Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LHRC, TLS wang’ang’ania kesi ya Pinda

KITUO cha Msaada wa Kisheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), wamewasilisha kusudio la kukata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kutupilia mbali kesi ya kikatiba waliyomfungulia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wabunge ‘wang’ang’ania’ chenji ya rada

Wabunge wengi wamedaiwa kutamani kunufaisha majimbo yao fedha zilizotokana na chenji ya rada, hivyo ni changamoto kwa wizara zilizokabidhiwa kusimamia matumizi yake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Machinga wang’ang’ania katikati ya jiji

WAFANYABIASHARA ndogo ndogo ‘machinga’ wameendelea kufanya biashara katikati ya Jiji la Dar es Salaam huku wakisema maeneo wanayopewa na serikali si rafiki kwa biashara. Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, walisema...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema wang’ang’ania maandamano, polisi yaonya

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesisitiza kufanya maandamano kuanzia leo hadi Ijumaa wiki hii licha ya Polisi kuyapiga marufuku.

 

11 years ago

Mwananchi

Wang’ang’ania kuishi ndani ya hifadhi ya Taifa

Hifadhi ya Taifa ya Saadani iliyopo wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani imeingia katika mgogoro na Kitongoji cha Uvinje kilichomo ndani ya hifadhi hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Wenyeviti CCM wang'ang'ania Serikali mbili

WENYEVITI wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar wamesisitiza muundo wa Serikali mbili ndiyo utakaodumisha Muungano kuwa imara zaidi. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja, Haji Juma Haji kwa niaba ya wenzao, wakati walipozungumza na waandishi wa habari hapo wakielezea mchakato wa Bunge maalumu la katiba.

 

9 years ago

Habarileo

Haki za Binadamu wang’ang’ania uadilifu wagombea wenye kashfa

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeitaka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, kutoa orodha ya viongozi wa umma wanaogombea nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu, ambao walishahojiwa na kuwekwa hatiani kutokana na maadili yao.

 

11 years ago

Mwananchi

TLS, LHRC wakusudia kumburuta Pinda upya mahakamani

Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na Kituo cha Msaada wa Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimeanza rasmi mchakato wa kukata rufaa dhidi ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa kauli yake kuwa ‘wanaofanya fujo wapigwe tu’.

 

11 years ago

IPPmedia

TLS, LHRC to appeal against ruling in Premier Pinda case


IPPmedia
TLS, LHRC to appeal against ruling in Premier Pinda case
IPPmedia
The Tanganyika Law Society (TLS) as well as the Legal and Human Rights Centre (LHRC) filed a notice at the High Court, Dar es Salaam zone to appeal against judgment in a case facing Prime Minister Mizengo Pinda. Earlier, the High Court threw out their ...

 

9 years ago

Habarileo

Muhongo ang'ang'ania bei ya umeme ishuke

 WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter M u h o n g o , ameendelea kung’ang’ania bei ya umeme ishuke, ambapo jana ameagiza taasisi zilizo chini ya wizara hiyo, ifikapo Januari mwakani wawe wamempelekea mapendekezo ya kushuka kwa bei ya nishati hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani