Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lembeli akataa kubadili msimamo

>Mbunge wa Kahama aliyemaliza muda wake, James Lembeli amekataa kubadili msimamo wake wa kutogombea ubunge kupitia CCM akisema atagombea nafasi hiyo kupitia chama kingine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli aichanganya CCM

WIKI moja baada ya Mbunge wa Kahama, James Lembeli (CCM), kutoa kauli inayofananishwa na ile ya hayati Baba wa Taifa, Julius Nyerere, ya kwamba chama hicho si mama yake, uongozi...

 

11 years ago

AllAfrica.Com

MP Lembeli Sues Eight for Defamation


IPPmedia
MP Lembeli Sues Eight for Defamation
AllAfrica.com
KAHAMA Member of Parliament (MP), James Lembeli has sued nine people, including Reverend Joseph Petro, over alleged defamatory articles that linked him with the transfer of the management of Katavi National Park from the Tanzania National Park ...
Electronic fee collection to be reintroduced at national parksIPPmedia

all 3

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli aishukia serikali

SERIKALI imetakiwa kutoa maelezo ya kina kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira juu ya kubadilishwa kinyemela mipaka ya Hifadhi ya Arusha (ANAPA), hatua iliyochangia wananchi...

 

11 years ago

Daily News

MP Lembeli sues 8 for defamation


Daily News
MP Lembeli sues 8 for defamation
Daily News
KAHAMA Member of Parliament (MP), James Lembeli has sued nine people, including Reverend Joseph Petro, over alleged defamatory articles that linked him with the transfer of the management of Katavi National Park from the Tanzania National Park ...
Electronic fee collection to be reintroduced at national parksIPPmedia

all 2

 

10 years ago

TheCitizen

Lembeli defects to Chadema

The race for parliamentary seats has taken a new shape after outgoing Kahama MP on the ticket of the ruling party, CCM, Mr James Lembeli, yesterday decamped to the main opposition Chadema.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli awachanganya viongozi wa CCM 

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ wilayani Kahama wanapata wakati mgumu kuchukua maamuzi kwa Mbunge wa Jimbo hilo, James Lembeli, kutokana na kukinzana na chama chake juu ya muundo wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Lembeli: Tutasafisha Wizara ya Ardhi

lmblNa Elizabeth Mjatta
IKIWA ni takriban wiki tatu tangu Rais Jakaya Kikwete amuondoe kazi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imesema itahakikisha viongozi wanaofanya vitendo vya kifisadi katika wizara hiyo wanaondolewa.
Kauli hiyo ilitolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, James Lembeli, wakati wa ziara ya kukagua eneo la kituo cha huduma cha mfano kilichopo Luguluni eneo la Mbezi Luisi,...

 

11 years ago

Mwananchi

Lembeli: Bado naililia Tanganyika

>Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, James Lembeli ameapa hatakuwa tayari kubadili msimamo wake kuhusu Muundo wa Muungano badala yake atasimamia kauli yake kwamba ukamilifu wa Tanzania ni kuwa na Serikali ya Tanganyika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli: CCM si mama yangu

JUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, James Lembeli (CCM), amesema kuwa yuko tayari kufanyiwa lolote na chama chake lakini kamwe hatatengua msimamo wake wa kudai Serikali ya Tanganyika. Kauli hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani