Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pigo CCM 

HARAKATI za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuhodhi majadiliano na uamuzi katika vikao vya Bunge Maalumu la Katiba zimegonga mwamba. Kugonga mwamba huko kunatokana na kubanwa na Sheria ya Mabadiliko...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA: Puuzeni kauli za CCM 

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umewataka Watanzania kupuuza kauli za viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwakuwa hazina lengo la kuwasaidia katika mchakato wa uundwaji wa katiba mpya. Mmoja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli awachanganya viongozi wa CCM 

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ wilayani Kahama wanapata wakati mgumu kuchukua maamuzi kwa Mbunge wa Jimbo hilo, James Lembeli, kutokana na kukinzana na chama chake juu ya muundo wa...

 

9 years ago

StarTV

Vijana wa CCM  watahadharishwa dhidi ya Vurugu

Vijana na wapenzi wa chama cha Mapinduzi  wametakiwa kujihadhari  na kujiepusha na vikundi vinavyoashiria kufanya fujo wakati wa uchaguzi hali ambayo inaweza kusababisha vurugu zitakazoharibu amani ya nchi.

Wanafahamishwa kwamba Uchaguzi ni hatua moja ya kujenga nchi kuelekea katika maendeleo hivyo si vyema wananchi wakaingia katika majaribu yatakayogharimu mustakbali wa maisha na nchi yao.

Akiwa katika kampeni za chama cha mapinduzi akiwanadi wagombea uwakilishi na madiwani katika jimbo la...

 

9 years ago

TheCitizen

Zungu only CCM’s candidate for deputy speaker’s position

Ilala lawmaker-elect Mussa Hassan is the only CCM member seeking to vie for the position of deputy speaker of the National Assembly.

 

5 years ago

The Citizen Daily

CCM’s Humphrey Polepole in court to pay Dr Mashinji’s fine

CCM’s Humphrey Polepole in court to pay Dr Mashinji’s fine  The Citizen Daily

 

5 years ago

The Citizen Daily

Parties use state apparatus ‘to cling to power’, says CCM’s Bashiru

Parties use state apparatus ‘to cling to power’, says CCM’s Bashiru  The Citizen Daily

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jaji Warioba, CCM si baba wala mama yako amua sasa

NAFAHAMU kabisa kuwa tukio la Jaji Joseph Warioba kuvishwa nishani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kutimiza miaka 50 halikuwa tendo la kubezwa kabisa. Ni wazi kuwa...

 

10 years ago

GPL

Pigo moja

Kocha mkuu wa Yanga, Hans Van Der Pruijm. Na Timu ya Championi,Dar es Salaam
PIGO MOJA! Hiyo ndiyo lugha inayotamkwa na mashabiki wa Simba na Yanga hivi sasa kuelekea mechi yao ya Ligi Kuu Bara itakayopigwa kesho Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mashabiki wa timu hizo, wanaamini ushindi wowote watakaoupata utakuwa ni pigo moja takatifu kwa timu pinzani, ambalo litaifanya iwe chali kabisa. Yanga wanataka...

 

10 years ago

Mtanzania

Ni pigo la nchi

MTZ Alhamisi new july.inddMwandishi Wetu na Mashirika ya Kimataifa
ASKARI wawili wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wanaolinda amani katika Kikosi cha Umoja wa Mataifa (MONUSC) nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wameuawa na waasi.
Askari hao ambao majina yao hayajatambuliwa, waliuawa juzi alasiri katika shambulio la kushtukiza mashariki mwa nchi hiyo.
Taarifa iliyotolewa jana na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kupitia msemaji wa MONUSCO, Kanali Felix Basse, ilisema mbali ya waliouawa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani