LAPF YAONGEZA WANACHAMA HADI KUFIKIA 20,214
Frank Mvungi-Maelezo
MFUKO wa pensheni wa LAPF umefanikiwa kusajili wanachama 20,214 kufikia mwezi machi 2014 wakati lengo lilikuwa wanachama 15,287 katika kipindi hicho.
Hayo yamesemwa na Meneja wa Kanda ya Mashariki wa mfuko huo Bw. Sayi Lulyalya wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam
Lulyalya amesema ongezeko hilo ni matokeo ya kuwepo kwa utekelezaji wa sera nzuri zenye kuwajali wanachama wa mfuko huo na jaamii kwa ujumla.
Amesema kuwa mfuko huo umepanga...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo30 Jun
Wanachama LAPF kukopeswa wasome
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (LAPF) umeanzisha huduma mpya ambayo itasaidia wananchama wake wenye mipango ya kupata elimu ya juu kuweza kujipatia mikopo kwa ajili ya kufanikisha adhama hiyo.
11 years ago
Habarileo30 Jun
Wanachama LAPF kukopeshwa wasome
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (LAPF) umeanzisha huduma mpya ambayo itasaidia wananchama wake wenye mipango ya kupata elimu ya juu kuweza kujipatia mikopo kwa ajili ya kufanikisha adhama hiyo.
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Wanachama LAPF kunufaika fao la elimu
WANACHAMA wa mfuko wa Pensheni wa LAPF wanatarajiwa kunufaika na fao jipya la elimu lililozinduliwa hivi karibuni hapa nchini. Fao hilo lijulikanalo kama ‘Piga Kitabu na LAPF’, limelenga kuwakopesha wanachama...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
LAPF na fursa ya uchumi endelevu kwa wanachama
KATIKA nchi zilizoendelea ili upate madaraka ya kuwatumikia watu inabidi uwaeleze ni jinsi gani utawasaidia kuwainua kiuchumi. Baada ya wananchi kuielewa vema mipango yako ya kiuchumi na kuamini inatekelezeka, watakuunga...
11 years ago
MichuziLAPF YATOA MIKOPO YA ELIMU KWA WANACHAMA WAKE
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Fao la ‘Piga Kitabu LAPF’ liwanufaishe wanachama wote
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uDQMEbvoil8/VRavlEvw5EI/AAAAAAAHN0Y/od26oVWdE6g/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
GEPF YAONGEZA HUDUMA YA MAFAO ZAIDI KWA WANACHAMA WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDQMEbvoil8/VRavlEvw5EI/AAAAAAAHN0Y/od26oVWdE6g/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RNDW6dWlpbY/VRavnO0jCUI/AAAAAAAHN0k/9jbsRTknbFw/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JJNZRQ1DpfY/VRavm9idpNI/AAAAAAAHN0g/aw8KiqQQ5AE/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
MichuziLAPF YAZINDUA HUDUMA MPYA YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU KWA WANACHAMA WAKE
10 years ago
Michuzi12 Nov
Serikali kudhibiti ukimwi hadi kufikia maambukizi sifuri
Serikali imepanga mikakati na kusimamia juhudi zinazofanywa na kuendelezwa na wadau wa ukimwi kuhakikisha kuwa maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi yanapungua hadi kufikia sifuri ifikapo mwaka 2025.
Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti mtendaji kutoka Tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) Dkt. Fatma H. Mrisho wakati wa mkutano wa serikali na wadau wa ukimwi kupitia utekelezaji wa programu za ukimwi jana jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa mkutano huo...