Kumbe Rais Kikwete anawatambua UKAWA
WAKATI mwingine viongozi wa vyama vya siasa hapa nchini wanapaswa kumuonea huruma Rais Jakaya Kikwete, hasa pale anapothubutu kuchukua uamuzi mgumu ulioweza kuwashinda marais waliomtangulia. Tatizo, baadhi ya wanasiasa wenzake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Rais Kikwete amekutana na Ukawa kujadili nini?
9 years ago
Mtanzania05 Sep
Ukawa wavamia nyumbani kwa Rais Kikwete
Na Elias Msuya, Bagamoyo
MGOMBEA Mwenza wa Chadema kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji, ametinga wilayani Bagamoyo na msafara wake ikiwa ni mwendelezo wa safari zake za kampeni.
Wakizungumza katika mkutano huo uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Majengo, makada wa umoja huo, waliwataka wananchi wa Bagamoyo kumchagua mgombea urais, Edward Lowassa, ili atatue kero zao.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Zanzibar), Ali Said Mohamed, alisema wilaya hiyo ndiko anakotoka...
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Werema: Rais Kikwete hawezi kuwafukuza Ukawa bungeni
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uGIVdkcQHqE/VbeUi8yNZCI/AAAAAAAAyi4/PPdSLGnRyLE/s72-c/Kikwete-and-Lowassa.jpg)
TWEET YA RAIS KIKWETE BAADA YA KUSIKIA LOWASA KAJISALIMISHA KWA UKAWA JITIRIRISHE CHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-uGIVdkcQHqE/VbeUi8yNZCI/AAAAAAAAyi4/PPdSLGnRyLE/s640/Kikwete-and-Lowassa.jpg)
While everyone is talking about Hon. Edward Lowassa and UKAWA right now, the is one of the more recent tweets from the President of Tanzania Hon. Dr. Jakaya Kiwete. I’m just wondering if it has anything to do with the Lowassa-UKAWA issue.
![](http://4.bp.blogspot.com/-gVVcB5HIxEI/VbeU1Rm0pzI/AAAAAAAAyjA/GOUlXjUPeDA/s640/Kikwete-Tweet-e1438079537317.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqrqTXKxTow0k7P5EzOlFGTS*sHQFsZycdrvd4fH3tJuFz2d9tVEVsn9mLKkXpxynPTtnzhymaEzFG7BR-brcfvB/CHEKANAKITIME.jpg)
KUMBE RAIS MTARAJIWA NDUGU YANGU KABISA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s72-c/shemeji.jpg)
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s640/shemeji.jpg)
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vrrPEUxQWyQ/Xr_hFeVdX-I/AAAAAAALqco/ANMEx9ct6rssKzfmkELonwFRzyFwuSWiQCLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
DAWA YA CORONA KUMBE ALIKUWA NAYO RAIS MAGUFULI...AHSANTE KWA KUTUPONYA WATANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vrrPEUxQWyQ/Xr_hFeVdX-I/AAAAAAALqco/ANMEx9ct6rssKzfmkELonwFRzyFwuSWiQCLcBGAsYHQ/s400/4-4-1024x944.jpg)
RAIS Dk.John Magufuli naomba nianze kwa kukusalimia mzee wangu.Shikamoo,natumai unaendelea vema na jukumu la kuwatumikia Watanzania na hasa ya kuleta maendeleo yao.
Baada ya salamu iliyoambatana na unyenyekevu mkubwa kwako naomba sasa nieleze jambo japo kidogo tu.Ndio kuna kitu nataka kueleza na linahusu janga la virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid- 19.
Kama mnavyofahamu ugonjwa huo bado umeendelea kuwa tishio duniani kote.Mataifa madogo na makubwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ZA_ISGweYXI/VaPgc8SujKI/AAAAAAABRo8/H3gEr69IJLU/s72-c/SAMIA%2BSULUHU.jpg)