehukumu Masudi Nassor (20) kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mwanafunzi wa kike wa shule ya msingi mwenye umri wa miaka tisa.

 

5 years ago

Michuzi

Njombe:Kijana mbaroni kwa tuhuma za kumlawiti mwenzake wa miaka 15

Na Amiri kilagalila,NjombeMKAZI wa mtaa wa Kivavi mjini Makambako mkoani Njombe Peter paulo Chaula (30) anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumlawiti mwenzake mwenye umri wa miaka 15 akionekana kuwa na mazoea kutokana na madai kuwa ni mpenzi wake.
Akizungumza na kituo hiki kwa njia ya simu kamanda Issa amesema mtuhumiwa huyo anashikiliwa na jeshi hilo baada ya kupata taarifa hizo kutoka kwa wananchi.
“Kijana huyu Peter Chaula ni mfanyabiashara,ni hali isiyoyakawaida kwasababu baada...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mchungaji wa kanisa akamatwa kwa tuhuma ya kumficha ndani mtoto wake kwa miaka 12

IMG_1239

Kijana mkazi wa kijiji cha Itaja tarafa ya Mgori wilayani Singida, Timotheo David (30), akiwa amelazwa wodi namba nne hospitali ya mkoa wa Singida baada ya kuletwa na jeshi la polisi siku mbili zilizopita. Inadaiwa kuwa Timotheo baada ya kuugua Malaria kali mwaka 2003 na kuchanganyikiwa akili, alifungiwa ndani chumbani toka wakati huo hadi juzi alipotolewa na polisi na kuletwa hospitalini. Kwa mujibu wa Kaimu Mganga mfawidhi hospitali ya mkoa, Dk.Napaiya Petro, Timotheo hana ugonjwa wo wote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani