Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa Picha: Kubadili dhana ya Afrika kupitia sanaa

Maonyesho ya sanaa katika makavazi ya Guggenheim mjini Bilbao, kaskazini mwa Uhispania, inalenga kuonyesha kizazi kipya cha Waafrika ambao wanalipa bara hili mtazamo mpya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Dhana ya kikwetu kwetu itasaidia sanaa sanaa

Ukifikiria umoja, halafu ukitaka kuleta ubinafsi ndani yake, huku ukiangalia dhana yenyewe kwa juu juu unaweza ukahisi unachanganya mambo, lakini ukikaa kwa umakini na kuzitekeleza dhana hizi kwa utaratibu, utajikuta kwenye mafanikio makubwa sana.

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA WAGOMBEA URAIS KUPITIA CCM WAKIWA KWA TB JOSHUA NIGERIA


Hon. Lowassa in 2012 at TB Joshua Church!! Hon. Nchemba at TB Joshua Church in 2014Hon Magufuli with his family and Pastor TB Joshua(left

 

9 years ago

Bongo5

Nick wa Pili adai ni wasanii wachache waliojikwamua kiuchumi kupitia sanaa

Rapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili amesema ukuaji unaotafsiriwa sasa kwa mabadiliko yanayoendelea kwa upande wa sanaa ni kwa upande wa uzalishaji tu na sio faida kwa wasanii. Nick ameiambia E-Newz ya EATV kuwa ukuaji wa sanaa umefaidisha wasanii wachache huku wengi wakikwama katika kipindi cha miaka 10. “Tumepanda kwenye kuzalisha content, lakini […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Afrika kwa picha

Huu ni mkusanyiko wa picha mbali mbali kutoka Afrika wiki iliyopita

 

11 years ago

BBCSwahili

Afrika wiki hii kwa picha

Udi watumiwa kutengeza manukato Somalia na picha nyinginezo kutoka Afrika

 

11 years ago

Bongo5

Agnes Masogange apata uraia wa Afrika kusini na kubadili jina, sasa aitwa ‘Thando’

Video vixen maarufu wa Bongo Agnes Gerald maarufu zaidi kwa jina la Agnes Masogange ambaye kwa miezi kadhaa sasa amehamishia makazi yake Afrika Kusini, amebadili jina na huenda akawa raia wa huko! Kupita Instagram mrembo huyo mwenye umbo ‘matata’ alianza kwa kupost picha ya pasi ya kusafiria ya Afrika Kusini kama ishara kwamba amepata uraia […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Habari katika picha: Baadhi ya picha bora zilizopigwa barani Afrika

Baadhi ya picha zilizopigwa wiki hii katika maeneo mbalimbali barani Afrika na kwingineko.

 

9 years ago

Bongo5

Hanscana aenda Afrika Kusini kutafuta connection za kimataifa na kuongeza ujuzi kwa Justin Campos (picha)

Hanscana na campos-5

Muongozaji na mtayarishaji wa video Hanscana yuko nchini Afrika Kusini, alikoenda kwaajili ya kuongeza ujuzi pamoja na kutafuta connection za kuwezesha kazi zake zifike kwenye vituo vya runinga vya kimataifa.

Hanscana na campos-5
Hanscana akiwa an Justin Campos na mkewe Candice

Wiki hii Hanscana amekuwa akipost picha mbalimbali Instagram akiwa na director Justin Campos na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wa kampuni ya Gorilla Films.

Hanscana amepiga story na Bongo 5 na ametueleza...

 

10 years ago

Michuzi

Wabunge Afrika Mashariki watembelea Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSuBa)

 Spika wa Bunge la Jumuiya ya AfrikaMashariki (EALA) Mhe. Margareth Zziwa (Kulia) akikabidhi kitabu cha mpango mkakati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mhe Ahmed Chipozi jana wilayani Bagamoyo wakati wa ziara ya Wabunge wa Afrika Mashariki katika taasisi ya Sanaa na Utamaduni (TaSuBa). Anayeshuhudia katikati ni Waziriwa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (MB).

 Spika wa Bunge la Jumuiya ya AfrikaMashariki (EALA) Mhe. Margareth Zziwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani