LEMA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA NA JOYCE MUKYA
Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema akizungumza katika uchaguzi wa kumpata Mbunge pamoja na Mbunge viti maalum kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA)jijini Arusha ambapo aliibuka kidedea kwa kura 255 sawa na asilimia 93.06% (Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)
Mbunge viti maalum kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Joyce John Mukya alipata kura 39 sawa na asilimia 73.6% katika kinyang'anyiro hicho hivyo kumfanya kuwa Mbunge wa viti maalum,aliwataka...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi25 Jul
LEMA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA NA JOYCE MUKYA ARUSHA


9 years ago
Michuzi
RAY MBOYA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA NAFASI YA MEYA MANISPAA YA MOSHI

Waliokuwa washindani katika nafasi ya kuwania kuteuliwa na Chadema nafasi ya Meya wa manispaa ya Moshi,Francis Shio (kushoto) akimpongeza Raymond Mboya baada ya kutangazwa mshindi kwa kupata kura 16 dhidi ya kura 10 za Shio .


10 years ago
Michuzi
JOSHUA NASSARI ACHAGULIWA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI


10 years ago
Michuzi
SATURDAY, JULY 25, 2015 MCHUNGAJI NATSE AWAAGA JIMBO LA KARATU ,QAMBALA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA



10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Besigye kupeperusha Bendera ya FDC
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Dk Shein apendekezwa kupeperusha bendera ya CCM Urais visiwani
10 years ago
Michuzi
DK CYRIL CHAMI KUPEPERUSHA BENDERA YA CCM JIMBO LA MOSHI VIJIJINI
Video imepigwa na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
11 years ago
Michuzi
Wadau wa filamu nchini waaswa kuendelea kupeperusha bendera ya Tanzania Kimataifa


10 years ago
Vijimambo05 Dec
MANJU MSITA KUPEPERUSHA BENDERA MOZAMBIQUE FASHION WEEK 'MFW-2014'