Ni pigo la nchi
Mwandishi Wetu na Mashirika ya Kimataifa
ASKARI wawili wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wanaolinda amani katika Kikosi cha Umoja wa Mataifa (MONUSC) nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wameuawa na waasi.
Askari hao ambao majina yao hayajatambuliwa, waliuawa juzi alasiri katika shambulio la kushtukiza mashariki mwa nchi hiyo.
Taarifa iliyotolewa jana na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kupitia msemaji wa MONUSCO, Kanali Felix Basse, ilisema mbali ya waliouawa,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
PROFESA KABUDI AMLILIA BALOZI DK.MAHIGA...AELEZA ALIVYOMFAHAMU TANGU MIAKA YA 1970, PIGO KWA NCHI

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa John Kabudi amesema amepokea kwa masikitiko makubwa ,majonzi na mfadhahiko mkubwa taarifa za kufariki Dunia kwa Balozi Dk.Agustine Mahiga huku akieleza kuwa Tanzania imempoteza mwana halisi wa Tanzania na mzalendo aliyeitumikia nchi kwa moyo na akili zake zote.
Balozi Dk.Mahiga amefariki Dunia leo Mei 1, mwaka 2020 na kifo chake kimeishtua Mataifa mbalimbali kutokana na mchango wake mkubwa kwenye eneo...
11 years ago
GPL
PIGO BRAZIL
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Pigo la maisha
10 years ago
GPL
Pigo moja
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Pigo CCMÂ
HARAKATI za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuhodhi majadiliano na uamuzi katika vikao vya Bunge Maalumu la Katiba zimegonga mwamba. Kugonga mwamba huko kunatokana na kubanwa na Sheria ya Mabadiliko...
11 years ago
GPL
DEVOTHA APATA PIGO
10 years ago
GPL
GLOBAL YAPATA PIGO
9 years ago
GPL
KAJALA APATA PIGO
11 years ago
GPL
OTILIA APATA PIGO