Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USIKU WA AKUDO IMPACT NDANI YA MSASANI CLUB KUAMKIA LEO

Binti aliyeomba kujiunga na Akudo Impact  akinadiwa na mmoja ya waimbaji wa akudo. Du! Dada mwingine aijaribu bahati yake kuwa ‘mwanachama’ wa bendi hiyo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YALIYOJIRI NDANI YA BILLS USIKU WA KUAMKIA LEO

Barnaba Boy akifanya yake. Baraka Da Prince (kushoto),  akifanya makamuzi na msanii mwenzake, Ice Boy.
Bob Junior akipagawisha.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Twanga Pepeta wafanya shoo ya nguvu Maisha Club usiku wa kuamkia leo jijini Dar

Kiongozi na mwimbaji  wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu (wa pili kutoka kulia), akiwa na Kalala Junior (wa pili kutoka kushoto) pamoja na  Haji Ramadhani (wa kwanza kulia) wakitoa burudani kwa mashabiki wao kwenye shoo iliyofanyika club ya Maisha jijini Dar

Waimbaji wa Twanga Pepeta wakitoa burudani kwenye shoo iliyofanyika kwenye club ya Maisha jijini Dar usiku wa kuamkia leo.

Kiongozi na mwimbaji  wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu akicheza moja ya nyimbo zao kwenye...

 

10 years ago

Daily News

Akudo Impact musicians jailed for illegal stay


Akudo Impact musicians jailed for illegal stay
Daily News
THREE Akudo Impact Band members have been sentenced to six months imprisonment or pay a 200,000/- fine for illegal stay and working in the country without a valid permit. The accused were named as Olungu Ndiovu Mambe (32), Mombili Makambo (33), ...

 

10 years ago

GPL

ALI KIBA AVAMIWA USIKU WA KUAMKIA LEO

Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba. MSANII wa Bongo Fleva, Ali Kiba usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam, alivamiwa na kundi la watu wapatao 20 wanaodhaniwa kuwa ni majambazi. Ali Kiba akiwa katika pozi. Watu hao waliokuwa na silaha za aina tofauti yakiwemo mapanga, visu na silaha za moto walifanikiwa kuvunja kuingia ndani na kuwadhuru baadhi ya ndugu wa Ali Kiba na kuiba mali na kila kitu ambacho...

 

11 years ago

GPL

EXTRA BONGO ILIVYOKAMUA USIKU WA KUAMKIA LEO

Super Nyamwela (kushoto) na Ally Choki wakionyesha mbwembwe wakati wa shoo yao Meeda Club. Prezidaa wa Mashujaa Musica, Chaz Baba (katikati) naye alivamia jukwaa la Extra Bongo kunogesha mambo.…

 

10 years ago

GPL

SHANGWE ZA SERENGETI FIESTA KAHAMA USIKU WA KUAMKIA LEO

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Kahama. Staa aliyetambulika zaidi kwa wimbo wake wa Maumivu, Khadija akiangusha shoo yake.…

 

9 years ago

Michuzi

WATU 14 WAUWAWA USIKU WA KUAMKIA LEO NCHINI MAREKANI

Polisi wenye silaha wakipiga doria katika eneo palipotokea mauaji hayo.
Polisi nchini Marekani imesema takriban watu 14 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kupigwa risasi na watu wenye silaha katika mji wa San Bernadino mashariki mwa Los Angeles.
Polisi mjini humo inasema tukio hilo limetokea kwenye kituo cha huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana lilihusisha watu watatu wenye silaha ambao wametoroka kwa gari.Watu hao wenye silaha wanasemakana walivalia kijeshi na walitumia silaha...

 

10 years ago

GPL

DI MARIA ATUA MAN UTD USIKU WA KUAMKIA LEO

 Di Maria (kushoto nyuma) katika gari akipelekwa uwanja wa mazoezi wa Manchester United uitwao Carrington usiku wa kuamkia leo.…

 

10 years ago

GPL

LADY NAA ALIVYOSHEREHEKEA BETHIDEI YAKE USIKU WA KUAMKIA LEO

Keki za Birthday. Lady Naa akikata keki.
Lady Naa akimlisha keki Coletha Raymond.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani