Kuwahamisha watoto shule kunawaathiri kisaikolojia
Je, unajua kuwa baadhi ya wazazi wanaona ni suala la kawaida kuwahamisha watoto wao shule?Wapo wanaofanya hivyo kwa kujisikia na kufuata mkumbo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboBUNGE LA WATOTO OYSTERBAY SHULE YA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.
Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.
Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani akifuatilia hoja kwa makini.wakati kikao cha bunge la watoto likiendelea katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa...
9 years ago
MichuziBUNGE LA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Zao la tumbaku linavyoathiri watoto kiafya na kisaikolojia
Ukifika katika shamba la tumbaku Sikonge mkoani Tabora unaweza kushuhudia watoto wengi wakijumuika kufanya kazi mbalimbali kwa lengo la kupata ujira.
10 years ago
Mwananchi21 Mar
Ugomvi mbele ya watoto unajua kama huwaathiri kisaikolojia?
Umri kuanzia mwaka 0-6 ni kipindi ambacho wazazi wengi hudhani kwamba watoto wao hawawezi kujua/ kuelewa/ kujifunza kitu chochote kutoka kwao, huku wengi wakidhani kwamba ni umri ambao mtoto hawezi kuelewa hili ni jema na hili ni baya.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Hadija Mwinuka ametoa wito kwa wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalum wawapeleke shule badala ya kukaa nao nyumbani na kuwafungia
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Polisi wawarejesha shule watoto 30
.Polisi mkoani Rukwa, wamewarudisha shuleni watoto 30 wa shule za sekondari waliotaka kuacha shule kwa sababu za utoro.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnn8tpf811Q0qMHsPdtV*bBvrQbCK27mCNl2wBGqQi*wPw4GYiBBVjORyN0ZB8RvoKpJS54nO26-UTOOddpmV0T6/ggggggggggggg.gif)
DIAMOND ATELEKEZA WATOTO SHULE!
Gladness Mallya
KABANG! Staa anayevuna fedha nyingi kupitia kipaji chake cha muziki, Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amewatelekeza watoto katika Shule ya East Africa International jijini Dar ambao aliahidi kuwalipia ada, Risasi Mchanganyiko linakuwa la kwanza kukudondoshea. Wanafunzi wanaodaiwa kutelekezwa na Staa anayevuna fedha nyingi kupitia kipaji chake cha muziki, Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtExLKyaKI8e4JqNEXDaCjv5a7P0tVPE3uSKh3bzTk8bPhwE9GzWhPFhHsl8Px3G3jyw8-h8O-clzxHChjLzUA8yV/diamond21.jpg?width=650)
DIAMOND AFUNGUKA WATOTO WA SHULE!
Brighton Masalu
VUNJA ukimya! Mfalme wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, kwa mara ya kwanza amefunguka kuhusiana na sakata la watoto alioahidi kuwasomesha kushindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya ada. Akistorisha na Risasi Mchanganyiko ndani ya Hoteli ya Ntansoma jijini Dar alipokuwa akiwashukuru Watanzania kwa kumwezesha kutwaa Tuzo ya MTV Africa (Mama), Diamond alisema kilichotokea ni tamaa ya mtu...
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
‘Pelekeni watoto shule za seminari’
WAZAZI na walezi mkoani Mtwara, wametakiwa kuwapeleka watoto wao kwenye shule za seminari ili wapate elimu bora na maadili mema yatakayowasaidia maishani, kwa vile siku hizi wototo wengi hawana maadili....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania