Lauryn Mnjeja na familia yake washerehekea kupata kipaimara
![](http://4.bp.blogspot.com/-SC5P4Oi-Up8/VIKvA4M3XmI/AAAAAAAG1j0/c3C_F3cWJnU/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Lauryn Mnjeja akiwa na wazazi wake pamoja na wadogo zake.
Lauryn akiwa na mama yake mzazi Anna Gibson (kulia) na mama yake mkubwa Glory.
.Lauryn Mnjeja akimlisha keki mdogo wake Nancy Baraka, huku Habiba Mohammed akishuhuhia wakati wa sherehe ya kumpongeza kwa kupata kipaimara kwenye kanisa la KKKT, Kivule Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Sherehe ilifanyika ukumbi wa bwalo B Air Wing Ukonga, Dar es Salaam.
Lauryn Mnjeja akiwapungia wageni mbalimbali waliojitokeza kwenye sherehe ya kumpongeza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboEDAH NA FAMILIA YAKE WASHEREHEKEA VALENTINE
Edah (wapili tokakushoto) akiwa na familia yake kama walivyokutwa na kamera ya Vijimambo Sheraton ya Silver Spring wakijiandaa kuelekea viwanja kula raha ya Valentine Kushoto ni Vincent.
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB WASHEREHEKEA SIKU YA FAMILIA
9 years ago
Bongo528 Dec
Picha: Zari, Diamond washerehekea msimu wa Christmas kwenye yacht na familia
![1739465_457224814468540_1238534898_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1739465_457224814468540_1238534898_n-300x194.jpg)
Ulisherehekea vipi sikukuu ya Christmas na boxing day?
Kwa Diamond na first lady wake, Zari the Bosslady ilikuwa ni mwendo wa kuyakata maji kwenye yacht tu.
Mastaa hao walikodi yacht na kuelekea kwenye kisiwa cha maraha cha Mbudya wakiwa na ndugu zao. Waliojumuika ni pamoja na dada zake Diamond, Esma na Queen Darleen, AY, meneja Sallam na wengine.
Tazama picha zao:
Katika hatua nyingine, Diamond alipata muda wa kuspend na mwanae Tiffah kabla ya kwenda Nigeria Jumatatu hii kwaajili...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_PfaARdecWo/Vj7-4cmt_II/AAAAAAAIE3I/ILyR87-Udo0/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Mshindi wa Jaymillions na mafanikio yake: Ajenga nyumba ya kisasa na kuishi na familia yake goba, kufungua biashara
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vanfKzplWu9ZUEyP3pFU4RhYAJI8JY0*13Qazt8y6mp0yvM4Zxn6-wxQQokG7LjnYHvHnDUZQvJbyMlg-ysEg8JA4LRYnNJI/mwakampya6.jpg?width=650)
WATOTO WASHEREHEKEA SIKUKUU YA MWAKA MPYA KWA AINA YAKE DAR LIVE
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
Wanawake wa MSD washerehekea siku ya wanawake duniani kwa aina yake
Bw. Mwaifani akimkaribisha mgeni rasmi wa sherehe hizo, Bi.Helen Mwakipunda ambaye ni Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
Bi. Mwakipunda akizungumza na wafanyakazi wa (MSD) wakati wa sherehe hizo.
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya akina mama kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Matlida Ngarina aliyealikwa kwa ajili ya kutoa mada kuhusiana na magonjwa ya...
10 years ago
GPLWANAWAKE WA MCD WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA AINA YAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIFtBPvdef1Vnba-oYfwbw5jfIqBWADJ1tp8NS*8Y6OfhzTtN2q9NmPUjBlGZZjn0HZmwK8MoSAbkLj6uUNllnFG/mbdog6.jpg)
MB DOG,FAMILIA YAKE, KABAAH!
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Ni kweli Vincent aliuwa familia yake? — 2
MTOTO mwingine, Lyndsey Harper aliyekuwa na umri wa miaka miwili alikutwa amelala upande wa miguu
Mwandishi Wetu