Kortini kwa kumlawiti mtoto wake
MKAZI wa mtaa wa Migongo kata ya Migongo Halmashauri ya Mji wa Masasi mkoani Mtwara, Hajili Mpili (52) amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya ya Masasi kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miaka tisa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Jela maisha kwa kumlawiti mtoto
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-2FtVb9E37WHprXkJNjn07h45JjrWRsgcBOgaar0PR5vhmgDLJgTssGbLiVL-MOJQmBtPwLwhufE4qPWW-E2dap/njemba.jpg?width=650)
NJEMBA APOKEA KICHAPO HEVI AKIDAIWA KUMLAWITI MTOTO ARUSHA
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Kortini kwa kulawiti mtoto
Maneno Selanyika na Ramadhani Mwakikato, Dar es Salaam
MKAZI wa Mbezi Beach Dar es Salaam, Tuntutye Mwasyete (25), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni akikabiliwa na tuhuma za kumlawiti mtoto (jina limehifadhiwa) mwenye umri wa mwaka mmoja.
Mbele ya Hakimu, Lilian Rutehangwa, Wakili wa Serikali Masini Musa alidai kwamba tukio hilo lilitokea Mei 14 mwaka huu huko Kawe.
Mtuhumiwa alikana shtaka hilo na alirejeshwa mahabusu hadi Juni 24 mwaka huu yatakaposomwa maelezo ya awali.
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Kortini kwa tuhuma za kumshambulia mtoto
11 years ago
Habarileo16 Feb
Kortini kwa kuua mtoto wakipigana na mama
MKAZI wa kijiji cha Mkangala katika Mji wa Namanyere Mkoa wa Rukwa, Charles Mtonja (19) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu wa Wilaya ya Nkasi akituhumiwa kumuua mtoto wake wa kike, Kolo Mtonja , mwenye umri wa mwaka mmoja kwa kumpiga na fimbo kichwani wakati akigombana na mama yake .
10 years ago
Habarileo17 Apr
Kijana jela miaka 30 kwa kumlawiti mwanafunzi
MAHAKAMA ya Wilaya ya Tabora imehukumu Masudi Nassor (20) kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mwanafunzi wa kike wa shule ya msingi mwenye umri wa miaka tisa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S238o7hD_rM/XvSAX5vpU7I/AAAAAAALvXc/x8TVFnCHiLk1vgPEb_loI58WeXzvPZUfACLcBGAsYHQ/s72-c/MBARONI.jpg)
Njombe:Kijana mbaroni kwa tuhuma za kumlawiti mwenzake wa miaka 15
![](https://1.bp.blogspot.com/-S238o7hD_rM/XvSAX5vpU7I/AAAAAAALvXc/x8TVFnCHiLk1vgPEb_loI58WeXzvPZUfACLcBGAsYHQ/s640/MBARONI.jpg)
Akizungumza na kituo hiki kwa njia ya simu kamanda Issa amesema mtuhumiwa huyo anashikiliwa na jeshi hilo baada ya kupata taarifa hizo kutoka kwa wananchi.
“Kijana huyu Peter Chaula ni mfanyabiashara,ni hali isiyoyakawaida kwasababu baada...
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mchungaji wa kanisa akamatwa kwa tuhuma ya kumficha ndani mtoto wake kwa miaka 12
Kijana mkazi wa kijiji cha Itaja tarafa ya Mgori wilayani Singida, Timotheo David (30), akiwa amelazwa wodi namba nne hospitali ya mkoa wa Singida baada ya kuletwa na jeshi la polisi siku mbili zilizopita. Inadaiwa kuwa Timotheo baada ya kuugua Malaria kali mwaka 2003 na kuchanganyikiwa akili, alifungiwa ndani chumbani toka wakati huo hadi juzi alipotolewa na polisi na kuletwa hospitalini. Kwa mujibu wa Kaimu Mganga mfawidhi hospitali ya mkoa, Dk.Napaiya Petro, Timotheo hana ugonjwa wo wote...
10 years ago
Michuzi16 Mar