Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni pigo la nchi

MTZ Alhamisi new july.inddMwandishi Wetu na Mashirika ya Kimataifa
ASKARI wawili wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wanaolinda amani katika Kikosi cha Umoja wa Mataifa (MONUSC) nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wameuawa na waasi.
Askari hao ambao majina yao hayajatambuliwa, waliuawa juzi alasiri katika shambulio la kushtukiza mashariki mwa nchi hiyo.
Taarifa iliyotolewa jana na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kupitia msemaji wa MONUSCO, Kanali Felix Basse, ilisema mbali ya waliouawa,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

PROFESA KABUDI AMLILIA BALOZI DK.MAHIGA...AELEZA ALIVYOMFAHAMU TANGU MIAKA YA 1970, PIGO KWA NCHI

 Na Ripota Wetu,Michuzi TV

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa John Kabudi amesema amepokea kwa masikitiko makubwa ,majonzi na mfadhahiko mkubwa taarifa za kufariki Dunia kwa Balozi Dk.Agustine Mahiga huku akieleza kuwa Tanzania imempoteza mwana halisi wa Tanzania na mzalendo aliyeitumikia nchi kwa moyo na akili zake zote.

Balozi Dk.Mahiga amefariki Dunia leo Mei 1, mwaka 2020 na kifo chake kimeishtua Mataifa mbalimbali kutokana na mchango wake mkubwa kwenye eneo...

 

11 years ago

GPL

PIGO BRAZIL

STAA wa timu ya Brazil, Neymar hataendelea na michuano ya Kombe la Dunia 2014 baada ya kuvunjika mfupa unaoshikana na uti wa mgongo wakati wa mechi yao na Colombia usiku wa kuamkia leo. Neymar akitolewa nje ya uwanja wakati wa Robo Fainali dhidi ya Colombia. Staa huyo mwenye mabao manne mpaka sasa kwenye michuano hiyo, alitolewa uwanjani dakika tatu kabla ya mechi yao dhidi ya Colombia kumalizika.… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Pigo la maisha

Mvua kubwa ilirindima kwa zaidi ya saa tatu mfululizo bila kuonesha dalili zozote za kukoma. Mvua hiyo iliyoambatana na radi na ngurumo ilishika chati kila kona na kumeza utilivu upatikanao nyakati za usiku. Mitaa yote ikavamiwa na upweke, hakukuwa na mtu hata mmoja aliyeonekana kukatiza kana kwamba dunia iliumbwa bila wanadamu ndani yake.

 

10 years ago

GPL

Pigo moja

Kocha mkuu wa Yanga, Hans Van Der Pruijm. Na Timu ya Championi,Dar es Salaam
PIGO MOJA! Hiyo ndiyo lugha inayotamkwa na mashabiki wa Simba na Yanga hivi sasa kuelekea mechi yao ya Ligi Kuu Bara itakayopigwa kesho Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mashabiki wa timu hizo, wanaamini ushindi wowote watakaoupata utakuwa ni pigo moja takatifu kwa timu pinzani, ambalo litaifanya iwe chali kabisa. Yanga wanataka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pigo CCM 

HARAKATI za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuhodhi majadiliano na uamuzi katika vikao vya Bunge Maalumu la Katiba zimegonga mwamba. Kugonga mwamba huko kunatokana na kubanwa na Sheria ya Mabadiliko...

 

11 years ago

GPL

DEVOTHA APATA PIGO

Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu aliye pia katibu msaidizi wa Bongo Movie Unity, Devotha Mbaga amepata pigo la baa yake kuteketea kabisa kwa moto. Msanii wa filamu aliye pia katibu msaidizi wa Bongo Movie Unity, Devotha Mbaga Akizungumza kwa njia ya simu Devotha alisema wakati ajali hiyo inatokea hakuwepo kwani yupo nje ya Jiji la Dar ambapo alipata taarifa kutoka kwa wafanyakazi wake kwamba baa yake hiyo iliyopo maeneo ya...

 

10 years ago

GPL

GLOBAL YAPATA PIGO

Marehemu Robert Ridochi Tilya enzi za uhai wake. WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, watayarishaji wa magazeti ya Ijumaa Wikienda, Uwazi, Risasi, Amani, Ijumaa na Championi, wamepata pigo kwa kuondokewa na mfanyakazi mwenzao, Robert Ridochi Tilya aliyefariki alfajiri ya leo kwa ajali ya gari. Robert alipata ajali hiyo maeneo ya External-Ubungo jijini Dar baada ya Lori kumbana na gari aina ya Toyota Noah alilokuwa...

 

9 years ago

GPL

KAJALA APATA PIGO

Staa mwenye mvuto ndani ya Bongo Muvi, Kajala Masanja. Imelda mtema POLE! Staa mwenye mvuto ndani ya Bongo Muvi, Kajala Masanja hivi karibuni alipata pigo zito baada ya kufiwa na bibi yake (mzaa mama) aliyekuwa akiuugua kwa muda mrefu huko mkoani Songea. Akizungumza na Ijumaa Wikienda akiwa msibani, Kajala alisema amempoteza mtu muhimu katika maisha yake kwani bibi yake huyo alikuwa akimpenda, kumlea na kumshauri mambo muhimu...

 

11 years ago

GPL

OTILIA APATA PIGO

Stori:  Gladness Mallya
MNENGUAJI wa Bendi ya Extra Bongo, Otilia Boniface amepata pigo baada ya kufiwa na mamamkwe wake aliyejulikana kwa jina la Khadija Salum. Otilia Boniface. Akizungumza kwa masikitiko, Otilia alisema ameumizwa na kifo cha mama huyo kwani aliugua na kupona lakini kilichosababisha kifo chake ni ajali ambapo aligongwa na gari maeneo ya Magomeni, Dar hivi karibuni akapasuka kichwa na kufa papo hapo akiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani