Wadau wa filamu nchini waaswa kuendelea kupeperusha bendera ya Tanzania Kimataifa
![](http://4.bp.blogspot.com/-HLdsaTxOzsQ/U0QVWnH8OsI/AAAAAAAFZVY/xsP9bCFx6MQ/s72-c/01.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akitoa hotuba ya ufunguzi wa kikao cha wadau wa filamu kuhusu mstakabali wa soko la filamu nchini leo jijini Dar es salaam.
Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu nchini Bi Joyce Fisoo akieleza lengo la kikao cha wadau wa filamu ni pamoja na kujadili masuala ya maendeleo ya tasnia ya filamu nchini na mapendekezo ya wadau kuhusu bodi ya filamu kuitisha mjadala wa wazi wa wadau wa filamu hususani wasambazaji, waandishi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMISS UNIVERSE TANZANIA 2014 AELEKEA MIAMI TAYARI KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA
10 years ago
Michuzi05 Dec
MBUNIFU WA MAVAZI,MANJU MSITA KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA KATIKA MOZAMBIQUE FASHION WEEK 'MFW-2014'
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ByAI948vpWo/VKffRTyfvDI/AAAAAAAG7Bw/1zTkIEuutw8/s72-c/ZIFF%2B2015-18%2BLogo.jpg)
ZIFF YAWAKUMBUSHA WADAU WA FILAMU NCHINI KUWASILISHA FILAMU ZAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ByAI948vpWo/VKffRTyfvDI/AAAAAAAG7Bw/1zTkIEuutw8/s1600/ZIFF%2B2015-18%2BLogo.jpg)
"Kama wewe ni Mtanzania na unataka kuwasilisha filamu yako basi wasiliana na Ibra Mitawi +255 713 300997 au +255 783 300997 au mnaweza kutuma ofisini Zanzibar moja kwa moja, hatutapokea filamu yeyote baada ya tarehe hiyo".
Tunaomba pia mjaribu kuweka filamu ikiwa ndani ya DVD moja na si...
10 years ago
VijimamboWADAU WA FILAMU WAKUTANA NA KUJADILI MAENDELEO YA TASNIA YA FILAMU NCHINI.
9 years ago
BBCSwahili03 Sep
Besigye kupeperusha Bendera ya FDC
10 years ago
Vijimambo26 Jul
LEMA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA NA JOYCE MUKYA
![SAM_4216](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/6jNEAy2xWFiL0g0BhfdTIx2RrtL8JPf6KN_cUudkrdPyruMR_u0dzfQnhJsEYcQk2heWo153aNZrEt9wrTxSL8R5v0H40ggt-w6xiTdDHUUT3fU=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4216.jpg)
![SAM_4210](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/tbmIqkDmMNzQ56R4y8w2WrDGV__eIysXQDR_jFh3_2nlug70hsafhzE8Nq6Ws3coJmoL9F_WhT2yDGCxl_vBgFoh3wCzweFqzCe6ecU5MtfHkTk=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4210.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lucvmQdQSZc/VHLpSaiHRVI/AAAAAAAGzHs/NCP8c8IQ3RM/s72-c/chef%2Bissa%2Band%2Bmr%2Bwine.jpg)
CHEF ISSA KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA JIJINI LUXEMBOURG KWENYE Villeroy & Boch Culinary World Cup 2014 kuanzia leo 24 mpaka 28 november 2014
Mpaka sasa Chef Issa Kapande mbali ya kushinda tuzo nyingi tofauti ndani na nje ya nchi katika fani yake ya upishi pia anashikilia rekodi ya kua Chef Mtanzania Msomi na mdogo kuliko wote aliewahi kufungua na kuongoza hotel ya nyota tano ( Certified Executive Chef) akiwa na umri wa miaka 25 tu. Hili...
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
Wadau: Filamu ya Mpango Mbaya ina viwango vya Kimataifa
Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin Group, Bw Johnson Lukaza akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa filamu ya Mpango Mbaya iliyochezwa na washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) mwaka 2014, uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa sinema wa century uliopo Mlimani City, Jijini Dar Es Salaam. Filamu hii ni moja ya filamu ambayo ina ubora wa hali ya juu huku wadau waliofanikiwa kuitazama filamu hiyo kuvutiwa nayo na kukubali kuwa ni filamu yenye viwango vya...