Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


La Liga:Matumaini ya R Madrid yadidimia

Kilabu ya Real Madrid iligonga mwamba wa goli mara tatu huku nyota wake Christiano Ronaldo akikosa penalti na hivyobasi kupata sare ya 2-2 na timu ya Valencia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Matumaini ya Liverpool yadidimia

Matumaini ya Liverpool kuorodheshwa katika nafasi nne bora yalididimia baada ya kutoka sare na West Brom Albion

 

10 years ago

BBCSwahili

Matumaini ya manusura yadidimia Nepal

Matumaini yanadidimia nchini Napal ya kuwapata manusura zaidi , baada ya kutokea kwa tetemeko baya la ardhi wiki moja iliyopita .

 

11 years ago

BBCSwahili

Barcelona yajipa matumaini, La Liga

Barcelona yaahidi kutoa upinzani mkali kwenye michuano ya La Liga

 

9 years ago

BBCSwahili

Madrid yaiadhibu Rayo 10-2 La Liga.

Klabu ya soka ya Real Madrid iliifanikiwa kuichapa Timu ya Rayo Vallecano Bao 10-2 katika Mechi ya ligi kuu ya Hispania .

 

11 years ago

BBCSwahili

Atletico Madrid Mabingwa wa La Liga

Atletico Madrid imenyakua kombe la ligi kuu ya Hispania La liga baada ya kutoka sare ya 1 – 1 dhidi ya Barcelona.

 

11 years ago

GPL

ATLETICO MADRID BINGWA LA LIGA

Wachezaji wa Atletico Madrid wakimnyanyua juu kocha wao Diego Simeone baada ya kutwaa ubingwa. TIMU ya Atletico Madrid imetwaa kombe la La Liga baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Barcelona kwenye Uwanja wa Nou Camp. Kwa ushindi huo wamefikisha pointi 90 wakati Barcelona wakiwa na pointi 87 sawa na Real Madrid ambao wamemaliza wakiwa nafasi ya tatu. Mara ya mwisho kutwaa kombe hilo ilikuwa 1996! ...

 

5 years ago

Managing Madrid

Real Betis—Real Madrid La Liga 2019-20 Match Preview, Injuries/Suspensions, Potential XIs, Prediction

Real Betis—Real Madrid La Liga 2019-20 Match Preview, Injuries/Suspensions, Potential XIs, Prediction  Managing MadridLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad  GIVEMESPORTBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him  Goal.comReal Madrid will be without two stars at Real Betis  The Real ChampsQuique Setien says Barcelona look ‘good and strong’ after Real Sociedad win  Barca BlaugranesView Full coverage on Google...

 

10 years ago

BBCSwahili

Matuamini ya kupata manusura yadidimia

Waokoaji katika bahari ya Mediterranean wamesema kuwa hawatarajii kupata manusura zaidi kutoka mashua iliyozama ikiwa imewabeba takriban wahamiaji 600 katika pwani ya Libya.

 

5 years ago

Bongo5

Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League

Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.

Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.

Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.

Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.

Jamie Vardy alikomboa bao moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani