KUPOTEA KWA UJAUZITO (PSEUDOCYSIS)
![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCzu2eFj4blA7BvGBWrTLsPrrb1eilN8T0pVkKANZFYGzs7*dPI0gfpkzSDxDs6dBkHcxhQA5VmVu-SDdFHoFN-x/False_pregnancy.jpeg?width=650)
Tatizo hili pia huitwa ‘false Pregnancy’ au Phantom Pregnancy au Hysterical Pregnancy’ na wataalamu wengine huita ‘Pseudo pregnancy’.Mwanamke mwenye tatizo hili hujihisi ni mjamzito lakini baada ya muda huona siku zake kama kawaida. Mwanamke anakuwa na dalili zote za ujauzito  kama matiti kujaa, chuchu kuuma, kuhisi kichefuchefu na hata kutapika asubuhi au kutopenda baadhi ya vyakula lakini...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQJztPvYEO8BtIHnOD347wEbr7SSq1*mkURHWebGooYSR2Wlx-MBqGDBqs6TxvgbuyVoQQ3ADdpTN6BAn6kQgAHj/malaysiaairlinesmh370.jpg?width=650)
UTATA WAZIDI KUPOTEA KWA NDEGE YA MALAYSIA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rCkai9e3ez4/Uw634IfRuRI/AAAAAAACbMY/M_pLA4y5kMY/s72-c/picha+aliyepotea+2.jpg)
TAARIFA YA KUPOTEA KWA BIBI HUSNA NCHINI MALAYSIA .
Kwa taarifa Husna ni Muuguzi (Nurse) ila haifahamiki hospitali gani na mji gani.
Mume wake ni Mwanajeshi na ndoa yao ilifungwa kijeshi. Tafadhali atapopata tangazo hili au yeyote mwenye taarifa zake awasiliane na namba hizi Mob: +60102987357 Tel: +60342517603 Kuala Lumpur, Malaysia Email: apoloniamwangosi@yahoo.com
![](http://2.bp.blogspot.com/-rCkai9e3ez4/Uw634IfRuRI/AAAAAAACbMY/M_pLA4y5kMY/s1600/picha+aliyepotea+2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SlE-GvMUbts/Xpf30DNLLBI/AAAAAAALnHo/BN6za-nGCjES6aQJhPEhKWo8yM8WbLlugCLcBGAsYHQ/s72-c/KUPOTEA%2BMTOTO%2BWA%2BKHADIJA.png)
TAARIFA YA KUPOTEA KWA MTOTO SAMIR DAIM LUAMBANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-SlE-GvMUbts/Xpf30DNLLBI/AAAAAAALnHo/BN6za-nGCjES6aQJhPEhKWo8yM8WbLlugCLcBGAsYHQ/s640/KUPOTEA%2BMTOTO%2BWA%2BKHADIJA.png)
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Tangazo la kupotea kwa ndugu Nsajigwa Kennedy Mwang’onda
![](http://4.bp.blogspot.com/-s_KR-9BAeIY/VQFY320X3zI/AAAAAAABdDE/31hVuNUncTA/s1600/Tita%2B1.jpg)
Familia ya Marehemu Robert Mwang’onda wa Mabibo jijini Dar es Salaam wanapenda kutangaza kupotelewa na ndugu yao Nsajigwa Kennedy Mwang’onda ambaye aliondoka nyumbani Mabibo CCM – Karibu na Chuo Cha Usafirishaji toka tarehe 26-2-2015. Anamatatizo la kupoteleza Kumbukumbu.
Atakayemuona awafahamishe kwa simu namba 0715 919 168 Frank Mwang’onda, 0682 822 111/ 0754 631 888.
Au atoe taarifa kituo chochote cha Polisi kwa URP/RB/2331/2015.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hi2UxHe4seE/U-CpayyXX_I/AAAAAAAF9Ow/dg4UM5VJZ88/s72-c/unnamed.jpg)
NEWS ALERT:KUPOTEA KWA MTOTO FAITH CHARLES RUHEMBE
![](http://1.bp.blogspot.com/-hi2UxHe4seE/U-CpayyXX_I/AAAAAAAF9Ow/dg4UM5VJZ88/s1600/unnamed.jpg)
Usalama ni kwa shangazi yake Catherine Ruhembe, ambaye ni shemeji yangu na dada wa mke wangu Carolyne Ruhembe. Tumeshatoa taarifa vituo vya polisi na TV pia.
Pamoja na ujumbe huu, naambatanisha picha yake kwa ufafanusi zaidi. Kwenye picha ni huyo binti. Ikiwa ufafanuzi zaidi ya huu utahitajika,...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OSWLyUsVnRQ/Uy1J4vhFHbI/AAAAAAAAG14/WZO97dEC8js/s72-c/Malaysia-missing-jet.jpg)
DAKIKA 90: Kupotea kwa Air Malaysia na takwimu za usalama wa anga duniani
![](http://3.bp.blogspot.com/-OSWLyUsVnRQ/Uy1J4vhFHbI/AAAAAAAAG14/WZO97dEC8js/s1600/Malaysia-missing-jet.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-s_KR-9BAeIY/VQFY320X3zI/AAAAAAABdDE/31hVuNUncTA/s1600/Tita%2B1.jpg)
TANGAZO LA KUPOTEA KWA NDUGU NSAJIGWA KENNEDY MWANG'ONDA
10 years ago
Bongo Movies15 May
Baada ya Kupotea kwa Muda: Wema Sepetu Arudi tena Mzigoni Akiwa na JB
Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameshare nasi kipande kidogo cha video ya kazi mpya inayokwenda kwa jina la Chungu Cha Tatu akiwa na Staa mwenzake, Jacob Stephen 'JB' wakiwa 'lokesheni'.
Kwa muda mrefu sasa Wema Sepetu amekuwa afanyi filamu, Bila shaka mashabiki wake wana hamu kubwa sana ya kumuona tena kwenye filamu.
Jionee kipande cha kazi hiyo HAPA
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Baada ya kupotea kwa wiki mbili, staa wa soka Ivory Coast amekutwa amefariki mtoni Ujerumani …
Ikiwa ndani ya wiki zisizo pungua tatu ulimwengu wa soka umepokea taarifa za vifo vya wanasoka wawili, mchezaji wa timu ya taifa ya Honduras Arnold Peralta na aliyekuwa mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya El Salvador Alfred Pacheco. January 2 ulimwengu wa soka umepokea taarifa za kifo cha beki wa zamani wa timu ya taifa ya […]
The post Baada ya kupotea kwa wiki mbili, staa wa soka Ivory Coast amekutwa amefariki mtoni Ujerumani … appeared first on TZA_MillardAyo.