LAPF yageukia elimu
MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Serikali za Mitaa (LAPF), umeanza kutoa mkopo wa elimu kwa wanachama kwa lengo la kuwasaidia wanaotaka kujiendeleza kielimu kwa kuwalipia ada ya masomo. Akizungumza na waandishi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
LAPF yaanzisha fao la Elimu
WANACHAMA wa Mfuko wa Penseni wa LAPF watanufaika na fao jipya la Elimu lilozinduliwa hivi karibuni hapa nchini. Fao hilo lijulikanalo kama ‘Piga Kitabu na LAPF’ limelenga kuwakopesha wanachama wa...
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Wanachama LAPF kunufaika fao la elimu
WANACHAMA wa mfuko wa Pensheni wa LAPF wanatarajiwa kunufaika na fao jipya la elimu lililozinduliwa hivi karibuni hapa nchini. Fao hilo lijulikanalo kama ‘Piga Kitabu na LAPF’, limelenga kuwakopesha wanachama...
10 years ago
Habarileo22 Feb
Hawa Ghasia afagilia fao la elimu la LAPF
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, amesema fao la mkopo wa elimu linalotolewa na Mfuko wa Pensheni wa LAPF, ni msaada mkubwa kwa waajiri nchini ikiwemo Serikali.
11 years ago
MichuziLAPF YATOA MIKOPO YA ELIMU KWA WANACHAMA WAKE
10 years ago
MichuziLAPF YAZINDUA HUDUMA MPYA YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU KWA WANACHAMA WAKE
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Black Entertainment yageukia chipukizi
KUNDI la Black Entertainment linalojihusisha na masuala ya sanaa, limeendelea kukuza vipaji vya wasanii ambao wanachipukia katika fani hiyo ili kujitangaza kimataifa. Black Entertainment yenye maskani yake Mbagala jijini Dar...
9 years ago
Habarileo03 Dec
Serikali yageukia madiwani wakorofi
OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imesema Serikali ya Awamu ya Tano haitavumilia madiwani wakaidi na wanaokwamisha watumishi wa umma kwa ajili ya maslahi yao binafsi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s640/unnamed%2B(64).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
LAPF yajivunia mafanikio
MFUKO wa Pensheni wa LAPF umesema unajivunia mafaniko ya kuwa mfuko bora kuliko mingine katika kutoa huduma tangu ulipozaliwa mwaka 1944. Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam...