Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwanini tulazimishwe kupenda tusichokitaka?

“HUMPENDAJE mtu kwa kuambiwa penda?” Itawezekana vipi kumpenda mtu kwa kuwa umeambiwa umpende? Kama mtu hataki au hapendi kitu fulani, ni vigumu kumfanya akipende. Kupenda hutokana na hisia za mtu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Music: Belle 9 – Kupenda

InstaShot_20151203_222912

Huu ni wimbo kutoka kwa msanii Belle 9 unaitwa “Kupenda”

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhuru wa kupenda na kupendwa

Uhuru wa kupenda ni lugha ya kimataifa na wapendanao hupenda kuitetea kwa dhati. Lakini uhuru huo unakabiliwa na changamoto. Ali Mutasa

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Gudlucky — Kupenda

Video Mpya kutoka kwa msanii Gudlucky wimbo unaitwa “Kupenda” video imeongozwa na Nisher

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: BELLE 9 - KUPENDA (Download)



Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ainea sasa ajuta kupenda

MSANII anayekuja juu kwa kasi katika muziki wa kizazi kipya nchini, Kedimon Ainea, maarufu kama ‘Ainea’, anatarajia kuachia ngoma yake mpya iitwayo ‘Najuta Kupenda’ hivi karibuni. Akizungumza na Tanzania Daima...

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama Atoboa Kuhusu Kupenda Watoto

Mwigizaji wa filamu mwenye kukonga nyonyo za mashabiki na wapenzi wengi wa filamu hapa Bongo, Riyama Ally leo amefunguka kuhusiana  na upendo wake kwa watoto tangu alipokuwa mtoto na kusisitiza kuwapende watoto.

“Napenda sana watoto tangu na mie nilipokuwa mtoto ilikua mtaani akizaliwa mtoto hiyo ndio maskani yangu hakuna kula hakuna kuoga ni kuenda kubeba mtoto nitatafutwa nikikosekana Tu wa nauliza wapi kuna kachanga wakijua tu hawana wasi wasi tena watanifata na kunibembeleza nirudi...

 

10 years ago

Vijimambo

HERI KUPENDWA KULIKO MAUMIVU YA KUPENDA!

Ni Jumatatu nyingine ambayo tunakutana tena katika kilinge hiki cha XXLove tunachokitumia kuelimishana masuala ya mapenzi. Katika suala la uhusiano wa kimapenzi ni vigumu sana kujikuta mwanamke na mwanaume mkipendana kwa 100%. Ila ni rahisi mno kwa mmoja wenu kumpenda mwenza wake kwa asilimia zikaribiazo 100. Hata kama mmoja akipenda kwa asilimia mia moja na kumshawishi mwingine, ni nadra kwa ulimwengu wa sasa kuwakuta wapenzi ambao kila mmoja anampenda mwenzake kwa asilimia mia moja.

Ikiwa...

 

11 years ago

GPL

BATULI: SIJAWAHI KUPENDA KAMA MTUNIS

Na Gabriel Ng’osha KWA mara nyingine, staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf  ‘Batuli’ amemwaga data za kimapenzi akidai hajawahi kumpenda mwanaume kama alivyompenda Nice Mohammed ‘Mtunis’. Staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf  ‘Batuli’ Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Batuli alisema licha ya kuwa walimwagana na staa huyo lakini hatokuja kupenda mwanaume kama...

 

10 years ago

GPL

HERI KUPENDWA KULIKO MAUMIVU YA KUPENDA!

Ni Jumatatu nyingine ambayo tunakutana tena katika kilinge hiki cha XXLove tunachokitumia kuelimishana masuala ya mapenzi. Katika suala la uhusiano wa kimapenzi ni vigumu sana kujikuta mwanamke na mwanaume mkipendana kwa 100%. Ila ni rahisi mno kwa mmoja wenu kumpenda mwenza wake kwa asilimia zikaribiazo 100. Hata kama mmoja akipenda kwa asilimia mia moja na kumshawishi mwingine, ni nadra kwa ulimwengu wa sasa kuwakuta wapenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani