Madrid yaiadhibu Rayo 10-2 La Liga.
Klabu ya soka ya Real Madrid iliifanikiwa kuichapa Timu ya Rayo Vallecano Bao 10-2 katika Mechi ya ligi kuu ya Hispania .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
R. Madrid ilitudhalilisha asema kocha wa Rayo
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Real Madrid waibuka na ushindi wa goli 10-2 dhidi ya Rayo Vallecano, Cheki Video ya magoli (+Pichaz)
Baada ya wapinzani wao wa jadi FC Barcelona kufanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 3-0 dhidi ya River Plate ya Argentina katika fainali ya Klabu Bingwa Dunia, Real Madrid wameamishia hasira zao katika mchezo wa Ligi Kuu Hispania dhidi ya klabu ya Rayo Vallecano. Real Madrid walikuwa katika dimba lao la nyumbani la Santiago Bernabeu huku […]
The post Real Madrid waibuka na ushindi wa goli 10-2 dhidi ya Rayo Vallecano, Cheki Video ya magoli (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
11 years ago
BBCSwahili17 May
Atletico Madrid Mabingwa wa La Liga
10 years ago
BBCSwahili10 May
La Liga:Matumaini ya R Madrid yadidimia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCBG*pObvF6mq7MYIOZ96C-BWHBwufOZUu1cCLSf6xZfl5MjjpawMU81AsPfrTZK*Ni5PEQ4F7CTWRklec5o2AAa/simeone.jpg)
ATLETICO MADRID BINGWA LA LIGA
5 years ago
Managing Madrid08 Mar
Real Betis—Real Madrid La Liga 2019-20 Match Preview, Injuries/Suspensions, Potential XIs, Prediction
5 years ago
Bongo514 Feb
Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League
Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.
Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.
Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.
Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.
Jamie Vardy alikomboa bao moja...