KWA NILIVYOTENDWA, SINA IMANI NA MWANAMKE!
![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GYQTGd5OKWozVglAeU42Dlb4FMwCeumxpBX2DtQ3Ba-MRnhwAIa4ygYba*Rh0*l5BWOnl7h-iSDpLM70tYWftNl/yyyyyyy.jpg?width=650)
Nimatumaini yangu kuwa Sikukuu ya Idi ilikuwa murua na hongereni kwa kusherehekea vizuri. Kama nilivyoahidi wiki iliyopita kwamba wiki hii nitatoa nafasi kwenu wasomaji kusikia maoni yenu juu ya mada ambazo nimekuwa nikizileta kwenu juu ya uhusiano wa kimapenzi. Mmoja wa watoa maoni anadai hana imani tena na mwanamke kwa sababu aliwahi kutendwa vibaya na msichana aliyempenda kwa dhati.Kwako mtoa maoni na wengine, kuumia na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Mwanamke auawa kwa imani za kishirikina
11 years ago
Mwananchi25 May
Wambura: Sina imani na kamati
11 years ago
Mtanzania30 Jul
Zitto: Sina imani na Ukawa
![Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Zitto-Kabwe.jpg)
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe
GABRIEL MUSHI NA VERONICA ROMWALD
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), kwa mara ya kwanza ameibuka na kupingana na harakati za Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
Zitto amesema hana uhakika wala hauamini Ukawa kama utakuwa umoja endelevu hadi kufikia Uchaguzi Mkuu mwaka 2015, kwa sababu si mara ya kwanza vyama vya upinzani kuungana na kugawanyika.
Mbali ya kutokuwa na imani na umoja huo, pia ameitaka Serikali kusitisha mchakato wa Katiba...
11 years ago
Habarileo17 May
Ateketezwa kwa moto kwa imani za ushirikina
MKAZI wa Kitongoji cha Chanji Kisiwani Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Elizabeth Mwananjela (60) ameungua na kufia ndani ya nyumba yake baada ya kuteketezwa na moto na watu wasiojulikana kisha kuibomoa.
11 years ago
Habarileo03 Jan
Achinjwa kwa imani za kishirikina
MKAZI wa Kijiji cha Kakese-Mkwajuni, wilayani Mpanda, Shoma Salum (78) ameuawa kwa kuchinjwa kwa kile kinachodaiwa ni kutokana na imani za kishirikina.
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
Wajiondoa vicoba kwa imani za kishirikina
WANANCHI mkoani Iringa, huenda wakakwama kufikia lengo la kuanzisha Benki ya wananchi waishio vijijini (Vicoba) kutokana na baadhi ya wanachama kujiondoa katika vikundi hivyo kutokana na imani za ushirikina. Hatua...
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Watano wafa kwa imani za kishirikina
10 years ago
Mwananchi03 Aug
Theresia , mjane aliyetengwa kwa imani za kishirikina
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Ndege ATCL yarejesha imani kwa abiria
SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limeweka rekodi ya ongezeko la abiria kwa asilimia 57 wiki chake baada ya kupokea ndege ya kukodi yenye uwezo wa kubeba abiria 50 aina...