Fao la ‘Piga Kitabu LAPF’ liwanufaishe wanachama wote
Hivi karibuni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Hawa Ghasia alizindua fao jipya la ‘Piga Kitabu na LAPF’ linalolenga kuwakopesha fedha wanachama wa mfuko huo wanaotaka kusoma katika vyuo vya elimu ya juu nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Wanachama LAPF kunufaika fao la elimu
WANACHAMA wa mfuko wa Pensheni wa LAPF wanatarajiwa kunufaika na fao jipya la elimu lililozinduliwa hivi karibuni hapa nchini. Fao hilo lijulikanalo kama ‘Piga Kitabu na LAPF’, limelenga kuwakopesha wanachama...
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
LAPF yaanzisha fao la Elimu
WANACHAMA wa Mfuko wa Penseni wa LAPF watanufaika na fao jipya la Elimu lilozinduliwa hivi karibuni hapa nchini. Fao hilo lijulikanalo kama ‘Piga Kitabu na LAPF’ limelenga kuwakopesha wanachama wa...
10 years ago
Habarileo22 Feb
Hawa Ghasia afagilia fao la elimu la LAPF
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, amesema fao la mkopo wa elimu linalotolewa na Mfuko wa Pensheni wa LAPF, ni msaada mkubwa kwa waajiri nchini ikiwemo Serikali.
11 years ago
Habarileo30 Jun
Wanachama LAPF kukopeshwa wasome
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (LAPF) umeanzisha huduma mpya ambayo itasaidia wananchama wake wenye mipango ya kupata elimu ya juu kuweza kujipatia mikopo kwa ajili ya kufanikisha adhama hiyo.
11 years ago
Habarileo30 Jun
Wanachama LAPF kukopeswa wasome
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (LAPF) umeanzisha huduma mpya ambayo itasaidia wananchama wake wenye mipango ya kupata elimu ya juu kuweza kujipatia mikopo kwa ajili ya kufanikisha adhama hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
LAPF na fursa ya uchumi endelevu kwa wanachama
KATIKA nchi zilizoendelea ili upate madaraka ya kuwatumikia watu inabidi uwaeleze ni jinsi gani utawasaidia kuwainua kiuchumi. Baada ya wananchi kuielewa vema mipango yako ya kiuchumi na kuamini inatekelezeka, watakuunga...
11 years ago
Dewji Blog15 May
LAPF YAONGEZA WANACHAMA HADI KUFIKIA 20,214
Frank Mvungi-Maelezo
MFUKO wa pensheni wa LAPF umefanikiwa kusajili wanachama 20,214 kufikia mwezi machi 2014 wakati lengo lilikuwa wanachama 15,287 katika kipindi hicho.
Hayo yamesemwa na Meneja wa Kanda ya Mashariki wa mfuko huo Bw. Sayi Lulyalya wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam
Lulyalya amesema ongezeko hilo ni matokeo ya kuwepo kwa utekelezaji wa sera nzuri zenye kuwajali wanachama wa mfuko huo na jaamii kwa ujumla.
Amesema kuwa mfuko huo umepanga...
11 years ago
MichuziLAPF YATOA MIKOPO YA ELIMU KWA WANACHAMA WAKE
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Piga mswaki, piga deki, piga amani