KUNA WALIOUMBWA KUTOKUWA NDANI YA NDOA?
![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*Nn*o1l9InUpxgUD9hr0VYf7S13TQJ-m0DfJBzESEe3dEuzmjZj5TR3rhFhA4WjitCMik1fibkpVIELTm0qwxVT4/Love.jpg)
SALAMU zangu za heri ya mwaka mpya wa 2015 ziende kwa kila msomaji wa safu hii ya maisha. Katika mada yangu ya leo, nimeanza na kichwa cha habari chenye swali. Lakini naamini tutakwenda sawasawa mpaka mwisho. Nimeuliza kwenye utambulisho kuwa; kuna walioumbwa kutokuwa ndani ya ndoa? Hapa nina maana ya mwanamke na mwanaume! KWANZA TUFAHAMU HILI Kwanza napenda ieleweke kuwa ndoa ni mpango wa Mungu kwa wanadamu. Ndoa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzAC0hP813LXfucEkNsJ4djnwUAahXga5m9ot3*7w8WaYWVk2o-bOrr1M-3H2C46wOWBlCO0c-hDw*Q2HPxyQa79/Loves.jpg)
KUNA WANAOISHI KWA RAHA NA VIMADA KULIKO NDANI YA NDOA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu1olEQnFCxY12prQNbX0YywIHvVfi0JwNL-Xk7sDQEDIoRXs6nguE5NeKrdoENctxzSbHVQ9UaNNgfPbsbxVyAl/constipation530x450.jpg?width=650)
JE, KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MIUNGURUMO KWA MWANAUME KATIKA TENDO LA NDOA?
10 years ago
Bongo Movies07 Jan
PICHA: Ukiona Jirani Anafaidika Na Mali Yako....Jua Kuna Mchawi Ndani Ya Nyumba Yako-Lulu
Kwa upande wa fasheni hakuna anebisha kuwa mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ni DIVA wa ukweli kwa hapa Bongo na Afrika, Akitupia picha hizi Lulu aliandika msomo huu,
“Ukiona jirani anafaidika na mali yako....jua kuna mchawi ndani ya nyumba yako”
Mimi sijui alikuwa anamaanisha nini, lakini nadhani kila mtu anaweza kutafsiri kwa namna alivyo muelewa.Jambo la msingi jionee picha hizo alizopigwa na Slide Visuals..Enjoy!!
10 years ago
Bongo516 Feb
Vituko vya Valentine’s day: Ndoa zafungwa kwa staili yake ndani ya jeneza siku ya wapendanao! (Picha)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s72-c/MJENGWA.jpg)
KUNRADHI YA MJENGWABLOG KUTOKUWA HEWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s1600/MJENGWA.jpg)
MJENGWABLOG HAIKO HEWANI TANGU JANA SAA TATU USIKU. NI KUTOKANA NA MATATIZO YA KIUFUNDI KWENYE DATA CENTRE NCHINI MAREKANI ZINAKOHIFADHIWA.
WAHUSIKA WALIOKO KWENYE DATA CENTRE WANAFANYA KAZI KATIKA KILA DAKIKA KUHAKIKISHA HITILAFU HIYO INAREKEBISHWA HARAKA IWEZEKANAVYO.
KWA SASA UNAWEZA KUENDELEA KUTUPATA KWENYE URSTREAM KWANZAJAMII RADIO, WEBSITE KWANZAJAMII.COM, FACEBOOK: KWANZAJAMII RADIO FANS
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI,
MAGGID...
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Faida ya wabunge kutokuwa mawaziri
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Ufisadi ni zao la Kutokuwa na hofu ya Mungu
10 years ago
Vijimambo26 Dec
UFISADI NI SAO LA KUTOKUWA NA HOFU NA MUNGU
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2569042/highRes/907516/-/maxw/600/-/i4b85lz/-/malasusa+clip.jpg)
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa amesema watanzania...