Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madrid yaiadhibu Rayo 10-2 La Liga.

Klabu ya soka ya Real Madrid iliifanikiwa kuichapa Timu ya Rayo Vallecano Bao 10-2 katika Mechi ya ligi kuu ya Hispania .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

R. Madrid ilitudhalilisha asema kocha wa Rayo

Kocha wa Rayo Vallecano Paco Jemez amesema kuwa timu yake imedhalilishwa na kuteswa kwa kufungwa 10-2 na Real Madrid hapo jana.

 

9 years ago

MillardAyo

Real Madrid waibuka na ushindi wa goli 10-2 dhidi ya Rayo Vallecano, Cheki Video ya magoli (+Pichaz)

Baada ya wapinzani wao wa jadi FC Barcelona kufanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 3-0 dhidi ya River Plate ya Argentina katika fainali ya Klabu Bingwa Dunia, Real Madrid wameamishia hasira zao katika mchezo wa Ligi Kuu Hispania dhidi ya klabu ya Rayo Vallecano. Real Madrid walikuwa katika dimba lao la nyumbani la Santiago Bernabeu huku […]

The post Real Madrid waibuka na ushindi wa goli 10-2 dhidi ya Rayo Vallecano, Cheki Video ya magoli (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Real Madrid yaiadhibu Dortmund

Real Madrid yaiadhibu Borussia Dortmund mabao matatu bila jibu

 

11 years ago

BBCSwahili

Atletico Madrid Mabingwa wa La Liga

Atletico Madrid imenyakua kombe la ligi kuu ya Hispania La liga baada ya kutoka sare ya 1 – 1 dhidi ya Barcelona.

 

10 years ago

BBCSwahili

La Liga:Matumaini ya R Madrid yadidimia

Kilabu ya Real Madrid iligonga mwamba wa goli mara tatu huku nyota wake Christiano Ronaldo akikosa penalti na hivyobasi kupata sare ya 2-2 na timu ya Valencia

 

11 years ago

GPL

ATLETICO MADRID BINGWA LA LIGA

Wachezaji wa Atletico Madrid wakimnyanyua juu kocha wao Diego Simeone baada ya kutwaa ubingwa. TIMU ya Atletico Madrid imetwaa kombe la La Liga baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Barcelona kwenye Uwanja wa Nou Camp. Kwa ushindi huo wamefikisha pointi 90 wakati Barcelona wakiwa na pointi 87 sawa na Real Madrid ambao wamemaliza wakiwa nafasi ya tatu. Mara ya mwisho kutwaa kombe hilo ilikuwa 1996! ...

 

5 years ago

Managing Madrid

Real Betis—Real Madrid La Liga 2019-20 Match Preview, Injuries/Suspensions, Potential XIs, Prediction

Real Betis—Real Madrid La Liga 2019-20 Match Preview, Injuries/Suspensions, Potential XIs, Prediction  Managing MadridLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad  GIVEMESPORTBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him  Goal.comReal Madrid will be without two stars at Real Betis  The Real ChampsQuique Setien says Barcelona look ‘good and strong’ after Real Sociedad win  Barca BlaugranesView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Bongo5

Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League

Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.

Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.

Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.

Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.

Jamie Vardy alikomboa bao moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani