Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TLS, LHRC wakusudia kumburuta Pinda upya mahakamani

Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na Kituo cha Msaada wa Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimeanza rasmi mchakato wa kukata rufaa dhidi ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa kauli yake kuwa ‘wanaofanya fujo wapigwe tu’.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

LHRC, TLS wang’ang’ania kesi ya Pinda

KITUO cha Msaada wa Kisheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), wamewasilisha kusudio la kukata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kutupilia mbali kesi ya kikatiba waliyomfungulia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

 

11 years ago

IPPmedia

TLS, LHRC to appeal against ruling in Premier Pinda case


IPPmedia
TLS, LHRC to appeal against ruling in Premier Pinda case
IPPmedia
The Tanganyika Law Society (TLS) as well as the Legal and Human Rights Centre (LHRC) filed a notice at the High Court, Dar es Salaam zone to appeal against judgment in a case facing Prime Minister Mizengo Pinda. Earlier, the High Court threw out their ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

LHRC, TLS wazidi kusaka haki

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), wamesema kuwa wanapinga hukumu ya pili iliyoeleza kuwa hawana mamlaka ya kumshitaki Waziri Mkuu kwa kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yakwaa kisiki kuizuia TLS mahakamani

Serikali jana ilijikuta ikikwaa kisiki mahakamani baada ya kushindwa kuzuia usikilizwaji wa maombi ya Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS), ya kutaka ipatiwe kibali cha kufungua kesi kupinga Bunge la Katiba.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda aagiza sensa ya mifugo upya

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameitaka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kufanya upya sensa ya mifugo kwani ya mwisho ilifanyika miaka 30 iliyopita.

 

11 years ago

Michuzi

WAKUSUDIA KUSAMBAZA HUDUMA YA MAKTABA KWA WENGI

Baada ya kuridhishwa na matumizi mazuri na mafanikio makubwa ya Maktaba yao ya kwanza waliyoifungua mwaka 2009 katika kijiji cha Ngongongare Mkoani Arusha,  Taasisis isiyo ya kiserikali ya The Crawford Smith Foundation yenye makazi yake nchini Marekani na ambayo ndiyo inayosimamia mradi wa uanzishwa na uendeshaji wa Maktaba hususani katika maeneo ya vijijini, sasa inakusudia kujenga maktaba nyingine sita katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania. Maktaba hiyo ya kwanza...

 

11 years ago

TheCitizen

TLS not yet done with PM

The Tanganyika Law Society (TLS) and Legal and Human Rights Centre (LHRC) intend to move to the Court of Appeal after the High Court threw out their constitutional petition against Prime Minister Mizengo Pinda.

 

9 years ago

Mwananchi

TLS wawalalamikia Ma-DC

Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimewataka wakuu wa wilaya kuacha kuingilia mamlaka na mifumo iliyowekwa katika kutekeleza majukumu mbalimbali ya kimaendeleo.     

 

11 years ago

Dewji Blog

TLS kuishitaki Serikali

law2

Na Mwandishi wetu

CHAMA cha Wanasheria Tanganyika(TLS), leo kinatarajia kufungua kesi katika mahakama kuu kuishitaki serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa maamuzi yake ya kuunga mkono usitishaji wa mahakama ya jumuiya ya nchi za kusini mwa afrika(SADC Tribunal).

Maamuzi hayo yametangazwa na mjumbe wa kamati ya haki za binadamu wa chama hicho, Daimu Khalfan katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ofisini kwao jijini Dar es Salaam. Khalfan alisema kwenye mkutano wao wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani