Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KRENI YAUA 107 MJINI MECCA NCHINI SAUDI ARABIA

 Gavana katika eneo la Mecca ameamrisha kufanyika uchunguzi kufuatia kuanguka kwa kreni katika msikiti mkubwa zaidi duniani. Utawala nchini Saudi Arabia unasema kuwa upepo mkali ndio ulisababisha kreni iliyokuwa ikitumika kwa ujenzi kuanguka kwa msikiti mkubwa mjini mecca ambapo watu 107 waliuawa na wengine takriban 200 kujeruhiwa.
 Mkuu wa idara ya ulinzi wa angani nchini humo alisema kuwa kulikuwa na mvua kubwa wakati ajali hiyo ilipotokea na upepo ulikuwa ukivuma kwa takriban kilomita 83...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kreni yaua 107 mjini Mecca

Gavana katika eneo la Mecca ameamrisha kufanyika uchunguzi kufuatia kuanguka kwa kreni katika msikiti mkubwa zaidi duniani

 

9 years ago

GPL

MSIKITI NCHINI SAUDI ARABIA WAPOROMOKA NA KUUA WATU 107

Kreni  baada ya kuangukia msikiti wa Masjid al-Haram Uokoaji ukiendelea Waumini wa dini ya kiislam wakitaharuki msikitini hapo mara baada ya tukio hilo. Waokoaji…

 

9 years ago

Dewji Blog

More than 700 killed in Saudi Hajj stampede and 863 injured in crush at Mina outside Mecca, Saudi’s

meccbAt least 717 people have been killed in a stampede at the annual Hajj pilgrimage, Saudi Arabia’s civil defence directorate said, as the death toll continued to rise.

The directorate said at least 863 other pilgrims were injured in Thursday’s stampede, which took place in Mina, on the outskirts of the holy city of Mecca.

The injured have been evacuated to four different hospitals in the Mina region, according to a civil defence spokesman.

Mina is where pilgrims carry out a symbolic stoning of...

 

10 years ago

GPL

PINDA AAGANA NA BALOZI WA SAUDI ARABIA NCHINI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na balozi wa Saudi Arabia nchini Mhe. Hani Mominah baada ya mazungumzo yao.  Balozi huyo alikwenda ofisini kwa Waziri Mkuu  jijini Dar es salaam. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi balozi wa Saudi Arabia Nchini, Mheshimiwa Hani Mominah  baada ya mazungumzo yao. Balozi huyo alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es… ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani nchini Syria wakutana Saudi Arabia

Makundi ya upinzani nchini Syria yanatarajiwa kukutana nchini Saudi Arabia katika jitiha za kuwaunganisha

 

10 years ago

Michuzi

PINDA AAGANA BALOZI WA SAUDI ARABIA NCHINI

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na balozi wa Saudi Arabia nchini Mhe. Hani Mominah baada ya mazungumzo yao.  Balozi huyo alikwenda ofisini kwa Waziri Mkuu  jijini Dar es salaam  leo Februari 13, 201 kuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.,Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi balozi wa Saudi Arabia Nchini, Mheshimiwa Hani Mominah  baada ya mazungumzo yao. Balozi huyo alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Februari 13, 2015 kuaga. Picha na ofisi ya...

 

10 years ago

Michuzi

NYALANDU AKARIBISHA WAFANYABIASHARA WA SAUDI ARABIA KUWEKEZA SEKTA YA UTALII NCHINI

 Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (wa pili kushoto) akimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Chemba ya Biashara ya Saudi Arabia Dk. Abdulrahman Al-Zamil (wa tatu kushoto) jijini Riyadh, Saudi Arabia. Wengine katika picha kutoka kulia ni Mshauri wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Mamlaka ya Wanyamapori ya Saudia Mohammad Sulayem; Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru na Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia Prof. Abdillah Omari.  Waziri...

 

5 years ago

BBCSwahili

Waasi wa Houthi wadungua ndege ya kivita ya Saudi Arabia nchini Yemen

Waasi wa Houthi wamesema wameidungua ndege ya jeshi la Saudi Arabia, wakati Saudi Arabia ikisema ''ilianguka''.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani