LADY NAA ALIVYOSHEREHEKEA BETHIDEI YAKE USIKU WA KUAMKIA LEO
Keki za Birthday. Lady Naa akikata keki. Lady Naa akimlisha keki Coletha Raymond.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwoQDUWSEmV8NdOEp2dtHIeg5lJiLJZCFux3lOlUrrrO066WdylvyfgTA0t6xGzHWtANo3M8r3iqB0tMhvOWvQ2t/6.jpg)
YALIYOJIRI NDANI YA BILLS USIKU WA KUAMKIA LEO
Barnaba Boy akifanya yake. Baraka Da Prince (kushoto), akifanya makamuzi na msanii mwenzake, Ice Boy.
Bob Junior akipagawisha.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*rywFRf11Vn*F9QXBvTb3osAK1A13*qPEee09372UOezbQ4lYytPMJLADjbTnWJORiCFPR4leKd5DermlwKH0*s/EXTRABONGO1.jpg?width=650)
EXTRA BONGO ILIVYOKAMUA USIKU WA KUAMKIA LEO
Super Nyamwela (kushoto) na Ally Choki wakionyesha mbwembwe wakati wa shoo yao Meeda Club. Prezidaa wa Mashujaa Musica, Chaz Baba (katikati) naye alivamia jukwaa la Extra Bongo kunogesha mambo.…
10 years ago
GPLALI KIBA AVAMIWA USIKU WA KUAMKIA LEO
Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba. MSANII wa Bongo Fleva, Ali Kiba usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam, alivamiwa na kundi la watu wapatao 20 wanaodhaniwa kuwa ni majambazi. Ali Kiba akiwa katika pozi. Watu hao waliokuwa na silaha za aina tofauti yakiwemo mapanga, visu na silaha za moto walifanikiwa kuvunja kuingia ndani na kuwadhuru baadhi ya ndugu wa Ali Kiba na kuiba mali na kila kitu ambacho...
9 years ago
Michuzi03 Dec
WATU 14 WAUWAWA USIKU WA KUAMKIA LEO NCHINI MAREKANI
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/56KFLXM9yMKtpqJOHigcKn7wHPpmRLK-Um5hvSbwoYxMYyXOdHh7pa1Zca5NIiICvm0DIt9lKCXeS2PfXartApWnSENkXM8etzDKZw_j6YJ8j6-mtWd5t8rViJPvJmUxnPB_zk7QEjL8TxMqdMJ3U1OE4_Rrc5NPWR1Unn-iv9Q0MJPpqU8gGsbnxXaj5VJ1lbKbPeaR05XijK5698Syx_Q=s0-d-e1-ft#http://ichef-1.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/12/02/151202223447_sp_california_shooting_3_624x351_afp.jpg)
Polisi nchini Marekani imesema takriban watu 14 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kupigwa risasi na watu wenye silaha katika mji wa San Bernadino mashariki mwa Los Angeles.
Polisi mjini humo inasema tukio hilo limetokea kwenye kituo cha huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana lilihusisha watu watatu wenye silaha ambao wametoroka kwa gari.Watu hao wenye silaha wanasemakana walivalia kijeshi na walitumia silaha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u0Eb4l7A4EX-dJwSrvFW64Gm38ClHoaAqWs5Ym5HZhqfXPRP-nJk5MJG2KNDUVOb9h7ci4GK4IcMbhZkghTgPmhnFykqHB2M/1409003890262_wps_1_Pic_Paul_Cousans_Zenpix_L.jpg?width=650)
DI MARIA ATUA MAN UTD USIKU WA KUAMKIA LEO
 Di Maria (kushoto nyuma) katika gari akipelekwa uwanja wa mazoezi wa Manchester United uitwao Carrington usiku wa kuamkia leo.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjU8xD8NUlJ9NNq9EcVOa2KsgJLeMrX*6LgHrh2KfqoydOyYh18*kaNu5Jc5FemXXFLrodjjY7TzuUPRyb5ZCW4O/RECHO.jpg?width=650)
SHANGWE ZA SERENGETI FIESTA KAHAMA USIKU WA KUAMKIA LEO
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Kahama. Staa aliyetambulika zaidi kwa wimbo wake wa Maumivu, Khadija akiangusha shoo yake.…
11 years ago
GPLMOTO WAZUKA CHUO CHA UDOM USIKU WA KUAMKIA LEO
Moto ukiendelea kuwaka usiku wa kuamkia leo karibu na hostel za wasichana katika skuli ya sanaa na lugha (School of Humanities) katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Chanzo cha moto huo hakijajulikana. Wakaazi wa mji huo walisikia vingo'ra vya magari ya zimamoto yakielekea chuoni huko kwa kasi usiku wa manane. (PICHA NA Global WhatsApp +255 753… ...
11 years ago
GPLUSIKU WA AKUDO IMPACT NDANI YA MSASANI CLUB KUAMKIA LEO
Binti aliyeomba kujiunga na Akudo Impact akinadiwa na mmoja ya waimbaji wa akudo. Du! Dada mwingine aijaribu bahati yake kuwa ‘mwanachama’ wa bendi hiyo.…
10 years ago
GPLLADY NAA AANIKA SIRI YA KUMPENDA ZARI
Mtangazaji Lady Naa. Hamida Hassan/ijumaawikienda
KUMBE! Aliyekuwa shemeji wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ wakati ikisemekana anatoka na mtoto wa mbunge, Najma, Mtangazaji Lady Naa ameanika siri juu ya ukaribu wake na mpenzi wa sasa wa Diamond, Zarinah Hassan ‘Zari’ kuwa usitafsiriwe kuwa ni usaliti kwani ndiye anayeshikilia usukani kwa sasa. Lady Naa ameliambia Ijumaa Wikienda kuwa anampenda Zari...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania