Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumbi za starehe, michezo zafungwa kunusuru uchumi Zambia

Serikali ya nchi hiyo imetangaza kufungwa kwa kumbi zote za burudani huku mechi zote za mpira zikiahirishwa kupisha siku maalumu ya kuliombea taifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Waomba kunusuru uchumi Zambia

Viongozi wakuu Zambia wanahudhuria siku kuu ya kitaifa ya kufunga na kuliombea taifa hilo ilikunusuru thamani ya sarafu yake

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA,MWIGULU NCHEMBA ANAISHI HIVI NA WANANCHI WAKE KAMA KUMBI KUMBI

Comrade Mwigulu Nchemba akiwa amembeba Mtoto katika kijiji cha kaselya wakati alipotembelea kukagua Usambazaji wa Nguzo za Umeme na Waya Jimboni Iramba. Mh,Mwigulu Nchemba akiteta jambo na Mama huyu Mlemavu wa Ngozi ambaye Mwigulu amekuwa akimsaidia katika Maisha yake,Hapa Mama huyu amebarikiwa kupata mtoto hivyo anamuonesha Mbunge wake hapa Iramba,Comrade Mwigulu Nchemba akimsikiliza Mwananchi wake mwenye Ulemavu katika kijiji cha Ndulungu Jimboni Iramba.Mh.Mwigulu Nchemba akipokea...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yaomba miaka 2 kunusuru uchumi

Ugiriki imeomba makubaliano mapya na nchi za Ulaya zinazotumia sarafu ya euro ili kunusuru uchumi wake

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki iko tayari kunusuru uchumi wake

Serikali ya Ugiriki imeleezea imani yake kwamba mkataba kuhusu madeni yake, utafikiwa ndani ya saa arobaini na nane,

 

10 years ago

Mwananchi

Sugu ataka michezo iwe kitega uchumi

Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) na Waziri Kivuli wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema ili michezo nchini ifanikiwe ni lazima igeuzwe kuwa kitega uchumi kwa taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kunani vyoo kumbi za burudani Dar ?

SEHEMU inayoitwa choo ni sehemu muhimu kwa maisha ya kila siku ya binadamu na ndiyo maana kuna usemi kuwa, nyumba bila choo haijakamilika. Lakini, maana halisi ya choo ni zaidi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Washereheshaji walia kumbi kuhodhi kila kitu

CHAMA cha Washereheshaji (SAA), kimesema changamoto kubwa inayowakabili katika shughuli zao ni kumbi nyingi na sehemu kadhaa zinapofanyika sherehe kuhodhi shughuli zote. Akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa chama hicho...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wadau wa sanaa, kumbi, watakiwa kujisajili Basata

KAIMU Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mungeleza amewataka wasanii na wadau wote wanaojihusisha na shughuli za sanaa kujisajili kwa baraza hilo kupata vibali vya kuendesha...

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA AKUTANA NA WATANZANIA WAJASIRIAMALI WAISHIO NDOLA ZAMBIA

Balozi wa Tanzania nchini Zambia,Mhe Balozi Grace Mujuma tarehe 2 Julai hadi 6 Julai 2014 alifanya ziara ya kikazi ya siku nne jimbo la Copperbelt mji wa Ndola. Katika ziara hiyo, Mhe Balozi aliambatana na Afisa Ubalozi Richard M. Lupembe. Sambamba na ziara hiyo, tarehe 6 Julai 2014 Mhe Balozi alikutana na kufanya mkutano na Watanzania ambao ni wajasiriamali wadogo wadogo wanaoishi Mjini Ndola Zambia.
Katika mkutano huo, Watanzania walikuwa na mengi ya kumweleza Mhe Balozi kupitia risala...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani