Kwa rasilimali ilizonazo, Tanzania inapaswa kuongoza katika AGOA
RAIS Barak Obama, tangu ameingia madarakani, amekuwa akisisitiza mtazamo na sera yake kuhusu Afrika ni ‘Biashara badala ya misaada’.
Kutokana na msimamo huo amekuwa akiwaeleza viongozi wa bara hili, kila alipokutana nao, kuwa nchi za Kiafrika haziwezi kuendelea kwa kutegemea misaada kutoka mataifa tajiri kama vile Marekani, hata kama misaada hiyo ni mikubwa kiasi gani.
Mara nyingi ameziasa nchi hizi kuacha kutegemea misaada kama msingi wa maendeleo, badala yake zitumie rasilimali...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3DaUejesC5M/VGYeGmSZ4dI/AAAAAAAGxOQ/VPqsFsyGQcU/s72-c/TIC%2BADVERT%2BSWAHILI%2BVERSION.jpg)
5 years ago
MichuziSAMIA KUONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-1QVCI14ON2o/Xun2S0DpRlI/AAAAAAALuN8/pARAbTTXRuIAwZUjLJ5EI9P29XHTwJiHQCLcBGAsYHQ/s640/01.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6k7qwmTfgWY/Xun2OVW3vAI/AAAAAAALuN4/4mvpZHjfeH82VqTFkup-AVo4SVS6OopJwCLcBGAsYHQ/s640/02.png)
10 years ago
Michuzijamii inapaswa kuwekeza katika sayansi na teknolojia - Balozi Sefue
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kuwa ili jamii iweze kukua kwa kasi na kupata maendeleo haina budi kuwekeza katika sayansi na teknolojia.
Aliongea hayo jana jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa warsha ya kupitia marejeo ya mfumo wa Taifa wa sayansi,teknolojia na ubunifu ulioandaliwa na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.
“ubunifu katika sayansi na teknolojia ni kitu muhimu katika kupata uvumbuzi wa vitu mbalimbali muhimu vinavyoleta maendelao...
10 years ago
Michuzi02 Sep
Tanzania Kuongoza Nchi za Afrika katika maboresho ya utoaji wa haki za watuhumiwa na mahabusu
![](https://1.bp.blogspot.com/-2Mrykxs2Uc8/VAWoTcEZh5I/AAAAAAAAXlE/CjM2xIGdsmY/s1600/NABO%2BASSEY.jpg)
10 years ago
FreshPlaza14 May
Tanzania's producers, exporters fail to utilise AGOA
African Business Review
FreshPlaza
Failure by Tanzania's producers and exporters to take advantage of the African Growth and Opportunity Act (AGOA) has prompted reaction and the appeal for collective national response strategies to reverse the trend. Tanzania's trading in the preferential ...
Change in attitude to boost Tanzania's engagement with AGOAAfrican Business Review
all 4
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5HJsTL5X4Zg/XrjkzKdXLtI/AAAAAAAEG-Q/Cr2LfACHXhM3HzJKmWGpWIGuHkhC3qf-ACLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
Vodacom Yatangaza Kukua kwa Biashara, yaendelea Kuongoza katika umiliki wa soko la wateja.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5HJsTL5X4Zg/XrjkzKdXLtI/AAAAAAAEG-Q/Cr2LfACHXhM3HzJKmWGpWIGuHkhC3qf-ACLcBGAsYHQ/s1600/download.jpg)
Yaendelea kuongoza soko baada ya kufikisha wateja milioni 15.5.Yatumia Shilingi 154.6 bilioni kuboresha miundombinu ya mawasiliano hivyo kunufaisha wateja kwa huduma bora na za kiwango cha juu. Kampuni ya simu za mkononi inayoongoza kidijitali nchini, Vodacom Tanzania PLC imetoa matokeo ya awali ya kifedha kwa mwaka unaoishia tarehe 31 Machi 2020, ikionyesha ukuaji wa kibiashara unaodhihirishwa na ongezeko la umiliki wake wa soko kufikia asilimia 32.8 baada ya kuongeza idadi ya wateja wake...
10 years ago
MichuziMAAFISA RASILIMALI WATU TOKA WILAYA YA ILALA WAGUSWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA MPANGO WA HIARI WA KUJIWEKEA AKIBA (VSRS) KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA GEPF
10 years ago
MichuziSTAMICO YAJIIMARISHA KATIKA KULETA MABADILIKO YA USIMAMIZI WA RASILIMALI YA MADINI