Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lauryn Mnjeja na familia yake washerehekea kupata kipaimara

 Lauryn Mnjeja akiwa na wazazi wake pamoja na wadogo zake. Lauryn akiwa na mama yake mzazi Anna Gibson (kulia) na mama yake mkubwa Glory. .Lauryn Mnjeja akimlisha keki mdogo wake Nancy Baraka, huku Habiba Mohammed akishuhuhia wakati wa sherehe ya kumpongeza kwa kupata kipaimara kwenye kanisa la KKKT, Kivule Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Sherehe ilifanyika ukumbi wa bwalo B Air Wing Ukonga, Dar es Salaam.Lauryn Mnjeja akiwapungia wageni mbalimbali waliojitokeza kwenye sherehe ya kumpongeza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

EDAH NA FAMILIA YAKE WASHEREHEKEA VALENTINE


Edah (wapili tokakushoto) akiwa na familia yake kama walivyokutwa na kamera ya Vijimambo Sheraton ya Silver Spring wakijiandaa kuelekea viwanja kula raha ya Valentine Kushoto ni Vincent.Edah na Vincent katika picha ya pamoja.

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB WASHEREHEKEA SIKU YA FAMILIA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei akifafanua jambo wakati wa Sherehe za Siku ya Familia iliyofanyika katika hoteli ya Kunduchi.Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei (wa pili kulia mstari wa nyuma) na Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimali Watu wa benki hiyo, Dorah Ngaliga wakiwa katika picha ya pamoja na watoto waliohudhuria tamasha la ‘Family Day’ lililowashirikisha wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na familia zao. Tamasha hilo lilifanyika Kunduchi Wet 'N'...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Zari, Diamond washerehekea msimu wa Christmas kwenye yacht na familia

1739465_457224814468540_1238534898_n

Ulisherehekea vipi sikukuu ya Christmas na boxing day?

1739465_457224814468540_1238534898_n

Kwa Diamond na first lady wake, Zari the Bosslady ilikuwa ni mwendo wa kuyakata maji kwenye yacht tu.

11264592_1065574703487275_1757651773_n

Mastaa hao walikodi yacht na kuelekea kwenye kisiwa cha maraha cha Mbudya wakiwa na ndugu zao. Waliojumuika ni pamoja na dada zake Diamond, Esma na Queen Darleen, AY, meneja Sallam na wengine.

1172960_1662537087362603_78202417_n

Tazama picha zao:

12393763_920762141325762_1879445229_n

12317944_444291532434115_1088547502_n

12339048_1687418584876834_1571760568_n

12357568_437426533128956_1832108583_n

12362090_787860254675994_1368957484_n

Katika hatua nyingine, Diamond alipata muda wa kuspend na mwanae Tiffah kabla ya kwenda Nigeria Jumatatu hii kwaajili...

 

9 years ago

Michuzi

Mshindi wa Jaymillions na mafanikio yake: Ajenga nyumba ya kisasa na kuishi na familia yake goba, kufungua biashara

Mmoja ya washindi wa kitita cha shilingi Milioni 100 kupitia promosheni ya Jaymillions iliyokuwa inaendeshwa na Vodacom Tanzania iliyomalizika mwezi Aprili mwaka huu Irene Mrema, amesema tangu aibuke na ushindi amepata mafanikio makubwa mojawapo ikiwa ni kuweza kujenga nyumba ya kuishi na familia yake maeneo ya Goba nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. “Nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kunikwamua kimaisha kupitia Jaymillion ya Vodacom kwa kuwa imeleta mafanikio makubwa katika maisha yangu na...

 

10 years ago

GPL

WATOTO WASHEREHEKEA SIKUKUU YA MWAKA MPYA KWA AINA YAKE DAR LIVE

Watoto wakijiachia katika bwawa la kuogelea ndani ya Dar Live leo katika kusherehekea Mwaka Mpya 2015. Watoto wakiburudika katika bembea la Dar Live leo.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanawake wa MSD washerehekea siku ya wanawake duniani kwa aina yake

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (MSD), Bw. Cosmas Mwaifani akifungua sherehe za Siku ya Akina Mama Duniani zilizofanyika.

Bw. Mwaifani akimkaribisha mgeni rasmi wa sherehe hizo, Bi.Helen Mwakipunda ambaye ni Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.

Bi. Mwakipunda akizungumza na wafanyakazi wa (MSD) wakati wa sherehe hizo.

Daktari Bingwa wa Magonjwa ya akina mama kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Matlida Ngarina aliyealikwa kwa ajili ya kutoa mada kuhusiana na magonjwa ya...

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE WA MCD WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA AINA YAKE

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (MSD), Bw. Cosmas Mwaifani akifungua sherehe za Siku ya wanawake Duniani.…

 

11 years ago

GPL

MB DOG,FAMILIA YAKE, KABAAH!

Staa wa Bongo Fleva, Mbwana Mohamed ‘Mb Dog’. BAADA ya kupotea kwa muda, huku wengi wakishindwa kutambua anaishi wapi na nani, hatimaye picha za staa wa Bongo Fleva, Mbwana Mohamed ‘Mb Dog’ na familia yake zimenaswa! Kutokana na desturi ya staa huyo kukaa ‘mbali’ na kamera husan katika masuala yahusuyo familia, paparazi wetu alimuotea nyumbani kwake Kawe, jijini Dar na kumtandika picha...

 

10 years ago

Raia Mwema

Ni kweli Vincent aliuwa familia yake? — 2

MTOTO mwingine, Lyndsey Harper aliyekuwa na umri wa miaka miwili alikutwa amelala upande wa miguu

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani