Lembeli awachanganya viongozi wa CCMÂ
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ wilayani Kahama wanapata wakati mgumu kuchukua maamuzi kwa Mbunge wa Jimbo hilo, James Lembeli, kutokana na kukinzana na chama chake juu ya muundo wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Pigo CCMÂ
HARAKATI za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuhodhi majadiliano na uamuzi katika vikao vya Bunge Maalumu la Katiba zimegonga mwamba. Kugonga mwamba huko kunatokana na kubanwa na Sheria ya Mabadiliko...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
UKAWA: Puuzeni kauli za CCMÂ
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umewataka Watanzania kupuuza kauli za viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwakuwa hazina lengo la kuwasaidia katika mchakato wa uundwaji wa katiba mpya. Mmoja...
11 years ago
Mwananchi23 Mar
JK awachanganya wananchi
9 years ago
StarTV11 Oct
Vijana wa CCMÂ watahadharishwa dhidi ya Vurugu
Vijana na wapenzi wa chama cha Mapinduzi wametakiwa kujihadhari na kujiepusha na vikundi vinavyoashiria kufanya fujo wakati wa uchaguzi hali ambayo inaweza kusababisha vurugu zitakazoharibu amani ya nchi.
Wanafahamishwa kwamba Uchaguzi ni hatua moja ya kujenga nchi kuelekea katika maendeleo hivyo si vyema wananchi wakaingia katika majaribu yatakayogharimu mustakbali wa maisha na nchi yao.
Akiwa katika kampeni za chama cha mapinduzi akiwanadi wagombea uwakilishi na madiwani katika jimbo la...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Warioba awachanganya wabunge
BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wamekiri kuchanganywa kutokana na hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ambayo walidai imeibua mambo mengi ambayo hawakuwa wanayafahamu.
9 years ago
TheCitizen15 Nov
Zungu only CCM’s candidate for deputy speaker’s position
10 years ago
Mwananchi08 Feb
JK awachanganya waliojitokeza kwenye urais
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Faiza awachanganya mashabiki wake
NA MWANDISHI WETU
MSANII wa filamu nchini, Faiza Ally, amewachanganya mashabiki wake baada ya kuandika kwenye akaunti yake ya Facebook na kudai kwamba amefariki.
Hata hivyo, msanii huyo amesema kuwa aliandika hivyo kutokana na kuchukizwa na waongozaji wa filamu yake mpya ambao wanachelewesha kufanya kazi hiyo.
“Sikuona kama ni tatizo kuandika hivyo na baadaye ndugu na jamaa wakajua kama ni mzima, ila niliamua kufanya hivyo,” aliandika Faiza.
Hata hivyo, mashabiki wamemtupia lawama msanii...
5 years ago
The Citizen Daily07 Mar
Parties use state apparatus ‘to cling to power’, says CCM’s Bashiru