Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kortini kwa kulawiti mtoto

Maneno Selanyika na Ramadhani Mwakikato, Dar es Salaam
MKAZI wa Mbezi Beach Dar es Salaam, Tuntutye Mwasyete (25), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni akikabiliwa na tuhuma za kumlawiti mtoto (jina limehifadhiwa) mwenye umri wa mwaka mmoja.
Mbele ya Hakimu, Lilian Rutehangwa, Wakili wa Serikali Masini Musa alidai kwamba tukio hilo lilitokea Mei 14 mwaka huu huko Kawe.
Mtuhumiwa alikana shtaka hilo na alirejeshwa mahabusu hadi Juni 24 mwaka huu yatakaposomwa maelezo ya awali.

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kigogo CCM kortini kwa kulawiti wanawe

Katibu Msaidizi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Rogers Msangi (44), amepandishwa kizimbani mjini Moshi akituhumiwa kuwalawiti watoto wake wawili.

 

9 years ago

Mwananchi

Jela maisha kwa kulawiti mtoto

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemuhukumu kifungo cha maisha jela, Seleman Nassibu (20) baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa miaka 13.

 

10 years ago

Habarileo

Padri aliyekuwa akitafutwa kwa kulawiti mtoto afariki

Sixtus Kimaro enzi za uhai wakeMTUHUMIWA wa kesi ya kulawiti mtoto wa kiume, aliyekuwa akitafutwa na Mahakama ya Rufaa, Sixtus Kimaro, ambaye alikutwa na tuhuma hizo wakati akiwa Padri katika Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, amefia nchini Msumbiji na mwili wake umesafirishwa kuja Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mtanzania

Polisi jela maisha kwa kubaka, kulawiti mtoto

Na Faraja Masinde, Dar es Salaam

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, imemhukumu askari polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, G 9762 PC Daniel (24) kutumikia kifungo cha maisha jela, baada ya kupatikana na makosa ya kubaka na kumlawiti mtoto wa miaka 13.

Mbali na kifungo hicho, mtuhumiwa huyo ameamriwa kulipa fidia ya Sh milioni 2 ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hizo.

Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mfawidhi, Said Mkasiwa baada ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kortini kwa tuhuma za kumshambulia mtoto

Mkazi mmoja wa Kitangiri jijini Mwanza, Sophia Rafael (32), amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kumng’ata kidole mtoto wake.

 

10 years ago

Habarileo

Kortini kwa kumlawiti mtoto wake

MKAZI wa mtaa wa Migongo kata ya Migongo Halmashauri ya Mji wa Masasi mkoani Mtwara, Hajili Mpili (52) amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya ya Masasi kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miaka tisa.

 

10 years ago

Habarileo

Mbaroni akituhumiwa kulawiti mtoto

POLISI mkoani Kagera inamshikilia mkazi wa Manispaa ya Bukoba, Jovin Kasuno (22) kwa tuhuma za kulawiti mtoto mwenye umri wa miaka sita na kumuumiza.

 

10 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kulawiti mtoto wa mkewe

MKAZI wa eneo la Majengo mjini Manyoni, Juma Saidi (32) anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kumlawiti mtoto wa mkewe. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 14, anasoma Kidato cha Kwanza katika shule moja ya sekondari wilayani Manyoni na inadaiwa alifanyiwa kitendo hicho juzi saa 6 usiku nyumbani kwao.

 

11 years ago

Habarileo

Kortini kwa kuua mtoto wakipigana na mama

MKAZI wa kijiji cha Mkangala katika Mji wa Namanyere Mkoa wa Rukwa, Charles Mtonja (19) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu wa Wilaya ya Nkasi akituhumiwa kumuua mtoto wake wa kike, Kolo Mtonja , mwenye umri wa mwaka mmoja kwa kumpiga na fimbo kichwani wakati akigombana na mama yake .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani